Samson Ngomboli
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 1,441
- 2,260
Kilimo ni kitamu kwenye A4,PC na simu ila uhalisia ukiwa na hasira Kali jiandalie na kamba kabisa.
Mkuu asante sanaa nitajaribu hivyo ila nilikua na wasiwasi kwa huku kwetu sisi watu wa visiwa tumezungukwa na bahari. Ila nitajaribu nashkuru sanaa kwa msaada wakoKama upo maeneo rafiki jaribu kulima vitalu viwili utapata majibu.thaumu hupandwa kipindi cha mvua na kiangazi,ukilima sasa hivi mpaka mweezi wa pili utapata majibu na hutokosea kwa hio nenda kanunue mbegu za aina mbalimbali utapata majibu kwa vitendo.Udongo unaokubali ni mfinyanzi na wenye rutuba,mbolea samadi na dukani(npk) zote sawa tu.Msim u ni mwezi wa 2-3 kwa mbeya na njombe wanaanza 12.lakini unaweza panda kiangazi na ukamwagilia, vitunguu vinapenda sehemu za baridi na mvua nyingi,jua la kuanikia la kutosha.Debe la vitunguu ni sh 45-60 elfu heka moja ni kilo 100.Binafsi nimefanya majaribio ya vitalu viwili kwa nusu sado ya vitunguu
Karibu mkuuHongera sn kijana nami nipo njiani naja
Inawezekana mkuu, na hiyo ni njia nzuri ya kujua kama hili zao linakubali kwenye eneo lako au la . PM namba yako kwa mazungumzo zaidiVipi hiyo mbegu naweza kupata japo kwa kujaribisha.
lengo langu ni kulima kidogo kama robo heka alafu mavuno nitakayopata niyatumie kama mbegu.
Checki PMInawezekana mkuu, na hiyo ni njia nzuri ya kujua kama hili zao linakubali kwenye eneo lako au la . PM namba yako kwa mazungumzo zaidi
Nakazia hapa. Ukiona unapewa mbinu hivi jua hakuna jambo humo.Ukiona mkulima anakwambia kilimo fulani kinalipa jua unaenda lia. Vyote vinavyolipa havitanagzwi, ukiona vinatangazwa jua utaenda anzisha na kuumia.
Ha ha ha..Nakazia hapa. Ukiona unapewa mbinu hivi jua hakuna jambo humo.
Kuna siku nilipita Lindi nikauliza kg ya hivi vitunguu ilikuwa 12000 elfuIpo vizuri ,nimetamani sana kulima garlic kwa kuwa ni kweli nimeona kuna faida nzuri kabisa hata wanaobeza hapa waende wakaulize kg 1 ya garlic ni tsh ngapi ndipo wataelewa kuna faida
Changamoto kila sehemu zipo tu ila watu wanafanikiwa humohumo ndani ya changamoto hivyo siwezi kuogopa maana hata ukimwambia mtu mahindi yanaweza kukutoa kimaisha anaweza kubisha ila tuliolima mahindi tunafahamu utamu wake.
Ngoja nikucheck INBOX tuongee vizuri ,maana nimepata changamoto sana kuipata mbegu huenda wewe ukanisaidia
Vitaota ila angalia kama hilo punje limeanza kuota kiini cha kijani kwa kulivunja katikati na vingine vimepulizwa dawa ili visioteBoss mfano nikichukua vitunguu hivyo vikavu nikatoa mbegu moja moja then nikapanda vitaota au Kuna mbegu nyingine mbadala?
Hapo kimoja ni sh 500Kuna siku nilipita Lindi nikauliza kg ya hivi vitunguu ilikuwa 12000 elfu