Kuch

Kuch

Nyie ndio wale mnaomfanya Mama Samia aseme tupo vizuri kuliko USA na Ulaya...yani mboga yakueka kwenye freazer iliwe week 4 kwa kupokezana na Haragwe na Dagaa wewe unasafisha Day one šŸ•.
Hakika hapo hapo anaangusha keupe
 
Wasalam

Wakuu hii ni seriously issue kama una mdogo wako wa kike hakikisha hasomi an kamaliza shule na ni mzuri pia anajitambua..

Anaweza kufanya biashara kama
Kuuza Vijora ofisini
Uwakala
Stationary

Naweza kukukaribisha umri 18-23...

Hiki kigezo cha umri zingatia sana sana

Hii ni ofa ambayo natoa kwa week moja tuu ikipita sitaki mtu anisumbue PM...

Kuhusu kulala kula na nk mimi ntashughulika...
Atalala kwangu...
Atakula kwangu....

Na hapo unaweza niita shemeji yako
 
Sisi wakali wa ndizi nyama , mshakova/ mnyanyile/ mnyangile , wa nyama ya ng'ombe na utumbošŸ˜‹
Binafsi napenda sana machalari ya mbuzi utumbo
Pia machalari ya mboma, unakaanga nyama ya ng'ombe pembeni.
 
Keupe ni konyangi kama asemavyo Dudu baya
IMG-20250708-WA0068.jpg
 
Wasalam

Wakuu hii ni seriously issue kama una mdogo wako wa kike hakikisha hasomi an kamaliza shule na ni mzuri pia anajitambua..

Anaweza kufanya biashara kama
Kuuza Vijora ofisini
Uwakala
Stationary

Naweza kukukaribisha umri 18-23...

Hiki kigezo cha umri zingatia sana sana

Hii ni ofa ambayo natoa kwa week moja tuu ikipita sitaki mtu anisumbue PM...

Kuhusu kulala kula na nk mimi ntashughulika...
Atalala kwangu...
Atakula kwangu....

Na hapo unaweza niita shemeji yako
Hahaha
 
Kuna raha ukiwafuga kuku mwenyewe, nyumbani hutakiwi kukosa mifugo

Nilishawah kula kuku nikawa napost everyday three month non stop, what a history

Maisha magumu ila kufurahi ni maamuzi yako mwenyewe
Halafu hakuna raha kama kula kuku na mayai yake.. Unaangalia tu uanze na kipišŸ˜‚
 
Wasalam

Wakuu hii ni seriously issue kama una mdogo wako wa kike hakikisha hasomi an kamaliza shule na ni mzuri pia anajitambua..

Anaweza kufanya biashara kama
Kuuza Vijora ofisini
Uwakala
Stationary

Naweza kukukaribisha umri 18-23...

Hiki kigezo cha umri zingatia sana sana

Hii ni ofa ambayo natoa kwa week moja tuu ikipita sitaki mtu anisumbue PM...

Kuhusu kulala kula na nk mimi ntashughulika...
Atalala kwangu...
Atakula kwangu....

Na hapo unaweza niita shemeji yako
Sawa Mkuu kuna ile pombe inaitwa Kimpumu unakunywa Ahsubui unalewa jioni ndo umetumia maana Ahsubui ulikuwa sawa
 
Pilau la maharagwe? Haha

Nilishawah enda ukweni wamepika pilau, wanataka waweke maharage juu, na mchuzi wa bamia.

Kuna watu wanajua kuharib ladha ya pilau kwel
Wachaga ukitutoa kwenye vyakula vya asili yetu ni weupe kinouma sema vyakula vyetu vitamu sana , ukishushia na bohora moja la mbege mambo yanakua poašŸ˜…
 
Back
Top Bottom