DPP: Hakukuwa na nia ya kufungua kesi ya Jinai dhidi ya Pauline Gekul

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,403
Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu amesema hakukuwa na nia kwa Wakili kufungua kesi ya jinai labda kuna sababu nyingine ambayo haijafahamika na alichokifanya kuingilia kesi hii ni kutimiza majukumu yake kisheria kwa sababu leo ni kwa huyu (Mhe. Pauline Gekul) lakini kesho inaweza kuwa kwa mtu mwingine yoyote.

Amesema aliyefungua keshi ya Gekul alipeleka chini ya Kifungu cha 128 (2) (4) na ile sio Private Prosecution. Na sheria imetoa mwanya pale mambo mtu aridhiki kwa namna DPP anaendesha mashtaka anaweza kuomba kuendesha mashtaka yeye.

Anasema kilichotokea kwa Pauline Gekul ni kwamba Polisi walikuwa wanaendelea na Uchaguzi, mara DPP anaona kesi imesajiliwa Mahakama. Ambapo alifutilia kuangalia kama utaratibu wa kifungu cha namba 128 umefuatwa maana yeye kama DPP hakuwa anajua.

Anasema Polisi walikuwa hawajafika mwisho na uchunguzi na walikuwa wanachunguza vitu viwili kwa sababu Gekul alienda Polisi kushtaki na aliyeshtakiwa na Gekul naye alienda kushtaki Polisi. Na hivyo aliamua kuondoa kesi hiyo mahakamani kwa mujibu wa sheria

Amesema majarada ya Pauline Gekul yamefika ofisini kwakwe na wanafanyia kazi na pengine wikii hii ama watashtaki au hawatashtaki na kuna jarada ambalo Gekul analalamika na ambalo analalamikiwa.


Naibu Waziri na Mbunge Pauline Gekul adaiwa kumfanyia Ukatili wa Kimwili Mtoto

Breaking News: - Rais Samia Suluhu atengua uteuzi wa Pauline Gekul saa chache baada ya kutuhumiwa kufanya unyanyasaji

Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana

Pauline Gekul anastahili kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani haraka sana. Amekichafua na kukipaka matope chama

CCM Manyara yakutana kumjadili Pauline Gekul, kutoa tamko Novemba 27, 2023

Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya

Mbunge Pauline Gekul ahojiwa Polisi na kupewa dhamana, karudi nyumbani kwake

Peter Madeleka kusikiliza kesi ya Gekul mahakama ya Wilaya kwa tuhuma alizonazo dhidi ya Hamis

Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake

Nani anamlinda Gekul? DPP asema hana mpango wa kuendelea na kesi
 
Sylvester Mwakitalu - Mkurugenzi wa Mashtaka Tanzania (DPP) amesema hakukuwa na nia kwa Wakili kufungua kesi ya jinai labda kuna sababu nyingine ambayo haijafahamika na alichokifanya kuingilia kesi hii ni kutimiza majukumu yake kisheria kwa sababu leo ni kwa huyu (Mhe. Pauline Gekul) lakini kesho inaweza kuwa kwa mtu mwingine yoyote.

View attachment 2862327
Hata mm sijamwelewa.Naona sheria za Tanzania ni kwa ajili ya kuwalinda vigogo wa ccm na si wananchi.Hivi anamaanisha mm leo kwa Gekul kesho kwa mwingine hivi ndo sheria ziko hivi!
 
Huyu DPP nimesikiliza mwanzo mwisho, ni magumashi tupu, sasa kwa nini aingilie kesi na kuifuta kwa technicality ? kwa nini yeye asifungue yake na tuone kwamba ameifungua na inaendelea? anatoa sababu lojolojo tu bila mpango. Sheria iachwe itiririke kama maji ya mtoni hadi baharini kwa majaji tuone kinachoendele, sio hizi incompitencies za hawa so called BPP...
 
Yure mupe yure muruke

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri WA bongo sheria uamuliwa na jinsi ulivyo ukiwa na pesa au maarufu au kada huwezi tendewa SAWA na asiye.
Naona wanapanga kumuachia mke wa msuya muuaji mkubwa wazee wa Baraza washavuta sema wanaogopa jamii eti kesi kaangushiwa housegirl,kibatala kashavuta zake kumtetea mama wa kimachame
 
Back
Top Bottom