Kurugenzi ya Habari CHADEMA vipi?

hiyo habari hata kamani kweli
ukiisema utaitwa msaliti

so we sema mkutano ulikuwa mzuri watu walikuwa wengi wanamshangilia

Really????
Na habari za kinana ukisema unaitwaje? I thought hayo mawazo ni ya watoto.
 
Tupatupa Mzee wa Lumumba.

Mzee Slaa yuko matatani. Hata hivyo jeshi la polisi limehakikisha kuwa yuko salama. Amehifadhiwa sehemu salama na jeshi hilo.

Jeshi la polisi linalinda watu wote...

Dhambi ya ufisadi wa ruzuku,ubaguzi na ulaghai inawatafuna slaa na mbowe
 
Kurugenzi ya Habari CHADEMA mbona mmekuwa kimya sana? Taarifa zenu za mwisho ni mkutano wa tarehe 7/12/2013.Vipi? Tuyaamini yanayoletwa humu mtandaoni kama yalivyo? Ni kuhusu ziara inayoendelea ya Katibu wenu Mkuu,Dr. W. P. Slaa. Njooni mtuhabarishe kinachoendelea huko Kigoma. Mkituacha hivi,tutaamini habari hizi hizi zilizopo humu.


cc Tumaini Makene
Molemo
Ben Saanane
Yericko Nyerere
sixgates
TUNTEMEKE

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam

View attachment 125633 huu ndio mkutano wa jana wewe unatakeje?
 
Last edited by a moderator:
Tupatupa Mzee wa Lumumba.

Mzee Slaa yuko matatani. Hata hivyo jeshi la polisi limehakikisha kuwa yuko salama. Amehifadhiwa sehemu salama na jeshi hilo.

Jeshi la polisi linalinda watu wote...

Dr wa vidonda kwanza nikupongeze kwa mara ya kwanza kwa kumheshimu angala kwa kumuita "Mzee Slaa". Pamoja na hilo uDr. wako unautia dosari unapotoa maelezo ya uongo ingawaje haya mauongo yako yana baraka za Dr.Dr.Dr.Dr.Dr.Dr. JK.

Ukweli wa mambo "Mzee Slaa" anaendela na ziara kama kawaida na police wanaendelea na kazi ya kuwadhibiti wahuni. Inawezekana ni propaganda za kuwa Mzee Slaa yuko matatani; lakini kwa mtu mwenye elimu ya kiwango cha Dr. kama wewe propaganda hizi zinakudhalilisha tu.

Ebu heshimu elimu yako (kama ni ya kweli) kwa kusema kweli kwa manufaa yako

attachment.php


 
Mkuu tatizo la kurugenzi ya habari wamepeana Tumaini Makene hana uwezo hata wa kumkaribia mohamed mtoi tatizo ni kupeana. Deo mwenyewe yupo vizuri. Chadema ni sikio la kufa.


Mkuu kama ndiyo hivi mbona unahangaika nao si uwaache wajifie na wewe jenga chako kama kipo.

Join Date : 19th March 2011
Posts : 2,479
Rep Power : 0
Likes Received918
Likes Given10
attachment.php




Re Power 0 maana yake nini?
Naomba nisaidie nisije nikawa na tafsiri potofu
 
Tangu watuwekee picha ya kuchakachua ya kahama ambayo ilikua ya tarehe 23 novemba hawaja onekana tena akina Yeticko Nyerere na Ben Saanane
 
Politics inaweza mbadili mtu nyekundu akaona nyeupe
ni kama dini sometimes...watu tunakuwa na 'dogma' fulani..

Honey, najua mapungufu ya chadema na ninajua kuna room ya improvement kama ambavyo ninajua mapungufu yaliyopo katika kanisa Katoliki lakini kwa vile sijapata mbadala bora nitaendelea kubaki huko na nikiendelea kufanya na kufuata yale ninayo yaona yanafaa.

Ni mwanachama hai wa Chadema na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote cha siasa; so sijui wamaanisha nini kusema nimekunywa damu ya chadema, kama ni kukitetea basi you are right.
 
Honey, najua mapungufu ya chadema na ninajua kuna room ya improvement kama ambavyo ninajua mapungufu yaliyopo katika kanisa Katoliki lakini kwa vile sijapata mbadala bora nitaendelea kubaki huko na nikiendelea kufanya na kufuata yale ninayo yaona yanafaa.

Ni mwanachama hai wa Chadema na sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote cha siasa; so sijui wamaanisha nini kusema nimekunywa damu ya chadema, kama ni kukitetea basi you are right.


Yaani nimeona honey tu
mengine yote sijaelewa kitu lol
 
Ukistaajabu ya UFISADI WA CCM na hulka ya LOWASA ya kutaka kuongoza taifa hili utayaona ya chadema ya kuomba RIDHAA YA KWENDA IKULU ILI IHALALISHE WATANANZIA HOHE HAHE NA WENYE AFYA MBOVU NA NJAA KALI KUNYWA POMBE KALI KAMA GONGO,,,kwa ufupi wana siasa ni watu wenye masahibu yasiyo kwisha,yapaswa kuwatizama kwa jicho la uhalisia sana,

Ukitaka kuendelea kustaajabu zaid ni pale ambapo chama kinachojiit MAKINI kam CHADEMA kusumuliwa na mtu MMOJA TUH KAMA ZTTO KABWE KIAS CHA KUFIKIA KUSITISHA SHUGHULI ZOTE ZA CHAMA NA KULITETEA TAIF WAKATI MAFISADI WA CCM WANATUMIA LOOPHOLE HIYO KUPANDISHA BEI YA UMEME MCHANA KWEUPE KABISA,,

Nani wa kuwatetea watanzania??Unadhan wanasiasa wana jail shida zako wewe?kaa ukisubiri na kuuungua jua,ila nakuhakikishia utaungua sana,,


UOZO WA KURUGENZ YA HABARI YA CHADEMA NA KUSHINDWA KAZI KWA TUMAINI MAKENE UNAJIONESHA WAZI WAZI KWA KUZUKA KWA WIMBI LA WATU WASIOFAHAMIKA WANOKEA WAPI KAMA Yericko Nyerere na Ben Saanane kuchukua kwa nguvu nafasi hizo na kujimilikisha moja kw moja huku chama hiko na wahusika wakiendelea kuwa kimya pamoja na upotoshaji unaofanywa na MATAPELI HAO,,

KWANIN SASA TUMAIN MAKENE NA KURUGEN YA HABARI ISITAMKE RASMI YA KWAMBA NI LIN MATAPELI HAWA WALICHAGULIWA KWA NAFAS HIZO??

HAWA WAHUSIKA PAMOJA NA KUKEMEWE NA KUSEMEWA KILA AINA YA KAULI HAWASKII,HAWAAMBILIKI??HII NDIYO KUSEMA KWAMBA CHADEMA IMEKUBALI KUJIUA HATA KWENYE SEKTA ADHIIMU KAMA HII YA MAWASILIANO KWA UMMA WAKE??

IMEKUBALI KUFA MAPEMA HATA KABLA YA 2015??KWAIYO NI KWELI NA TUKUBALI YALE MANENO YA MAFISADI KAMA WASIRA YA KWAMBA CDM ITAKUFA HATA KABLA YA 2015??

NI NGUMU KUAMINIKA ILA INASIKITISHA KWA KIAS KIKUBWA SANA.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom