Hunteroflove
Senior Member
- Sep 18, 2014
- 126
- 92
Kama mnavyo ona ndugu zetu waliopata ajira TRA hili tangazo ni la ukweli maana mwanzo walisema makao makuu TRA walioitwa kazini wanapaswa kufika leo Wanasema ITA Mikocheni na masharti km yote
Hii kitu nasikia Leo au ndio academic transcript nn?Taarifa za uhakiki wa matokeo ya form IV ndo kitu gani hicho.
Hiyo ni kwa walio in service ambao wamekaguliwa na mwajiri wa mwanzoTaarifa za uhakiki wa matokeo ya form IV ndo kitu gani hicho.
Aisee asante kwa kunitoa usingizini maana naona mambo meusi meusi tuu DuuuHiyo ni kwa walio in service ambao wamekaguliwa na mwajiri wa mwanzo