Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,078
- 25,058
Nikaona jau kweli, huu utaratibu ulikuw genius machoni kwanguwanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia.🥺🥺🥺🥺😩😩😩
Nikaona jau kweli, huu utaratibu ulikuw genius machoni kwanguwanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia.🥺🥺🥺🥺😩😩😩
Umeikosea sana mbege kuiweka kwenye glass bwashee 😆Huwa napika mbege home mwenyewe, mara ya mwisho ilipanda sana kuna kidumu kililipula ndani ya fridge.
Ngararimo ndio sijawah pika, ila kiburu kinapikwa sana home na niliagiza magadi Rombo, ya huku hakiwi kitam kivile
Hii ilikuw last year mbege
View attachment 3398319
Ulitaka niweke kwenye shori?Umeikosea sana mbege kuiweka kwenye glass bwashee 😆
Basi hata bohoraUlitaka niweke kwenye shori?
Naitolea wapi? Siku hizi hata shori hakuna sizioni
baada ya pilau jeusi na bia nini kilitokea 😂Mzee pilau uchagani linakuw jeupe jeupe, nilikula pilau jeusi sehemu, hatari
Usije jichanganya ukalipiga pilau jeusi na bia
Au mbagala zhakeim uwanjaniUswazi mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama una udhubutu wa kula macho Nahisi bado yangali ya zamaniManeno ya Mungu yanasema .. Tazama ya kale yamepita.. Na sasa yamekuwa mapya...✌🏿💪🏿😂
Hayo naogea 😃Basi hata bohora
We jamaa utakuw unafatilia sana CCM hupitwi?baada ya pilau jeusi na bia nini kilitokea 😂
Macho yanaliwa,kuyatoa ni matumizi mabaya ya malighafi.Iko kichwa umekipika kizimakizima hujatoa ata macho🤔
Napitwa na mengi tu... lakini naamni huo mchanganyiko wa pilau jeusi na bia una story ya kusisimua mpaka nimeulizaWe jamaa utakuw unafatilia sana CCM hupitwi?