Yesu wangu!! Hivi hawa viumbe wanatabia gani hizo? Ila huyu kama nikijua kuwa ulikuwa ni upuuzi wake, aisee ATAOGA MATUSI haki ya naniMwanaume akitaka nyapu atajisingizia hadi kifo....
Jamaa mmoja alikua anamtaka rafiki angu nae aliandika msg za hivi anaaga kwamba anarudi kwa muumba, anaakaa baada ya mwaka anaibuka tena nimekumiss unanitesa
Niko mwanza tuongozane tukamtembelee mwana JF MwenzetuJioni nitaenda lakini kwa tahadhari, hata ikibidi nitatafuta mwanamme yeyote anisindikize
kwanini mnapenda kuisingizia bangi mambo ya ajabu,imewakosea nini.?Mkuu yani unajua hadi ananitisha. Nimemuuliza swali, kuwa anavuta bangi? akanijibu kwa kifupi kuwa hata South Africa inaruhusiwa. yaani hadi muda ninavyotaipu hii comment bado sms zinaendelea kuingia za kuwaaga wanaJF!!
Je amewahi kuomba nae?Yesu wangu!! Hivi hawa viumbe wanatabia gani hizo? Ila huyu kama nikijua kuwa ulikuwa ni upuuzi wake, aisee ATAOGA MATUSI haki ya nani
Kuomba nini mkuu Evelyn Salt ? Mimi ni Katoliki yeye sijui anasali wapi ila ni mkristoJe amewahi kuomba nae?
(Najaribu kuangalia chanzo)
hahahah, nisamehe kwa kuikosea adabu bhangi,🙄🙄kwanini mnapenda kuisingizia bangi mambo ya ajabu,imewakosea nini.?
SawaaaaaaaaaaaaaNiko mwanza tuongozane tukamtembelee mwana JF Mwenzetu
umesamehewa,usirudie tenahahahah, nisamehe kwa kuikosea adabu bhangi,🙄🙄

😂😂😂😂umenikumbusha enzi hizo shuleni kuna rafiki angu alimtongoza demu akajifanya anaumwa magonjwa ya moyo so demu akaogopa kumkatalia kwa kuhofia asije ua,jamaa alikula akasepaMwanaume akitaka nyapu atajisingizia hadi kifo....
Jamaa mmoja alikua anamtaka rafiki angu nae aliandika msg za hivi anaaga kwamba anarudi kwa muumba, anaakaa baada ya mwaka anaibuka tena nimekumiss unanitesa
Koh namaanisha usikute mgonjwa anasumbuliwa na mapenziKuomba nini mkuu Evelyn Salt ? Mimi ni Katoliki yeye sijui anasali wapi ila ni mkristo
Weka screen shot otherwise hii nayo itakua chai ya mchana...Wanajf habarini za asubuhi.
Leo asubuhi nilipokea sms kutoka kwa mwanaJF mwenzetu Tutor B. katika ujumbe wake aliandika kuwa anaumwa sana.
Baada ya kusoma ujumbe huo nilimpigia akakata simu, akaandika tena sms akisema nisimpigie ila nitume sms kwa kuwa anaumwa sana kichwa na kwamba amezuiliwa kuongea na simu kwa muda wa siku 90.
Lakini sasa kitu ambacho sijamuelewa ni hizi sms zake ambazo ambazo alinitumia kwa mfululizo, Hapa nitazinukuu.
1.Wajulishe wanaJF, unisaidie kuwaaga
2.Waage kabisa, taarifa zingine mtapata kwa redio na TV
3. Waambie tuonane ulimwengu wa roho
Nikamuuliza swali, ina maana hutaingia tena JF? akanijibu:
4. Nitaingiaje wakati naenda kwa baba? Nasikitika kuondoka...
5. Najisikia kuhama ulimwenguni kuna sehemu nyingine nzuri zaidi
6. Vipi mbona unaguna? Pole kwa kunipoteza.
Na bado hadi muda huu anaendelea kunitumia sms za kuwaaga wana JF
Nimeona tu niweke huu uzi hapa maana, simuelewi huyu member kwa haya anayonitumia kwenye sms.
Ndo hivo anataka mzigo kwa huruma, kisingizio cha kufa😂😂😂😂umenikumbusha enzi hizo shuleni kuna rafiki angu alimtongoza demu akajifanya anaumwa magonjwa ya moyo so demu akaogopa kumkatalia kwa kuhofia asije ua,jamaa alikula akasepa