Kwa hiyo mkuu ikipita siku sijakuona huku niweke msiba?![]()
![]()
aisee hata unyayo sijaacha humu kama ushaidi .Siwezi kaa bila Jf siku ukiona nimepotea ndio hivyo itakuwa safari tena nitakie tu kila la kheri nilale salama .
Walau sumbai mpo naye bega kwa bega

tusije sumbuana nikaweka msiba kumbe haukuwa na bando!!Baba P nikifa sijui kama ataleta hata taarifa .

