Kuona Dada wa Kazi (house girl) mwenye degree ya Accounting pamoja na CPA inafundisha Uwekezaji wa kusomesha mtoto haupaswi kutumia gharama kubwa

Bahati mbaya ule ufinyu wa ajira utakuwa maradufu maana mlolongo wa taasisi nyingi za kiserikali zinaenda kufutwa.

Wafanyakazi watakuwa wachache na waliopo kweny system ni hao hao kazi ni hamisha hamisha.

Serikali ifanye jambo hili ni janga kwa kweli.
 
Hahaha, mkuu, usilete sababu, mpe mtoto wako elimu bora kadri inavyowezekana,
Kati ya CPA 10K hii nchi huyo mmoja hawez fanya tusisomeshe watoto wetu IST
Mkuu ukiandika kifupi hatokuelewa mfano hiyo ist anaweza akajua ni vile vigari vya uba na bolt 😂😂😂 kwanza sura ya dem yenyewe haimfanyi muajiri atamani kuwa nae ofisini alaf kitu ingine kila mmoja wetu kapangiwa sehemu yake kwenyw haya maisha ila watoto lazima wapate haki za msingi ikiwemo elimu bora
 
nadhani kuna haja ya mentality ya wazazi kuhusu watoto wao inabidi kubadilila, mtoto akishajua kusoma na kuandika, just flood him/her with skillz achana na elimu za kimfumo, kama una biashara zako ambazo zinahitaji elimu ya kimfumo ili aje kuzisimamia hapo mpe iyo elimu, ila kama ndo akina kajamba nani, mpe skillz itamsaidia zaidi, hawezi lala njaa.
 
Haya
 

Attachments

  • images (23).jpeg
    images (23).jpeg
    23.4 KB · Views: 8
Mbona ana anaangalia kijambazi jambazi
Mkuu ulishawai kula ugali chumvi, sio kwa kupenda ila ni kwamba huna jinsi, halafu mtu akakuuliza unaenjoy chakula chako, ukamjibu kwa kujifariji kuwa unaenjoy sana huku moyo ukibubujikwa na machozi? aliyekuuliza atakusoma tu kuwa unajifariji ila unatamani biriani, mkuu mkuu mkuu....acha niishie hapag
 
Back
Top Bottom