Kuna watu wanampinga Mwamposa wakati nabii wao alikabwa mapangoni na wengine wanaabudu sanamu la bikira mwenye watoto watano

Championship

JF-Expert Member
Aug 7, 2019
5,499
10,540
Kweli duniani hamna jipya. Ukisoma komenti za watu unabakia kustaajabu sana. Watu wamelewa dini.

Wanamponda Mwamposa huku wao wanaamini kwa nabii aliyekabwa na pepo akiwa mapangoni akilazimishwa asome ilihali hakuwa anajua kusoma.

Wakaeneza imani yao kwa ncha ya upanga na mpaka sasa ukitaka kutoka kwenye hiyo imani wanakukata kichwa.

Watu hawa wanaamini wakifa mungu wao kawaandalia danguro na baa huko watakuwa wanafanya uzinzi na ulevi milele.

Wengine kutwa kucha wanaomba marehemu wanayemuita bikira ilihali alizaa watoto watano awe anawaombea sasa na saa ya kufa kwao. Wanabariki wenye ndoa za jinsia moja.

Dini ni kitu cha ajabu sana. Wana heri wale wasiokuwa na dini bali wako ndani ya Yesu Kristo. Kwake yeye Mwamposa, au TB Joshua au Mwakasege au Muhammad si kitu bali imani kwake itoayo uzima wa milele.
 
Wana heri wale wasiokuwa na dini bali wako ndani ya Yesu Kristo.
Sasa ndo nini hii?

Wewe unaemuamini yesu ndo uko sahihi? ndo ujinga wa dini, kila mtu anaona yake ndo sahihi

Wewe utakua mlokole 'sina dini, niko na yesu' walokole ni wakristo waliochangamka
 
Kweli duniani hamna jipya. Ukisoma komenti za watu unabakia kustaajabu sana. Watu wamelewa dini.

Wanamponda Mwamposa huku wao wanaamini kwa nabii aliyekabwa na pepo akiwa mapangoni akilazimishwa asome ilihali hakuwa anajua kusoma.

Wakaeneza imani yao kwa ncha ya upanga na mpaka sasa ukitaka kutoka kwenye hiyo imani wanakukata kichwa.

Watu hawa wanaamini wakifa mungu wao kawaandalia danguro na baa huko watakuwa wanafanya uzinzi na ulevi milele.

Wengine kutwa kucha wanaomba marehemu wanayemuita bikira ilihali alizaa watoto watano awe anawaombea sasa na saa ya kufa kwao. Wanabariki wenye ndoa za jinsia moja.

Dini ni kitu cha ajabu sana. Wana heri wale wasiokuwa na dini bali wako ndani ya Yesu Kristo. Kwake yeye Mwamposa, au TB Joshua au Mwakasege au Muhammad si kitu bali imani kwake itoayo uzima wa milele.
hizi dini zote sio zenu waafrika, hizi dini walileta wakoloni ya nini mnatoleana povu? upumbavu tu, kwa hio mwarabu na mzungu wasingefika Africa tusingekuwa na hizi dini zinazowagombanisha kila siku, mtu mweusi ni ngedere iliyochangamka.
 
Hapana Binadamu atakuwa hana tofauti na wanyama. Eg Mbuzi, Ng'ombe n.k

Dini inamzuia binadamu kufanya mambo mengi ya hovyo.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Maadili hayatokani na dini, yanatokana na mwingiliano wa watu.

Kukishakua na idadi kubwa ya watu sehemu flani maadili yatakuwepo tu.

Hata kuku wana maadili ie; kila jogoo ana himaya yake ikivamiwa anapigana. Maadili ya binadamu yako tofauti kwa vile tuna akili, hisia, mitazamo nk

Maadili yalikuwepo kabla ya dini, dini zimetengenezwa kusimamia maadili, lakini kwa dunia ya sasa, hazina ufanisi tena
 
Kweli duniani hamna jipya. Ukisoma komenti za watu unabakia kustaajabu sana. Watu wamelewa dini.

Wanamponda Mwamposa huku wao wanaamini kwa nabii aliyekabwa na pepo akiwa mapangoni akilazimishwa asome ilihali hakuwa anajua kusoma.

Wakaeneza imani yao kwa ncha ya upanga na mpaka sasa ukitaka kutoka kwenye hiyo imani wanakukata kichwa.

Watu hawa wanaamini wakifa mungu wao kawaandalia danguro na baa huko watakuwa wanafanya uzinzi na ulevi milele.

Wengine kutwa kucha wanaomba marehemu wanayemuita bikira ilihali alizaa watoto watano awe anawaombea sasa na saa ya kufa kwao. Wanabariki wenye ndoa za jinsia moja.

Dini ni kitu cha ajabu sana. Wana heri wale wasiokuwa na dini bali wako ndani ya Yesu Kristo. Kwake yeye Mwamposa, au TB Joshua au Mwakasege au Muhammad si kitu bali imani kwake itoayo uzima wa milele.
ukichanganya bangi na pombe Lazima tatizo la afya ya akili na Roho likukumbe na kuchakaza ubongo ubongo wako na kisha kupoteza muelekeo kama hivi anavyopotoka huyu ndrugu yetu mwanzoni kabisa mwa mwaka 2024, yaaan dah!

sijui kufikia April atakua na hali gani phisically, mentally and spirituality....

ni kumuombea tu maana hakuna namna nyingine 🐒
 
Hapana Binadamu atakuwa hana tofauti na wanyama. Eg Mbuzi, Ng'ombe n.k

Dini inamzuia binadamu kufanya mambo mengi ya hovyo.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Sio kweli, mataifa mengi yenye idadi kubwa ya raia wenye dini ndio yenye kiwango kikubwa zaidi cha mambo mengi ya hovyo ukilinganisha na yale yasiyo na raia washika dini wengi.
 
Back
Top Bottom