MKAKA HALISI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 624
- 1,234
Ninacho kijua mimi kuhusu kilimo kwa ujumla wake na tunapo kosea ni kwenye suala zima la uzoefu mfano kwa mtiririko alio elezea hapo mdau jua kabisa kuna muda wa kujifunza then mafanikio unaweza kulima hata misimu 3 bila kupata faida then wa 4 ukapata super profitNakazia hapa. Ukiona unapewa mbinu hivi jua hakuna jambo humo.