Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

Nakazia hapa. Ukiona unapewa mbinu hivi jua hakuna jambo humo.
Ninacho kijua mimi kuhusu kilimo kwa ujumla wake na tunapo kosea ni kwenye suala zima la uzoefu mfano kwa mtiririko alio elezea hapo mdau jua kabisa kuna muda wa kujifunza then mafanikio unaweza kulima hata misimu 3 bila kupata faida then wa 4 ukapata super profit
 
Ninacho kijua mm kuhusu kilimo kwa ujumla wake na tunapo kosea ni kwenye suala zima la uzoefu mfano kwa mtiririko alio elezea hapo mdau jua kabisa kuna muda wa kujifunza then mafanikio unaweza kulima hata misimu 3 bila kupata faida then wa 4 ukapata super profit

Nakubali
 
Je bado hii elimu inatolewa?
@Regrann from @kilimochavitunguu - Habari wapendwa
SEMINA YA KILIMO CHA VITUNGUU
Je unahitaji kulima Vitunguu na hujui pa kuanzia? Tutaweza kukupa semina ya mwezi mzima kabla ya kuanza kulima Vitunguu ili uweze kupata faidi kwenye zao hilo.
JIKWAMUE NA KILIMO CHA VITUNGUU kwa kukamata fursa, wewe unayehitaji kujikwamua kupitia kilimo cha vitunguu maji. Tutakupa mwongozo, ushauri na utapata kujua mwanzo mpako mwisho kuhusu ulimaji wa vitunguu maji na jinsi ya kupata mazao mengi. -Utapewa budget nzima ya mtaji wa vitunguuvitunguu
-jinsi ya kupata shamba la kukodi zuri na kiurahisi
-Aina ya madawa ya kutumia kwenye vitunguu
- jinsi ya kuhudumia shamba lako
-mwongozo wa kuuza na kupata wateja kirahisi
-tutakuunganisha na wenye mashamba,vibarua,madalali wa vitunguu na bodaboda waaminifu watakao kusaidia kwenye usafiri utakapo wahitaji(kwa eneo la Ruaha)
-utaweza kupewa ushauri endapo utakwama kwenye kipindi utakachokuwa unalima vitunguu na mengineyo mengi
Kwa sh 35000/= kwa mwezi
Namba 0656384712
Follow @kilimochavitunguu @kilimochavitunguu - [HASHTAG]#regrann[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom