Kuch

Kuch

Umenikumbusha mshua fulan wakat amehamia Dodoma akitaka kuku anahitaji broiler watu wakaamza kumzodoa ndo taratibu akajua Dodoma kuku wanaoliwa ni natural.... Dar mnapenda sn vitu vilaini kama vilainishi!!
Dar mnapenda sn vitu vilaini kama vilainishi!!😂😂😂 ndio maana wakioga lazima wapake mafuta macarion
 
Back
Top Bottom