Kuch

Kuch

Huwa napika mbege home mwenyewe, mara ya mwisho ilipanda sana kuna kidumu kililipula ndani ya fridge.

Ngararimo ndio sijawah pika, ila kiburu kinapikwa sana home na niliagiza magadi Rombo, ya huku hakiwi kitam kivile

Hii ilikuw last year mbege

View attachment 3398319
Umeikosea sana mbege kuiweka kwenye glass bwashee 😆
 
Umeikosea sana mbege kuiweka kwenye glass bwashee 😆
tanzanian-banana-beer.jpg
 
Maneno ya Mungu yanasema .. Tazama ya kale yamepita.. Na sasa yamekuwa mapya...✌🏿💪🏿😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama una udhubutu wa kula macho Nahisi bado yangali ya zamani
 
Back
Top Bottom