Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Kuhusu MwanaJF mwenzetu Tutor B

Status
Not open for further replies.
aisee hata unyayo sijaacha humu kama ushaidi .Siwezi kaa bila Jf siku ukiona nimepotea ndio hivyo itakuwa safari tena nitakie tu kila la kheri nilale salama .

Walau sumbai mpo naye bega kwa bega
Kwa hiyo mkuu ikipita siku sijakuona huku niweke msiba? tusije sumbuana nikaweka msiba kumbe haukuwa na bando!!
Baba P nikifa sijui kama ataleta hata taarifa .
 
Mpe anachotaka Bhana, hizo text hatakutumia tena. Mtu anayeenda ulimwenguni mwingine hawezi kuwa hivyo.

Mpe anachotaka Mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom