Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
au magu kabana sana?Mwambie aache stress mkuu, aende kwa baba huku anatumia na simu?
au magu kabana sana?Mwambie aache stress mkuu, aende kwa baba huku anatumia na simu?
Ahsante sana mkuu! wengine wakachangamkia fursa ya kuomba namba za mtoa taarifaa! Futeni namba hiyo! nipo bado jamani.dah pole sana mkuu nikawa nawaza kiongozi ka vile ulikuwa umechoka kuwa nasi, mungu ni mwema
You are seconded by me and I myself.Majibu mepesi sana HAYA!
kwani wameshamalizana?Hongereni kupeana namba za simu,
Ningekuwa simjui nisingemwita hivyo. Wewe na yeye wote mnapaswa kuniamkia...
BTW kama ulikuwa unaweza kumtext atupe taarifa kuwa unaumwa... kwanini hukuanzisha thread mwenyewe kutuhabarisha?
Tukiacha hayo kwahiyo hivi sasa ushapona kabisa? Tatizo lilikuwa nini?
shehe nina wasi wasi huyu kijana mtiifu amekula mali za watu au alikuwa anamendea mali za wapemba, wamemu alert tuNingekuwa simjui nisingemwita hivyo. Wewe na yeye wote mnapaswa kuniamkia...
BTW kama ulikuwa unaweza kumtext atupe taarifa kuwa unaumwa... kwanini hukuanzisha thread mwenyewe kutuhabarisha?
Tukiacha hayo kwahiyo hivi sasa ushapona kabisa? Tatizo lilikuwa nini?
Ahsante sana mkuu! wengine wakachangamkia fursa ya kuomba namba za mtoa taarifaa! Futeni namba hiyo! nipo bado jamani.
You are seconded by me and I myself.
Ahsante sana mkuu! wengine wakachangamkia fursa ya kuomba namba za mtoa taarifaa! Futeni namba hiyo! nipo bado jamani.
Kabisa...Majibu mepesi sana HAYA!
Ohh thanks the man is here good,ohh God is good.....hutakufa kwa mkono wa shetaniAhsante! kwa msaada wa Bwana limeshindwa!
Wakapata mtoto mume naye wakanwita....Kama mnajuana hapo sawa ukute anataka mkaendelee mlipoishia kama kawaida....Adamu akamjua mkewe...
NAHUJA .... ahsante sana kwa kuwajuza ndugu wa JF kuhusu kuhumwa ...
Mlionitakia pole, nawashukuru sana mlikuwa sawa!
Mliopost kwa namna mlivyoona - ni vyema na haki!
Mlionijulia hali hata kwa simu - ahsante sana!
Naendelea vyema japo maumivu bado yanasumbua.
Wanaoogopa kufahamiana JF wachunguze mienendo yao; kwangu mimi nafurahi kuongeza marafiki kila iitwayo leo kuliko kuongeza maadui.
Kuishi ndani ya mioyo ya watu ni pamoja na kuwasiliana nao hata kama wakiwa mbali na upeo wa macho yako.
Mkuu acha michezo ya kitoto,Mkuu simu ni nyenzo tu ya mawasiliano halali!
Watoto hawaKwanini wewe na demu wako NAHUJA mlipanga kuwarusha roho wajukuu zangu hapa jamvini?