Kuch

Kuch

Nyie ndio wale mnaomfanya Mama Samia aseme tupo vizuri kuliko USA na Ulaya...yani mboga yakueka kwenye freazer iliwe week 4 kwa kupokezana na Haragwe na Dagaa wewe unasafisha Day one 🕐.
 
Mambo gani ya kutajiana funza, kwenye vitu muhimu boss utamaliza kuku wote tukikuachia..🤣🤣
Kuna raha ukiwafuga kuku mwenyewe, nyumbani hutakiwi kukosa mifugo

Nilishawah kula kuku nikawa napost everyday three month non stop, what a history

Maisha magumu ila kufurahi ni maamuzi yako mwenyewe
 
Back
Top Bottom