Brown73
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,100
- 682
Paul S.S,
Kuna clip niliona YouTube, yaani ilinifurahisha sana. Ni kijana mkenya alikua mmnoa visu, katika kuhangaika kwake siku mmoja alijarubu kupanda kitunguusaumu kwenye eneo dogo sana.
Alishangaa pale alipo vuna Yale mavuno yake, hapo hapo skapats akili na akapata ardhi robo heka, zile zile mbegu alizovuna ndio akazipanda tena, hapo ndio ikwa mwanzo wa safari yake ya utajiri, alifikisha kulima ndhani hekari 10.
Hajawahi kuota kwamba angemiliki nyuma au gari lakini sasa anao kila anachotaka.
Kuna clip niliona YouTube, yaani ilinifurahisha sana. Ni kijana mkenya alikua mmnoa visu, katika kuhangaika kwake siku mmoja alijarubu kupanda kitunguusaumu kwenye eneo dogo sana.
Alishangaa pale alipo vuna Yale mavuno yake, hapo hapo skapats akili na akapata ardhi robo heka, zile zile mbegu alizovuna ndio akazipanda tena, hapo ndio ikwa mwanzo wa safari yake ya utajiri, alifikisha kulima ndhani hekari 10.
Hajawahi kuota kwamba angemiliki nyuma au gari lakini sasa anao kila anachotaka.