Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana! Hongera sana, kazi umeianza vizuri. Sasa haki sio tu inatendeka, inaonekana! Kazi Iendelee…

Natembea kifua mbele nikijitapa kufahamiana na Pascal Mayalla. Huyu ndiye P ninayemfahamu mimi kabla ya 2015.
Kuna watu Bwana Mungu kawaumba si kuwa viongozi,bali kuwa mawakala wake.
Pascal haya uyafanyayo hakika ni uwakili wa kazi za Mungu.
Mh. Rais Samia S. S,tunakuomba umuache Pascal aendelee kutumika akiwa huku nnje tafadhali,maana tunaofaidika na uwakili wake ni wengi sana.
 
Apo hakuna haki hata moja iliyotendeka,Bali no maagizo tu kutoka mhimili uliojichimbia chini zaidi usitake kutuaminisha sisi wenye macho matatu.
Hivi wewe unaweza kwenda kusimama mahakamani kutoa ushahidi wa ugaidi,mfano mzuri waliokua wanahusika na mauaji ya kibiti wewe unaweza kuisaidia serikali kuwatambua?
Kwa ujumla hakuna haki DPP ametenda ukirejelea hotuba ya mh.rais siku anapokea report ya CAG na report ya takukuru unapata picha kamili kwamba ni maelekezo toka mhimili uliojichimbia chini zaidi na ndio maana alikimbilia kumteua yule ili iwe vyepesi kumpa maagizo
Hapana tupongeze hata kwa kidogo, DPP huyu ukilinganisha na takataka iliyopita ni vitu viwili tofauti kaisa
 
Natembea kifua mbele nikijitapa kufahamiana na Pascal Mayalla. Huyu ndiye P ninayemfahamu mimi kabla ya 2015.
Kuna watu Bwana Mungu kawaumba si kuwa viongozi,bali kuwa mawakala wake.
Pascal haya uyafanyayo hakika ni uwakili wa kazi za Mungu.
Mh. Rais Samia S. S,tunakuomba umuache Pascal aendelee kutumika akiwa huku nnje tafadhali,maana tunaofaidika na uwakili wake ni wengi sana.
Naunga mkono hoja
 
View attachment 1825109

Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.

Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.

Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.

Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
  1. Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
  2. Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
  3. Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
  4. Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
  5. Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
  6. Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
  7. Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
  8. Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
  9. Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.

Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .

Paskali.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Kazi ya DPP siyo kutenda haki, hiyo ni kazi ya mahakama; kazi ya DPP akishirikiana na polisi ni kusimamia sheria (law enforcement). Polisi watakamata mtuhumiwa na kukusanya ushahdi dhidi yake, DPP ataunganisha ushahdi uliletwa kama unatosha kupeleka kesi mahakamani, akijiridhisha basi anaupeleka mahakamani ambako ndiko haki hutolewa.
 
Mpe heshima yake Mayala, we umewahi kuitwa Bungeni kwa ajili ya Post zako?
Kuitwaa bungeni tena! Hii mbumbumbu imetoka wapi tena? Huu ugali mnaokula watz unawaharibu mnoo..badilishen menu..bongo zenu zitakaa vzur.. bungeni wanaitwaa had watu wanaocheza uchi kwenye matv jombaa za tz
 
Achana na hizo mambo za wanyonge, kama wew bado mnyonge nenda kajinyonge tu. Nadhani Kabendera bado anamkumbuka Pascal Mayalla
Kwani wewe mbele ya habinda Seth sio mnyonge?mbele ya papa msofe sio mnyonge?hawawezi wakakuweka ndani bila hata kosa na ukaozea jera.Hawawezi wakaja kujenga kwenye kiwanja chako na na hati unayo wala usiwafanye kitu?sasa kwanini usiwe mnyonge
 
Ulisifia ubatili miaka yote 5 na miezi kadhaa. Leo unajifanya umeokoka, ati? Hypocrisy haitakuacha salama. Akija dhalimu mnampa sifa, akija mtu wa haki mnampa sifa! Bendera kufuata upepo ili mradi matumbo yenu yajae, siyo?
View attachment 1825109

Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.

Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.

Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.

Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
  1. Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
  2. Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
  3. Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
  4. Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
  5. Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
  6. Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
  7. Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
  8. Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
  9. Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.

Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .

Paskali.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143
 
View attachment 1825109

Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.

Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.

Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.

Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
  1. Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
  2. Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
  3. Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
  4. Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
  5. Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
  6. Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
  7. Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
  8. Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
  9. Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.

Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .

Paskali.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Kinachonikera mimi ni kwamba pamoja na madini unayotupa lakini wakubwa hawakuoni,wanakera sana,teuzi za Maded naomba Mungu uwemo.
 
Kipi cha kumfanya tumpongeze,unafikili maskini na wanyonge waliokua wananyanyaswa na hao maboss walio achiwa huru wanajisikiaje saivi
Jinai haifi mzee, unashahdini peleka hata leo wakamatwe, tuache fikira za kipumbavu za kujaza watu magerezani eti ndiyo unafanya kazi. Ndugai anahujumu uchumi mbona hakamatwi?
 
Mbona Lissu alipigwa risasi mchana kweupe na bado akaendelea kuwa na msimamo wake, Mbowe kufungwa na kufilisiwa na utawala wa shetani
Unamuongelea Lissu ambae baada ya madhila ameikimbia Nchi? Mbowe nae yupo kama hayupo amedhulumiwa mabilion ya pesa zake lakini aliufyata amekuja kusema juzi wakati Magufuli ameshafariki dunia

Hata huyo Mayalla hoja za kichokonozi alikuwa anatoa lakini zile nondo kali alipumzika kidogo
 
Tu
View attachment 1825109

Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita.

Wanasheria wana vimisemo vyao vingi vingi vya kisheria, vingi viko kwenye lugha ya Kilatini, na kutafsiriwa kwa Kiingereza kisha Kiswahili, mmoja wa msemo maarufu sana kuhusu haki, unasema "Justice must not only be done, must be seen to be done", kumaanisha "Haki sio tuu ni lazima itendeke, bali pia ionekane inatendeka". Kwa muda wa mwezi mmoja sasa, wiki nne mfululizo, nimekuwa nikiandika makala za "Kilio cha Haki" nikijiekeza ofisi ya DPP, hatimaye sasa kuna kitu kinatendwa na kinaonekana.

Unapoandika makala kulalamikia jambo fulani, na kutoa ushauri wa nini kifanyike, halafu ikatokea hicho ulichashauri kikafanyika, kama ulivyoshauri, hatua ya kwanza ni kutoa pongezi, kwa hicho kilichofanyika, hivyo makala ya leo, naianza kwa kumpongeza DPP, ametenda!. Kumbe Kutenda haki kunawezekana, hongera sana DPP mpya kwa kuianza kazi yako vizuri, sasa sio tuu haki inatendeka, bali pia inaonekana kutendeka, hivyo kazi hii nzuri na iendelee, na sio kusubiri tena hadi Mama aseme!.

Sasa naendelea na ule ushauri wa DPP, wiki iliyopita niliishia number 6, leo naendelea.
  1. Kuna watuhumiwa wako mahabusu kwa makosa yanayodhaminika, bali DPP ameiamuru mahakama kuzuia dhamana zao. Hapa kuna mambo 3.Moja ni masuala ya weledi, haki na uwajibikaji wakati wa kutekeleza mamlaka kwa mujibu wa kifungu hiki. Mbili ni uhalali wa kifungu hiki kikatiba ambacho kwa kweli hakitoi uwajibikaji kabisa ndio maana kilifutwa kwenye CPA baada ya mahakama kujiridhisha kifungu hiki kinakwenda kinyume cha katiba, kisheria, mahakama ikiishatoa amri, sharia fulani au kifungu fulani kiko kinyume cha katiba, na kifungu hicho kifute, kifungu hicho kinakuwa “null and void ab initio”, yaani hakukuwahi kuwepo,
  2. Lakini kwenye kufutwa kwa kifungu hiki, kuna kitu cha ajabu kimetokea, wakati kifungu hiki kimefutwa na mahakama kwa kuwa kinyume cha katiba kwenye CPA, kifungu hicho bado kipo kwenye EOCCA!. Hili ni jambo la ajabu sana!. Hapa naiomba Mahakama inatamka kifungu fulani kinakwenda kinyume cha katiba, na kuamuru kifutwe, kifungu hicho kifutwe kwenye sheria nyingine zote.
  3. Sasa tunaishi kwenye ulimwengu wa kidigitali, Tanzania na sisi tutumie nafuu za kidigitali, kwa kuanzisha “digital custody “ mahabusu za kidigitali na “digital cells”, jela za kidigitali, mtuhumiwa anazuiliwa nyumbani kwake, hata kutumikia kifungo akiwa nyumbani kwakwe kwa kufungiwa kifaa maalum cha GPS (tracking device), inayofungwa kwa lakiri ya kidigitali, na kuwa kuzuiwa nyumbani kwake, nyumba hiyo inafungwa kamera, maalum, (IP Camera) kama zile kamera za CCTV, hivyo polisi/magereza wanaona nyendo zote za mtuhumiwa, akivuka tuu ile IP camera, inapiga alarm, mtuhumiwa anakuwa amekiuka masharti hivyo kustahili kuzuiliwa mahabusu. Utaratibu huu unaruhusu mke anapata haki zake za ndoa, watoto wanapata mapenzi ya baba, na baba kuendelea na shughuli za kuingiza kipato cha kuendesha familia.
  4. Mahabusu ni mtuhumiwa tuu, anahesabika hana hatia hadi athibitishwe na mahakama, lakini mahabusu wetu, wanahesabiwa kama wafungwa, wananyimwa haki zao , mfano watuhumiwa wengi tuu ambao sio hatarishi wamefiwa na ndugu zao, wazazi wao, wapendwa wao au jamaa zao, bila kupewa haki ya kushiriki mazishi yao, akiwemo mwanafani mwenzetu Erick Kabendera, ambaye mama yake alitoa kilio chake mahali kuwa uhai wake unamtegemea mwanae. Mama huyo alipoteza maisha kwa sababu ya mwanae kushikiliwa mahabusu, na mwanae hakuruhusiwa kumzika. Sisi watu wa karma, tulitoa angalizo la karma ya huyu mama, wanaojua karma ilikuja kufanya nini, wanajua!. Mahabusu wa wenzetu, hata wana ndoa, wanaruhusiwa kupata haki zao, hata wawapo mahabusu au vifungoni,
  5. Mhabusu zetu ni mahali mahali hatarishi, na kutokana na umasikini wetu, hatuna magereza ya mahabusu (remand prison) na jela ya wahalifu, Mahabusu wetu, wanashikiliwa jela kama wafungwa. Wapo baadhi ya mahabusu wanafanyiwa vitendo vibaya au viovu wakiwa mahabusu na wapo ambao wamepata matatizo ya kiafya permanently kwa kurundikana mahabusu bila huduma za msingi ambapo wangeweza kujihudumia wenyewe wawapo nje. DPP/serikali inapata faida gani kuswekwa watu rumande na kuzuia dhamana?!.
  6. Japo hapa natetea haki za watuhumiwa , pia naomba pia kuzingatia haki za wahanga wa uhalifu. Katika ulimwengu wa uhalifu kuna watu wabaya kupita kipimo. Just imagine unakuta mtu mzima umembaka mtoto wa miaka 2 na kumharibu vibaya sehemu zake za siri na pengine akamwambukiza HIV, mauaji ya kutisha , vitendo vya vikundi vya kihalifu kama panya road na mapanga yao wanapokuingilia na kukucharanga mapanga bila huruma na kumbaka binti yako au mkeo mbele yako na visa vingine vingi. Hao ni ma “psychopath” wanastahi kukaa mahabusu kwasabu ni watu hatarishi, wasipate dhamana kwa vile wamepoteza sifa za haki yao kuwa huru.
  7. Ule utaratibu wa notification kwa makosa ya usalama barabarani, na kulipa faini za papo kwa papo, utumike pia kwenye vituo vya polisi, mwizi wa kuku akiri kuiba kuku, akubali kumlipa aliyemuibia na kulipa faini, kesi hiyo inaishia hapo hapo kituoni wala haina haja ya kufikishwa mahakamani.
  8. Majaji wetu, kwa ajili ya kusikiliza maombi ya dhamana, nao wanapaswa kufanya kazi kama vituo vya polisi, mahospitali na dharura nyingine kwa saa 24. Kama ilivyo kwa madaktari wa zamu anapigiwa simu kukitokea dharura, kuwe na majaji wazamu saa 24/7. Nimeshuhudia hii Afrika Kusini, kila mtuhumiwa anapelekwa kwa hakimu wakati wowote hadi usiku wa manane, kama vile madaktari au vituo vya polisi.
  9. Mwisho, Mheshimiwa sana, DPP wetu mpya, hongera kwa uteuzi wako mpya, Watanzania tunamatumaini makubwa sana na Rais wetu Mama Samia katika nia yake ya dhati kutaka Watanzania watendewe haki, na Mama Samia, amekuaminia wewe kuongoza na ofisi hii muhimu sana, ya DPP, timiza wajibu wako kwa mujibu wa katiba, sheria, taratibu na kanuni, kama ulivyoanza, Taifa litaponywa, kwa haki sio tuu kwa haki kutendeka, bali pia kwa haki kuonekana imetendeka.
Mungu Ibariki Tanzania.

Baada ya kumalizana na DPP, ungana nami wiki ijayo tukianzana na Jaji Mkuu na Mfumo mzima wa Mahakama katika utoaji haki. .

Paskali.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Mkuu Pascal Mayalla , namba 5 ni mhabusu au Mahabusu ?....

Kwingine umenena vyema, lakini mimi sijaona cha kupongeza kwenye Legal system zetu. Sehemu mbaya kabisa hapa nchini ni pale ukiwa Suspect kwenye ishu yeyote. Utateseka sana!!...
 
Back
Top Bottom