morganbingo
Member
- May 23, 2009
- 14
- 5
who cares if CCM dies!!! the sooner they die the better, cause they are nothing but a bunch of thieves...
:glasses-nerdy: tutawaangila vizuri kwa viona mbali wasiibe kure.
Naam yu aja mkombozi wa nchi hii.
Safari hii subiri gogo kuanguka pwaaaaa!. Mi kwenye maeneo yangu nilikuwa mjumbe wa tawi la ccm, wote nimewabadili sasa hizo kura atapewa Chadema. Naomba basi mjitume ku- convice watu.
If wishes were horses, everybody could ride!
Nyange, huyu jamaa Mzee Mwanakijiji, wee acha tuu!, akikusanya makala zake zote na michango yake ya JF na ya kule Mwanakijiji.com, amini usiamini anajaza maktaba ya kijiji. Akizibind atatoa vitabu 100 vyenye nondo za kufa mtu!.Niliwahi kupata article iliyo andikwa na mwanakijiji ikitabili kuanguka kwa ccm, yapata miaka mitatatu iliyo pita. Niliipata kwenye forum hii nikai-print. Katika kupekua nondo zangu, nimeiona na kuisoma kama vile aliandika jana!
Big up mwanakijiji, unaona mbali. Naandika hapa kuomba Mods wairudishe isomwe upya, inatisha, imetoa sura na mwelekeo mpya wa nchi tunayoitegemea baada ya 31/10/2010.
Utabiri wa Mwanakijiji hautatimi kama wewe, mimi na yule hatutapiga kura ya YES kwa Mh. Dr. SLAA.
I cant wait. am ready for it, Yes I said, I wanna see the changes. Kura yako ina umuhimu katika mabadiliko ya kweli katika Tanzania yetu. Do it~!
Nyange, huyu jamaa Mzee Mwanakijiji, wee acha tuu!, akikusanya makala zake zote na michango yake ya JF na ya kule Mwanakijiji.com, amini usiamini anajaza maktaba ya kijiji. Akizibind atatoa vitabu 100 vyenye nondo za kufa mtu!.
Tukumbushane kidogo, huyo mwanakijiji alitueleza nini kuhusu CCJ? :becky:
inabidi mjifunze nadharia za vita ndio mtaelewa.. siyo kila unachokiona ndicho kilivyo.. sasa hivi kuna CCK:becky: