Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa?

Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.

Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.

Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali.

Kama unaamini Ni Mpango WA Mungu Ndugai aende, sasa Kwa nini unatuuliza anayekuja? Wacha mpango wa Mungu uendelee!

Sasa wewe unataka maoni yetu ya nini Na ushaseme Na maoni ya Mungu, ngoja sie tut aangalie tu, usituchoshe!
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.

Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.

Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali.
Yote ni mi CCM msicheze Na akili Za watu ,imeingia madarakani kwa nguvu Za dola, jeshi Polisi tiss . Watu wameuliwa Na wengine ni vilema . Mi CCM imelaanika hiyo haina kheri hata moja
 
Kama unaamini Ni Mpango WA Mungu Ndugai aende, sasa Kwa nini unatuuliza anayekuja? Wacha mpango wa Mungu uendelee!

Sasa wewe unataka maoni yetu ya nini Na ushamba Na maoni ya Mungu, ngoja sie tut aangalie tu, usituchoshe!


Anataka tufanye Bet.
 
Tiba kuu ya hii nchi ni KATIBA MPYA jadili chochote utarudi hapo .Hebu tupitie haya:
1.Spika anachaguliwa na mwenyekiti (Rais /mkuu wa serikali) na kamati yake ,ambapo baadhi ya wanakamati ni mawaziri au wanakaa viti serikalini
2.Kisha anaenda kushawishi wabunge jinsi atavyowageuka waliompitisha jina kwa kuwakagua ,kuwakosoa na kuwasimamia kwa weledi bila shaka.Huku hatma ya kurudishwa jina lake kwenye uchaguzi ujao wa spika iko kwa wajumbe wa nec ambao ubora wa kazi yake ni kuwa kosoa na kuwasimamia.
3.Ili rais arudi madarakani anahitaji wananchi wawe na imani na serikali yake ,kazi ya spika ni kusimamia wabunge kuhakikisha imani hiyo sio fake ,kuhakikisha haisifiwi kwa uongo.(mkanganyiko)
4.Serikali ikiwa badhilifu inahitaji pia ipewe nafasi kubadilika na wananchi waipe nafasi kwa huruma ,kazi ya spika ni kuhakikisha wabunge wanasimama na ukweli wote kwa kusema yote ambayo inaharibu nafasi ya kurudi kwa HURUMA.
5.Serikali ikiwa sio badhilifu,maana yake imesikiliza hoja za bunge ambalo spika anaendesha vyema,Maana yake wabadhilifu wametolewa kazini,wameanikwa ,wamenyanganywa tonge ,wameshatakiwa etc ,KUMBUKA wabadhilifu hao wako bado ndani ya kamati za maamuzi za spika ajae kupitishwa jina ndani ya vikao.
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.

Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.

Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali
Kama CCM imeshindwa kutupatia rais bora kwa muda mrefu sasa watawezaje kutupatia spika bora? Tuendelee na huu utaratibu wa bora rais, spika, pm nk.
 
Ile kauli ya Rais bora au kiongozi yoyote bora atatoka CCM naipinga vikali unless wanaotoa kauli za namna hiyo wana mawasiliano na Mungu Muumba moja kwa moja.

Kwamba waTanzania wote sisi ukiwa CCM tu wewe ndio bora?

Hii inakaribia kuwa kufuru.

Hakuna chama na hasa hapa Afrika kinaweza kutakatifushwa kiasi hicho.

Ubatili mtupu.

Wapiga kura wasivurugwe akili kuwa kuchagua wasio CCM hawafai. Ndiyo viwepo vigezo makini lakini kuwa CCM siyo kigezo kisicho jadilika.
 
Kaka Paskali!
kuu ya hii nchi ni KATIBA MPYA jadili chochote utarudi hapo .Hebu tupitie haya:
1.Spika anachaguliwa na mwenyekiti (Rais /mkuu wa serikali) na kamati yake ,ambapo baadhi ya wanakamati ni mawaziri au wanakaa viti serikalini
2.Kisha anaenda kushawishi wabunge jinsi atavyowageuka waliompitisha jina kwa kuwakagua ,kuwakosoa na kuwasimamia kwa weledi bila shaka.Huku hatma ya kurudishwa jina lake kwenye uchaguzi ujao wa spika iko kwa wajumbe wa nec ambao ubora wa kazi yake ni kuwa kosoa na kuwasimamia.
3.Ili rais arudi madarakani anahitaji wananchi wawe na imani na serikali yake ,kazi ya spika ni kusimamia wabunge kuhakikisha imani hiyo sio fake ,kuhakikisha haisifiwi kwa uongo.(mkanganyiko)
4.Serikali ikiwa badhilifu inahitaji pia ipewe nafasi kubadilika na wananchi waipe nafasi kwa huruma ,kazi ya spika ni kuhakikisha wabunge wanasimama na ukweli wote kwa kusema yote ambayo inaharibu nafasi ya kurudi kwa HURUMA.
5.Serikali ikiwa sio badhilifu,maana yake imesikiliza hoja za bunge ambalo spika anaendesha vyema,Maana yake wabadhilifu wametolewa kazini,wameanikwa ,wamenyanganywa tonge ,wameshatakiwa etc ,KUMBUKA wabadhilifu hao wako bado ndani ya kamati za maamuzi za spika ajae kupitishwa jina ndani ya vikao
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.



Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.



Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.
Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali.
kuna vitu vya kuangalia nakujiuliza, 1.je ule utaratibu wakuihoji serikali nakuikosoa ukiwa mwana ccm nakuitwa msaliti umekoma?2.spika nilazima atakua mwana na mjumbe wa wakamati kuu ccm, kwakua bunge ni laccm je mjumbe wa kamati kuu ya ccm anaweza kuihoji nakuruhusu mijadala huru ndani ya bunge? je?samweli sita aliyekua bora kwa watanzania katika kuliongoza bunge lenye uhuru alipendwa na wana ccm? je'ndugai spika mbovu kuwahi kutokea ktk bunge ccm walimchukia? kilichomponza ndugai nipale alipoihoji serikali, nani atakua tayari kujitoa mhanga tena mbele ya bunge zima la ccm? kabla yakuhoji kama tutapata spika bora ndani ya ccm ni vema tukajiuliza wabunge wa bunge la ccm wako tayari kusimama ktk utumishi wao kama katiba inavyowataka?
 
Sehemu nchi hii ilipogota, ni pale tunapoona kuwa ccm ndio inahaki ya kuiongoza hii nchi kila sehemu.
Tulikuwa na nafasi nzuri ya kuichalenji ccm kwa upande wa Zanzibar kwa kukiacha chama kingine kitawale na kifanye mabadiliko yake ila hiyo fursa imezibwa sababu mkubwa hataki kushindwa kwake kuonekana hadharani
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.

Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.

Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.

Namalizia kwa endorsment yangu ya Spika bora, ni huyu jamaa Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali.


Mwenyekiti wenu kawaambieni "kuleni sawa na urefu wa kamba zenu bila kivimbewa"---- kosa ni kuvimbewa ila kula sio kosa.

🤣🤣
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.

Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.

Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.

Namalizia kwa endorsment yangu ya Spika bora, ni huyu jamaa Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali.
Paskali huu mpango wa Mungu alianza kuuonesha tangu jpm alipofariki.
Sasa nchi imekua na furaha tele, na sasa bado Makonda sherehe zitatamalaki kila kona
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Jumapili ya leo.
View attachment 2083138
Siku zote, nabii huwa hakubaliki nyumbani, lakini sote tunakubali kuwa Mungu siku zote huwa anazungumza na watu wake, kupitia manabii, na nabii anaweza kuwa mtu yoyote hata usiyemtegemea. Japo mimi sii miongoni mwa manabii hawa wa Mungu, lakini kuna vitu huwa navisema, halafu vinakuja kutokea.

Mfano mzuri ni ujio wa rais Magufuli kuwa rais wa Tanzania, niliusema humu toka mwaka 2014
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, kuna vitu nilivisema humo kumhusu JPM, na vikatokea!.

JPM alivyokuja kuwa a game changer, kuna vitu nilisema, na kweli vikaja kutokea!.

Sasa kwenye hili la Spika, kuna sauti niliisikia na nikasema humu!, angalia nilisema nini, na lini?

Bandiko hili pia ni bandiko la unabii

Jee wajua kuwa kitendo cha kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili taifa letu Tanzania, tuachane na "Bora Spika" na badala yake tupate "Spika Bora". Swali ni Je CCM ituteulia "Spika Bora", au itaendelea na ule utaratibu wake wa ki CCM, kutupatia "Bora Spika" kama kawaida?. Unabii ni huu.​

Kama ni kweli, kujiuzulu kwa Ndugai, ni mpango wa Mungu, ili taifa letu lipate "Spika Bora", CCM ina wajibu wa kutupatia "Spika Bora" wa ukweli, kati ya hao waliojitokeza. Ikitokea CCM kututeulia "Bora Spika" mwingine, maana yake, huku kutakuwa ni kwenda kinyume cha mpango wa Mungu, hivyo CCM isipotuteulia "Spika Bora" na badala yake, ikatuleulia "Bora Spika" mwingine, this time around "Karma Itahusu..".​


Spika aliyepita wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aliyejiuzulu hivi karibuni, hakuwa “Spika Bora”, alikuwa ni “Bora Spika”, hivyo kujiuzulu kwake, hakuna anayekusikitikia, na badala ya watu kusikitika, watu wanaolitakia mema taifa hili, wamefurahia kujiuzulu huko kwasababu kujiuzulu kwa Spika aliyetangua, kunaleta fursa ya taifa letu kupata tena “Spika Bora” kama enzi za Mzee wa “Speed and Standards“, Mzee SS. Swali ni jee CCM, itatupatia “Spika Bora” au “Bora Spika?.

Kwanza niombe radhi, wiki iliyopita nilisema wiki hii tutazungumzia kitu kinachoitwa “karma”, lakini kufuatia taifa letu kupitia katika changamoto ya kumtafuta mkuu wa mhimili wa Bunge, sisi watu wa media, tuna wajibu wa kulisaidia taifa letu, kupata viongozi bora, kwa kuonyesha udhaifu wa baadhi ya viongozi waliopita, udhaifu wa baadhi ya wanaotarajiwa sana, na uimara wa baadhi ya waliojitokeza, ili katika uchaguzi wa Spika, tusirudie makosa yaliyopita, na kwenye fursa ya kupata “Spika Bora”, tusifanye kosa tukachagua “Bora Spika”.

Nimesema Spika aliyepita hakuwa Spika Bora, alikuwa ni Bora Spika, kutokana na utamaduni wa upatikanaji wa Spika kwa CCM, Pius Mswekwa alikuwa ni Naibu Spika wa Spika Chief Adam Sapi Mkwawa, Spika Sitta alimshinda Msekwa kwa kumshinda kwa sifa, Spika Anna Makinda alikuwa Naibu Spika wa Samweli Sitta, Spika Job Ndugai alikuwa Naibu Spika wa Anna Makinda, hivyo utamaduni huu ukiendelea, baada ya Spika Ndugai kujiuzulu, anayetarajiwa sana ni Naibu Spika, Dr. Tulia Akson.

Kwa vile Spika Job Ndugai hakuwa Spika Bora, na kujiuzulu kwake kwa kashfa ni uthibitisho, vivyo hivyo CCM wakiendeleza utamaduni wa kumteua Naibu Spika kuwa Spika, huko kutatupatia “Bora Spika”, mwingine!, kwanini tupate tena “Bora Spika” wakati tuna fursa ya kupata “Spika Bora”?.

Wenzetu wazungu wanaita, “endorsement”, hivyo leo nafanya endorsement yangu kumpata Spika Bora, kwa kutumia udhaifu wa Spika aliyepita, na makosa ya msaidizi wake, huku nikipendekeza spika bora.

Angalizo: Hii sio kampeni kumpigia debe mtu yoyote, bali ni uzalendo kwa taifa langu, baada ya kuongozwa na “bora spika”, inapotokea fursa ya kumpata spika bora, sisi wenye jicho tunduizi la kuona matundu kwenye bora spika, tuyaonyeshe hayo matundu, ili tuepuke kupata bora spika, na kuangazia fursa za kupata spika bora, kuuongoza mhimili wetu wa kutunga sheria

Kuelekea uchaguzi Mkuu wa 1995, Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, mtu yoyote mwenye sifa na vigezo, anaweza kuwa rais wa Tanzania, lakini Rais Bora, atatoka CCM. Hivyo baada ya nafasi ya Spika kuwa wazi, wamejitokeza watu wengi kuonyesha nia kupitia CCM, na wote wana kidhi sifa na vigezo, hivyo kama tunataka kupata bora spika, mtu yoyote kati ya hao, anaweza kuwa Spika, lakini kama tunataka Spika Bora, ni baadhi tuu ya hao, ndio wanaweza kutupatia Spika Bora.

Vikao vya CCM vitakutana wiki hii kufanya uteuzi wa majina matatu, kisha kikao cha wabunge wa CCM kitapiga kura kuchagua jina jina, tunakiomba Chama cha Mapinduzi kututeulia Spika Bora, na kuwaomba wabunge wa CCM, kutuchagulia mgombea bora.

Uchaguzi wa Spika mpya, utafanyika kwenye kikao kijacho cha Bunge, ambapo vyama mbalimbali vya siasa, vitateua majina ya wagombea wake, kila chama mgombea mmoja. Hivyo Mtanzania yoyote, kutoka chama chochote cha siasa, aliyekidhi sifa na vigezo, anaweza kuwa Spika wa Bunge la JMT.

Lakini kwa siasa za Tanzania, tukubali, tukatae, ile kauli ya Mwalimu Nyerere kuhusu urais wa Tanzania, kuwa “rais bora lazima atatoka CCM”, ikingali inaishi hata kwenye Uspika, kuwa Spika bora wa Bunge la JMT, lazima atatoka CCM.

Kama nilivyouanza mwaka huu, katika salamu zangu mwaka mpya, kwa kusema huu ni mwaka wa mabadiliko, na kuwaomba Watanzania tubadilike, kujizulu kwa Spika aliyepita, ni mpango wa Mungu kuleta mabadiliko katika mhimili huu pia, baada ya Mungu kuleta mabadiliko kwenye mhimili wa Serikali, sasa ni zamu ya mabadiliko katika Mhimili wa Bunge, dini zote zinatusisitiza tushukuru kwa yoye, hivyo tushukuru hata kwa mabadiliko haya ya mkuu wa mhimili wa Bunge, baada ya kutokea fursa hii, ni jukumu la Bunge letu kutupatia Spika Bora.

Kwa vile media ina ushawishi mkubwa, wa kuhamasisha jamii “influence and shape the public opinion”, media za wenzetu mfano Marekani, wao wana vyama vikuu viwili, The Democrats na The Republic, kwenye uchaguzi mkuu, wao, media zilifanya kitu kinachoitwa “endorsement”, kwa baadhi ya media na watu mashuhuri na maarufu, kumuunga mkono mgombea wa chama fulani, mfano kuna watu, TV na Magazeti, yalimuunga mkono Barack Obama na chama cha Democrat.

Sisi Tanzania, ingawa nchi yetu ni nchi ya vyama vingi vya siasa, kwa mujibu wa katiba, lakini ukweli halisi kwa huku bara, na Bunge la JMT, japo ni Bunge la vyama vingi, lakini kiukweli wenyewe halisi uliopo, ni Bunge la chama kimoja CCM. Na nchi yetu kwa huku Tanzania Bara ni nchi ya vyama vingi, lakini ukweli ni nchi ya chama kimoja CCM, kikizungukwa na vyama utitiri, hivyo kama media kufanya endorsement, ni endorsement ya mgombea wa CCM.

Nafasi ya kila chama kutoa mgombea ni nafasi moj tuu, na kati ya wagombea wote waliojitokeza CCM, atakayechaguliwa kuiwakilisha CCM ni mtu mmoja, na kati ya hao waliojitokeza CCM, miongoni mwao, mtu mmoja huyo wa kutupatia Spika bora, swali ni Jee CCM safari hii, watatupatia Spika Bora?, au wataendelea kutupatia Bora Spika, kama aliyetangulia?.

Namalizia kwa endorsment yangu ya Spika bora, ni huyu jamaa Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Nawatakia Jumapili Njema
Wasalaam.

Paskali.
Mmhh🤔,Sasa tufanyeje?
 
Mayalla ni vizuri kama ungekuwa specific zaidi kuhusu nani anafaa kuwa spika bora sababu hadi sasa majina ya wagombea wote kwa tiketi ya CCM inajulikana wazi. Hii itawasaidia hata baadhi ya hao wateuaji kufanya maamuzi ya busara kuliko kiufanya kwa mazoea tu.

Lakini nikifikiria mbali zaidi naona bado tatizo linakuwa pale pale sababu wanaomteua mgombea kwa tiketi ya CCM ndio hao hao wanaounda serikali hivyo hawawezi kumteua mtu mwenye misimamo mikali dhidi yao.
Mbona kawa specific maybe hujasoma article yake hadi mwisho kaweka link ya thread ya speaker anayemkubali (Andrew Chenge )
 
Back
Top Bottom