Kuhusu Ruhazwe Jr na Miss chit chat

Kuhusu Ruhazwe Jr na Miss chit chat

Zion Daughter (Binti Sayuni??)
umeona eeh,
no body cares matatizo ya mtu,
they care pesa, ok aliyetoa mchango ajitokeze ...kimya...
ni namna mojawapo kubwa sana ya kukoseana uaminifu.

Unachotetea ni nini Mamndenyi..!?? aliyekosa uaminifu ni Ruhazwe JR , Na usidhani kuwa watu wanalalamikia pesa, no. hiyo ni pesa ndogo sana, na waliotoa hizo hela hawakutoa kwa kuwa wanazo sana la hasha, walitoa kwa moyo na mapenzi yao kuona chit chat inaendeleza interaction ya watu. Ruhazwe JR alipaswa kuonyesha uaminifu wake katika hili. Mbona awali tulipoambiwa anaumwa we were patient na tukawa nae kimaombi tukimtakia quick recovery.!!? Leo hii wewe unasema waliochangia pesa waseme uwarudishie, unadhani utaweza kurudisha imani waliyopoteza kwa Ruhazwe JR ..!??? ,Na kama uwezo huo unao kwa nini hukujitokeza kutoa ufadhili wakati huo RUHazwe anaomba wafadhili kujitokeza.
Tunampenda sana mwenzetu Ruhazwe JR , lakini je kwa hili lililotokea utatushawishi vipi tusiamini kuwa Ruhazwe JR katumia mtandao huu kutapeli..!??, Je inatosha tu kutuambia anaumwa au ana matatizo na muda unaenda na tuamini tu..!?? I'm thinking...
 
Last edited by a moderator:
Unachotetea ni nini Mamndenyi..!?? aliyekosa uaminifu ni Ruhazwe JR , Na usidhani kuwa watu wanalalamikia pesa, no. hiyo ni pesa ndogo sana, na waliotoa hizo hela hawakutoa kwa kuwa wanazo sana la hasha, walitoa kwa moyo na mapenzi yao kuona chit chat inaendeleza interaction ya watu. Ruhazwe JR alipaswa kuonyesha uaminifu wake katika hili. Mbona awali tulipoambiwa anaumwa we were patient na tukawa nae kimaombi tukimtakia quick recovery.!!? Leo hii wewe unasema waliochangia pesa waseme uwarudishie, unadhani utaweza kurudisha imani waliyopoteza kwa Ruhazwe JR ..!??? ,Na kama uwezo huo unao kwa nini hukujitokeza kutoa ufadhili wakati huo RUHazwe anaomba wafadhili kujitokeza.
Tunampenda sana mwenzetu Ruhazwe JR , lakini je kwa hili lililotokea utatushawishi vipi tusiamini kuwa Ruhazwe JR katumia mtandao huu kutapeli..!??, Je inatosha tu kutuambia anaumwa au ana matatizo na muda unaenda na tuamini tu..!?? I'm thinking...

Safi sana Ndelejha.
Je Mamndenyi,anaweza rudisha imani za watu walizopoteza kuhusu Ruhazwe JR?

Na mtu yeyote asikimbilie kusema kuwa atawarudishia wafadhili pesa zao.
Kwa maana hata mimi pekee ninao uwezo wa kuwarudishia,ila tatizo ni UAMINIFU.
Na nyie mnaosema ati kuwa Hamjui kama amepata matatizo,ndio hatukatai kuwa matatizo hayampati Ng'ombe wala Mbuzi,bali ni Binadamu,lakini kwa nini anashindwa kuja kusema neno moja ili roho za member zitulie?
Maana yaonesha alikuwamo humu tar 28 Januari,kweli alishindwa kusema chochote.

Kwa kweli Mpaka sasa hv, Tumekosa Imani na Uaminifu kwa Ruhazwe JR.
Arudishe tu hzo pesa za watu, na hili Shindano lifungiwe, PERIOD.

Nanyi mnaomtetea ujinga huu,yaonekama Hizo Pesa Mmekula nae,kubalini au Kataeni.
 
Last edited by a moderator:
Safi sana Ndelejha.
Je Mamndenyi,anaweza rudisha imani za watu walizopoteza kuhusu Ruhazwe JR?

Na mtu yeyote asikimbilie kusema kuwa atawarudishia wafadhili pesa zao.
Kwa maana hata mimi pekee ninao uwezo wa kuwarudishia,ila tatizo ni UAMINIFU.
Na nyie mnaosema ati kuwa Hamjui kama amepata matatizo,ndio hatukatai kuwa matatizo hayampati Ng'ombe wala Mbuzi,bali ni Binadamu,lakini kwa nini anashindwa kuja kusema neno moja ili roho za member zitulie?
Maana yaonesha alikuwamo humu tar 28 Januari,kweli alishindwa kusema chochote.

Kwa kweli Mpaka sasa hv, Tumekosa Imani na Uaminifu kwa Ruhazwe JR.
Arudishe tu hzo pesa za watu, na hili Shindano lifungiwe, PERIOD.

Nanyi mnaomtetea ujinga huu,yaonekama Hizo Pesa Mmekula nae,kubalini au Kataeni.

I love you
C.c Chimbuvu
 
Last edited by a moderator:
Unachotetea ni nini Mamndenyi..!?? aliyekosa uaminifu ni Ruhazwe JR , Na usidhani kuwa watu wanalalamikia pesa, no. hiyo ni pesa ndogo sana, na waliotoa hizo hela hawakutoa kwa kuwa wanazo sana la hasha, walitoa kwa moyo na mapenzi yao kuona chit chat inaendeleza interaction ya watu. Ruhazwe JR alipaswa kuonyesha uaminifu wake katika hili. Mbona awali tulipoambiwa anaumwa we were patient na tukawa nae kimaombi tukimtakia quick recovery.!!? Leo hii wewe unasema waliochangia pesa waseme uwarudishie, unadhani utaweza kurudisha imani waliyopoteza kwa Ruhazwe JR ..!??? ,Na kama uwezo huo unao kwa nini hukujitokeza kutoa ufadhili wakati huo RUHazwe anaomba wafadhili kujitokeza.
Tunampenda sana mwenzetu Ruhazwe JR , lakini je kwa hili lililotokea utatushawishi vipi tusiamini kuwa Ruhazwe JR katumia mtandao huu kutapeli..!??, Je inatosha tu kutuambia anaumwa au ana matatizo na muda unaenda na tuamini tu..!?? I'm thinking...

great thinker kazini!! Hapa kuna wengine wamempigia na simu lakini hapokei. Kwa post yako tu Mamnidenyi atakuwa amekuelewa vyema.
 
Last edited by a moderator:
Waliotoa pesa zao waseme ili zirudishwe,
nimejikomiti i will refund kama yupo aliyetoa
aseme atoe kielelezo pesa inatafutwa lakini
uhai hautafutwi,
leteni vielelezo vya hela mliyotoa.

Kwa kauli hizi unatafuta kashfa.. acha mazereu hayo, kwa akili yako unaona watu wanalalamikia pesa ee!!!, una matatizo katika uoni wako na mtazamo wako
 
Slave laki moja kweli itugombanishe?hujawapi kupata shida? Je kila ulilopanga maishani huwa linaenda sawa?



Thank you very much Mamndenyi

tatizo sio laki moja bali tusemea uwaminifu na utu kwa wana chit chat. asiye mwaminifu kwa kidogo hata kwa kikubwa sio mwaminifu. lakini wapo walevi wanao jitambua. mia
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwako, kwa kuwa kwa kiasi fulani umejitoa mhanga kuondoa udhia huu, watu8 ana maswali kadhaa kwako;

1. Mbona ndugu yetu huyu akipigiwa simu inaita tu na haipokelewi? binafsi taarifa za kuumwa kwake nilizipata nje ya jukwaa na kwa kuwa nipo mjini hapa nilijaribu sana kumtafuta pasipo mafanikio. Nikapiga moyo konde nikiamini panapo unafuu wa mwili na akili nitapata kuwasiliana na ndugu yetu, lakini ukapita muda na hatimaye ukawa wakati hatimaye sasa ni majira na bado hakuna lolote jipya.

2. Awe anaumwa au haumwi, kwa sasa anaweza kupatikana vipi? Kama anaumwa tumtembelee kama marafiki kutoa mkono wa pole na kama yupo fit basi ajitokeze na kutoa tamko lenye mashiko.

3. Naomba utambue kuwa kuna baadhi ya wadhamini hapo juu waliweza kuahidi au kutoa udhamini kutokana na ushawishi wetu wadau wengine. Hili sipendi sana kuliongelea ila binafsi niliweza kuwavutia wadhamini wawili na kuwaunganisha na mratibu na wadhamini hao kwa ujumla wao zawadi zao ni karibu 50% ya zawadi yote. Sasa nadhani unaweza ukatambua kuwa hili lilikua ni zaidi ya zoezi la upigaji kura ndio maana wahusika wakuu wanakuwa na shauku ya kipi kiendeleacho.

Naona kama Mamndenyi ameamua kutoa majibu ya juu juu ili kuwasanifu watu aidha kwa makusudi au kwa kutokulipa uzito stahiki jambo hili
 
Last edited by a moderator:
tatizo sio laki moja bali tusemea uwaminifu na utu kwa wana chit chat. asiye mwaminifu kwa kidogo hata kwa kikubwa sio mwaminifu. lakini wapo walevi wanao jitambua. mia

Je, angekamata Mamilioni ya White Party,si angehama Mji.
Uaminifu ndo mpango mzima.
CC: Mtambuzi.
 
Last edited by a moderator:
tatizo sio laki moja bali tusemea uwaminifu na utu kwa wana chit chat. asiye mwaminifu kwa kidogo hata kwa kikubwa sio mwaminifu. lakini wapo walevi wanao jitambua. mia

Wewe ndo unasema kuhus uaminifu lkn wengi hapa wapo kipesa zaidi..
Anyway bado nasisitiza mashindano uchwara kama haya yasiendelee.Yanachafua hali ya hewa
 
Slave laki moja kweli itugombanishe?hujawapi kupata shida? Je kila ulilopanga maishani huwa linaenda sawa?



Thank you very much Mamndenyi

Hapa tunawekana sawa, hatugombani. Na kama ni shida weka wazi hapa na uthibitisho ili uaminike.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom