- Thread starter
- #101
Huyu ni rafiki yangu wa karibu sana mkuuKumbe Jf watu wanajuwana had I kupeana no? Mm naogopaga sana kuwasiliana na watu nisiowajua
Huyu ni rafiki yangu wa karibu sana mkuuKumbe Jf watu wanajuwana had I kupeana no? Mm naogopaga sana kuwasiliana na watu nisiowajua
Hajafa lakini!!!
😳😳😳😳😳Kuna mambo ukitumia ubongo kidogo tu baasi hayakupi shida,majibu yote unayapata......kifuatacho utaombwa papuchi na mgonjwa.
Wengi wamenitahadharisha kwenye hii thread. ahsante mkuuHuu uzi unanikumbusha habari mmoja kwenye biblia kuhusu Amnoni mwana wa Daudi aliyempenda umbu/dada yake Tamari nakukonda siku baada ya siku na kuigiza kuumwa huku akipewa ushauri na rafiki yake kuomba dadaye kwa mfalme amwandalie chakula na kuitumia fursa hiyo kumbaka,narudia kuisoma tena sijui kwanini....
Huwajui kwa sababu hamuwasiliani,mkianza kuwasiliana mtajuana kwani ulianzaje kufahamiana na unaojuana nao??Kumbe Jf watu wanajuwana had I kupeana no? Mm naogopaga sana kuwasiliana na watu nisiowajua
Mbona wewe ulikuwa unaendaga kwa Evelyn Salt mkuu?
Huyu ni rafiki yangu wa karibu sana mkuu
😎😎😎Hii ni mojawapo ya aina za tongozo.......kwa mujibu wa ibara ndogo ya 2(A) ya katiba yetu.
Atuache tulale, miss you hubby....
Labda!Pengine amechanganyikiwa
Mie hata simuelewi kabisa!!!Mungu amponye jamani
Mie hata simuelewi kabisa!!!