Hawa jamaa mwisho wa siku wanaingia zizi moja tu
karume lazima ang'olewe, jk itabidi ajiuzulu, sitta lazima atang'olewa....sasa hivi ccm ! wow................tuendeleeni kupoteza muda ili kijiwe kisiwe cha baridi !
Msikimbie vivuli vyetu wakuu, yaani sizitaki mbichi hizi, sour grapes bwana kaaazi kweli kweeeeli,
tatizo Hussein Mwinyi na Nape sio mafisadi, ni watoto wa lowassa tu ndio mafisadi, Ridhiwani si tumeambiwa hapa kuwa ni safi au?
Haya wakuu mambo yote Columbus, nitakuwepo ninakuja kummwaga ma-Rap kibao si unajua enzi zile nilipokuwa DJ huko ma-NY, sasa nataka kuja huko kukumbushia haya wakuu tukutane huko hakuna siasa, ni kula kuku tu wallahi ninakuja kuwaga ma-Rap mtindo wa LL Coool J, Mazee Big Daddy Cane, Heavy D, Doug Fresh yaani itakuwa kutoka Radioooo ya station ya FMES, yaani vitu Jinglig baby na Raw, mazee Geeque I hope you are coming tooo, waalllahi asiyekuwa na mwana abebe jiwe, mazee Nyani vipi mkulu wangu are you on, au?
Wakuu are we on au?
kwani CCM ndo fisadi?CCM haitakufa maana kuna wasafi pia!
aliyemsafi ndani ya CCM ajitokeze awe wa kwanza kuwarushia mawe kina Chenge na mafisadi wote!!! hakuna msafi ndani ya CCM na hilo liko wazikwani CCM ndo fisadi?CCM haitakufa maana kuna wasafi pia!
samaki mmoja akioza MTOE miongoni mwa wenzake,mavi ya kale hayanuki!!!!!!!!!!!!KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI,CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!nyinyi ndio wale mliokosa vyeo mnatapatapa,waswahili walisema mfa maji heshi kutapatapa,ndani ya ccm ninaamini wapo wasafi MUDA ukifika mtawajua tu wajameni watu wako kwenye mazoezi sasa,wachafu wote watatoka kwani watakosa pa kuegemea, ni kweli ndugu yangu anavyosema wasafi wapo!!!kwani CCM ndo fisadi?CCM haitakufa maana kuna wasafi pia!
samaki mmoja akioza MTOE miongoni mwa wenzake,mavi ya kale hayanuki!!!!!!!!!!!!KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI,CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!nyinyi ndio wale mliokosa vyeo mnatapatapa,waswahili walisema mfa maji heshi kutapatapa,ndani ya ccm ninaamini wapo wasafi MUDA ukifika mtawajua tu wajameni watu wako kwenye mazoezi sasa,wachafu wote watatoka kwani watakosa pa kuegemea, ni kweli ndugu yangu anavyosema wasafi wapo!!!
chukua muda kufikiri kabla hujaruhusu vidole vyako kuandika. kuna watu humu ndani ni Maprofesa ambao hawajuani hata na huyo mgawa vyeo(Rostam Azizi) kwa humu wenye hasira na kunyimwa vyeo hawamo,ukiwataka nenda Pale mtaa wa Lumumba au Muulize makamba atakuonyesha walipo.
Endeleeni na upofu wenu bila ya kujiuliza 'what is next?
Ovyoooooooooooooooooooooooooooooooooooo! majisifa tu, wote tungebanika starehe zetu humu nani wa kumtetea mkulima wa kijijini
Acha matusi haya mkuu, sio lazima urushe haya maneno ya low class ili kueleweka, hapa JF hakuna vipofu, serikali haiwezi kufunga forum yenye vipofu!
Waziri Mkuu Lowassa hwezi kuja hapa JF kujibu vipofu, hoja hujbiwa kwa hoja, sio matusi!
CCM haita kufa jamani watu watakufa na kuiacha!CCM ina mapembe itawachoma kwenye mbavu na mtaiacha hai kabisa!
kwani CCM ndo fisadi?CCM haitakufa maana kuna wasafi pia!