Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,078
- 25,058
Ahaha 🤣Halafu hakuna raha kama kula kuku na mayai yake.. Unaangalia tu uanze na kipi😂
Zamani ulikuwa ukiwatembelea Wageningen, unapeleka zawadi. Na ukitoka ugenini unatoka na zawadi.
Yan hata kama sio mfugo, ukiwatembelea unakuta wana miti ya matunda. Ukienda na mapapai, unarudi na maembe, raha sana.