Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Kuwa na akili kidogo, Mbowe hana bunduki wala silaha yoyote, silaha yake ni mdomo. OVerUnamuongelea Lissu ambae baada ya madhila ameikimbia Nchi? Mbowe nae yupo kama hayupo amedhulumiwa mabilion ya pesa zake lakini aliufyata amekuja kusema juzi wakati Magufuli ameshafariki dunia
Hata huyo Mayalla hoja za kichokonozi alikuwa anatoa lakini zile nondo kali alipumzika kidogo