Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,402
- 320
Asalaam aley khum ndugu Watanzania, ni siku ya kwanza ya mwaka 2010 hii
inatuonesha kuwa tayari tumeumaliza mwaka wa 48 tangu nchi yetu ipate
uhuru, tuanaingia mwaka wa 49. Pamoja na hayo taifa la Tanzania
limepitia vipindi mbali mbali vya wananchi wake kutawali na kundi moja
la chama kimoja cha CCM tangu kuwaondoa watawala
w...a Kizungu ambao japo waliiendesha nchi kwa faida yao lakini pia
Watawaliwa walikuwa na afadhali ya ukame mahitaji, ndiyo
kilikuwa ni kipindi mtu anajaliwa kwa utu wake ukilinganisha na kipindi
walipoondolewa na nchi kumilikiwa na kundi walijiita wana wa CCM ambao
hawa waliingia katika uongozi kwa maslahi yao zaidi na maslahi ya chama
chao cha CCM na si kwa ajili ya taifa na wananchi kwa ujumla.
Utawala
wa Ulikuwa ukiongozwa na Mtu aliyejiita Mwalimu JULIUS KAMBARAGE
NYERERE chini ya serikali ya CCM Utawala ambao haukuwapenda sana
wazalendo hata kufika hatua ya kutaifisha mali zao kwa kuwabambikia
majina ya wahujumu uchumi, na wale walionekana kuwa wasomi zaidi ama
kulipenda sana taifa lao basi walifikia hatua ya 'kutaifishwa' uhai wao
ama Kulazimishwa kuishi chini kukubari kila jambo yaani 'ndiyo mzee ama
tawile'Kutokana na tabia ya CCM kutopenda usawa kwa kudumisha utu, basi
mtu
yeyote aliyeonekana kupinga alilazimishwa kufa kwa ridhaa yake au
kuuliwa, nasema kuuliwa kwa sababu ikiwa mtu amesema ukweli hupoteza
uhai katika Mazingira ambayo mtu yeyote mwenye uchungu na taifa hawezi
kuridhishwa nayo, ambapo hata serikali hainekani kustuka ama kutaka
kufanya uchunguzi wa nini kimefanyika.Siogopi kusema haya kwa
sababu demoklasia yangu inaniruhusu kusema ingawaje mara nyingi
ukweli huwafanya watu wafe ama wauliwe.
HATA BWANA YESU alikufa kwa
sababu ya kuibeba kweli na kuileta duniani wale waliopenda uovu walipanga
njama za kumwua wakisaidiana uongozi wa serikali ya Kiroma chini ya mtu
aliyejiita Pilato.Lipi lililo jepesi ukiifia kweli ama uishi kwa
kuutukunza uuaji, ushenzi,ukandamizaji, udharirishaji na utawala wa
kimabavu? Ama kuna kuwatunza viongozi vipofu na kuwafanya watoto wao
wanywe Chai ya maziwa na boflo, harafu wa kwetu wanywe chai kavu na
yenyewe kwa bahati mbaya? Hili haliwezeka kwangu mimi ni heri kuiifia
kweli ile ninayoijua,Hebu twende taratibu tukianza na Mazingira
ya kifo cha mzee wetu Edward Moringe Sokoine, kuna mtu mwingine Mzee
Korimba, kuna Imran Kombe, kuna akina Kigoma Ali Malima, si hao tu nani
anajua mazingira ya kifo cha mzee Omar Alli Juma ni vifo vyenye
mazingira ya utata, lakini serikali ya Chama cha Mapinduzi imenyaza
kimya haitwambii chochote si wengine hatujui hapana we know every thing
evil done by CCM katika kulinda na kutetea ushenzi na udikiteta wake
madarakani.
Ni nani anajua Abeid Amani Karume alipigwa risasi na
kundi la vita gani na kutoka wapi tangu Nyerere hata sasa bado kuna
uozo mkubwa unaofanywa na CCM kwa watanzania wanyonge ambao wameishia
kuburuzwa hovyo na washenzi wachache tu kwa maslahi ya vizazi vyao.
Hivi leo tuiambie serikali ya Tanzania chini ya chama cha mapinduzi
ituandalie ripoti ya matukio mbali mbali itatuambie hivi karibuni
tumeshuhudia mabomu yakilipuliwa kwa makusudi Mbagala hakuna hata la
kuuridhisha umma kwa maelezo Umefika wakati wa kuambiana ukweli bila
hata ya kuogopana wala kuoneana aibu kama kuuana heri, kuangalia ndugu
jamaa zetu wakipoteza maisha kwa ujinga tu, haiwezekani, viongozi na watanzania
wengi wanaujua ukweli hawataki kuweka kwa kuogopa kufishwa, nani kakwambia mtu ataishi
miaka yoote hapa duniani?
Maana ni heri yule aogopaye kumkosea Mwenyezi
Mungu kuliko kumwogopa mwanadamu tu, kwani mwanadamu ni nani mbele za Mungu nasema
tena na tena kama kufa tutakufa woote lakini kweli lazima tuitenge na
giza kwa msaada wa Mungu, haiwezekani kabisa lazima maana imeandikwa
'msiwaogope hao wawezao kuua mwili wasiweze kuiua na roho, bali
mwogopeni yule awezaye kuua mwili na roho pia' yaani Mungu tu.
Na lile
lililofanywa gizani litawekwa peupe. Na vibaraka wengi wa CCM ni waota
ndoto za mizimu, usishangae ajitokeza mtu muaguzi na utabili wake wa
kipepo na kuwakatisha tamaa wengine kwa kuandaa mazingira ya wazi wazi
ya kuua mtu muhimu atakaye tokea kuipinga CCM katika uchaguzi ujao,
hizo ni tantata lila za uongo tu, na uzushi tu ili baadae wakiua mtu
tuanze kusema aaa! alitabiri Shekh Yahya, bila aibu vingozi wenye
mikataba na CCM ya muda mrefu wanaanza kuwashauri watanzania kuto
wapuza wasoma nyota na wafuasi wa mapepo na mashetani ya uuaji,Safari
hii ni zamu yake Hakuna kiongozi yeyote wala Mgombea yeyote atakaye
jitokeza kuipinga CCM akafariki, Sasa ni wakati wa kufa mwenyewe Shekh
Yahya na kundi lake la uuwaji.
MUNGU IBARIKI TANZANIA BARIKI WATU WAKE itaendelea.........
inatuonesha kuwa tayari tumeumaliza mwaka wa 48 tangu nchi yetu ipate
uhuru, tuanaingia mwaka wa 49. Pamoja na hayo taifa la Tanzania
limepitia vipindi mbali mbali vya wananchi wake kutawali na kundi moja
la chama kimoja cha CCM tangu kuwaondoa watawala
w...a Kizungu ambao japo waliiendesha nchi kwa faida yao lakini pia
Watawaliwa walikuwa na afadhali ya ukame mahitaji, ndiyo
kilikuwa ni kipindi mtu anajaliwa kwa utu wake ukilinganisha na kipindi
walipoondolewa na nchi kumilikiwa na kundi walijiita wana wa CCM ambao
hawa waliingia katika uongozi kwa maslahi yao zaidi na maslahi ya chama
chao cha CCM na si kwa ajili ya taifa na wananchi kwa ujumla.
Utawala
wa Ulikuwa ukiongozwa na Mtu aliyejiita Mwalimu JULIUS KAMBARAGE
NYERERE chini ya serikali ya CCM Utawala ambao haukuwapenda sana
wazalendo hata kufika hatua ya kutaifisha mali zao kwa kuwabambikia
majina ya wahujumu uchumi, na wale walionekana kuwa wasomi zaidi ama
kulipenda sana taifa lao basi walifikia hatua ya 'kutaifishwa' uhai wao
ama Kulazimishwa kuishi chini kukubari kila jambo yaani 'ndiyo mzee ama
tawile'Kutokana na tabia ya CCM kutopenda usawa kwa kudumisha utu, basi
mtu
yeyote aliyeonekana kupinga alilazimishwa kufa kwa ridhaa yake au
kuuliwa, nasema kuuliwa kwa sababu ikiwa mtu amesema ukweli hupoteza
uhai katika Mazingira ambayo mtu yeyote mwenye uchungu na taifa hawezi
kuridhishwa nayo, ambapo hata serikali hainekani kustuka ama kutaka
kufanya uchunguzi wa nini kimefanyika.Siogopi kusema haya kwa
sababu demoklasia yangu inaniruhusu kusema ingawaje mara nyingi
ukweli huwafanya watu wafe ama wauliwe.
HATA BWANA YESU alikufa kwa
sababu ya kuibeba kweli na kuileta duniani wale waliopenda uovu walipanga
njama za kumwua wakisaidiana uongozi wa serikali ya Kiroma chini ya mtu
aliyejiita Pilato.Lipi lililo jepesi ukiifia kweli ama uishi kwa
kuutukunza uuaji, ushenzi,ukandamizaji, udharirishaji na utawala wa
kimabavu? Ama kuna kuwatunza viongozi vipofu na kuwafanya watoto wao
wanywe Chai ya maziwa na boflo, harafu wa kwetu wanywe chai kavu na
yenyewe kwa bahati mbaya? Hili haliwezeka kwangu mimi ni heri kuiifia
kweli ile ninayoijua,Hebu twende taratibu tukianza na Mazingira
ya kifo cha mzee wetu Edward Moringe Sokoine, kuna mtu mwingine Mzee
Korimba, kuna Imran Kombe, kuna akina Kigoma Ali Malima, si hao tu nani
anajua mazingira ya kifo cha mzee Omar Alli Juma ni vifo vyenye
mazingira ya utata, lakini serikali ya Chama cha Mapinduzi imenyaza
kimya haitwambii chochote si wengine hatujui hapana we know every thing
evil done by CCM katika kulinda na kutetea ushenzi na udikiteta wake
madarakani.
Ni nani anajua Abeid Amani Karume alipigwa risasi na
kundi la vita gani na kutoka wapi tangu Nyerere hata sasa bado kuna
uozo mkubwa unaofanywa na CCM kwa watanzania wanyonge ambao wameishia
kuburuzwa hovyo na washenzi wachache tu kwa maslahi ya vizazi vyao.
Hivi leo tuiambie serikali ya Tanzania chini ya chama cha mapinduzi
ituandalie ripoti ya matukio mbali mbali itatuambie hivi karibuni
tumeshuhudia mabomu yakilipuliwa kwa makusudi Mbagala hakuna hata la
kuuridhisha umma kwa maelezo Umefika wakati wa kuambiana ukweli bila
hata ya kuogopana wala kuoneana aibu kama kuuana heri, kuangalia ndugu
jamaa zetu wakipoteza maisha kwa ujinga tu, haiwezekani, viongozi na watanzania
wengi wanaujua ukweli hawataki kuweka kwa kuogopa kufishwa, nani kakwambia mtu ataishi
miaka yoote hapa duniani?
Maana ni heri yule aogopaye kumkosea Mwenyezi
Mungu kuliko kumwogopa mwanadamu tu, kwani mwanadamu ni nani mbele za Mungu nasema
tena na tena kama kufa tutakufa woote lakini kweli lazima tuitenge na
giza kwa msaada wa Mungu, haiwezekani kabisa lazima maana imeandikwa
'msiwaogope hao wawezao kuua mwili wasiweze kuiua na roho, bali
mwogopeni yule awezaye kuua mwili na roho pia' yaani Mungu tu.
Na lile
lililofanywa gizani litawekwa peupe. Na vibaraka wengi wa CCM ni waota
ndoto za mizimu, usishangae ajitokeza mtu muaguzi na utabili wake wa
kipepo na kuwakatisha tamaa wengine kwa kuandaa mazingira ya wazi wazi
ya kuua mtu muhimu atakaye tokea kuipinga CCM katika uchaguzi ujao,
hizo ni tantata lila za uongo tu, na uzushi tu ili baadae wakiua mtu
tuanze kusema aaa! alitabiri Shekh Yahya, bila aibu vingozi wenye
mikataba na CCM ya muda mrefu wanaanza kuwashauri watanzania kuto
wapuza wasoma nyota na wafuasi wa mapepo na mashetani ya uuaji,Safari
hii ni zamu yake Hakuna kiongozi yeyote wala Mgombea yeyote atakaye
jitokeza kuipinga CCM akafariki, Sasa ni wakati wa kufa mwenyewe Shekh
Yahya na kundi lake la uuwaji.
MUNGU IBARIKI TANZANIA BARIKI WATU WAKE itaendelea.........