Kuanguka kwa CCM - Unabii Utatimia!

Kuanguka kwa CCM - Unabii Utatimia!

ndoto zingine ni sawa na burudani...

kuna wazungu waliwahi kusema maneno kama hayo kwa Martin Luther King Jr aliposema kwamba "ana Ndoto" lakini leo hii si ndoto tena bali Barack Obama ameweka historia iliyokuwa haifikiriki enzi hizo za ndoto za martin luther king jr!
Ndoto yetu kwamba CCM lazima ife iko siku itatimia!!
 
kwa hiyo siyo CCM tuu hata Marekani siku moja itakoma kuwa tawala kuu ya dunia, kinachogomba hapa ni suala la muda.

Watu hawaogopi CCM kufa kama wapo basi sitozungumza kwa ajili yao. Nakubaliana na wewe vyenye mwanzo vyote vina mwisho, isipokuwa mwanzo wenyewe. Kubwa ni hilo lenye maandishi mazito. Tanzania sasa hivi, hapa tulipo tunamatatizo mengi (kuanzia katiba mpaka polisi wanaopora raia). ambayo lazima tuweke mikakati na tuwe tayari kujitoa ili tuyatatue. kwa vile yako mengi!!!! tunahitaji kuweka kipaumbele. Na kwa mtazamo wangu cha kwanza kabisa ni watanzania kuamka na kuacha ndoto zisizokuwa na kichwa wala miguu.

kwamba CCM siku moja (miaka 5, 10, au 200 ijayo) itakufa haitusaidi kuweka mikakati ya kuibadilisha Tanzania yetu, haswa pale inaposemwa bila kuonyesha, ni kwa namna gani basi twaweza kuiua kwa matarajio vipya vitaumbwa. Tuweke mkazo kwa mambo ya maana jamani. Tuna report ya EPA hapo juu, na mengin mengi, let us work on those which we seean end result.

Mhh.. huo msemo wa YESU KRISTU ulikuwa unafundisha kuhusu UBATIZO sasa kwa CCM sijui unaimanisha nini!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mhh.. huo msemo wa YESU KRISTU ulikuwa unafundisha kuhusu UBATIZO sasa kwa CCM sijui unaimanisha nini!!!!!!!!!!!!!!!
Mbona mwalimu Nyerere alipotumia mfano wa tajiri kuingia mbinguni kwenye kuzungumzia matajiri kutaifisha nguvu za watawala hukushangaa?
 
Tayari wameandaa watoto wao wa kuzaa kukamata nafasi hizi!

Tatizo ni kama watoto wanaweza na watafuata sheria za jamhuri na katiba za hivyo vyama, maana sioni tatizo lolote la mwenyekiti wa Chadema kukamta nafasi ya zamani ya mkwe wake,

Wananchi hatuwezi kuanza kuombea vyma vyetu vya siasa vife, that is a big mistake, kwa sababu vikifa atakayelipa the price sio viongozi, itakuwa ni sisi wananchi wenyewe, tunaoombea vife,

Tunatakiwa kuombea mabadiliko na kuondolewa kwa viongozi wabovu pande zote mbili CCM, mpaka Upinzani!
 
Tatizo ni kama watoto wanaweza na watafuata sheria za jamhuri na katiba za hivyo vyama, maana sioni tatizo lolote la mwenyekiti wa Chadema kukamta nafasi ya zamani ya mkwe wake,

Wananchi hatuwezi kuanza kuombea vyma vyetu vya siasa vife, that is a big mistake, kwa sababu vikifa atakayelipa the price sio viongozi, itakuwa ni sisi wananchi wenyewe, tunaoombea vife,

Tunatakiwa kuombea mabadiliko na kuondolewa kwa viongozi wabovu pande zote mbili CCM, mpaka Upinzani!


In my view this is the point most members here are missing!
 
ndoto zingine ni sawa na burudani...


...ilianguka Rome,Sovieti Union ndio iwe CCM....ni swala la muda tuu na sio muda mrefu sana utakuwa unasoma CCM kwenye makaratasi tuu ilikuwepo.
 
Tatizo ni kama watoto wanaweza na watafuata sheria za jamhuri na katiba za hivyo vyama, maana sioni tatizo lolote la mwenyekiti wa Chadema kukamta nafasi ya zamani ya mkwe wake,

Wananchi hatuwezi kuanza kuombea vyma vyetu vya siasa vife, that is a big mistake, kwa sababu vikifa atakayelipa the price sio viongozi, itakuwa ni sisi wananchi wenyewe, tunaoombea vife,

Tunatakiwa kuombea mabadiliko na kuondolewa kwa viongozi wabovu pande zote mbili CCM, mpaka Upinzani!

Kwa MALEZI tuliopewa na CCM hakuna asiye MBOVU. Bahati mbaya zaidi ni kwamba tumeanza KUZAA wabovu. Tunatofautiana tu viwango vya UBOVU kulingana na nafasi alipo mtu.
 
I always have trust in Mwalimus words,mpinzani wa kweli atatoka humu humu CCM.
AM SURE NDIKO TUNAKOELEKEA.Aya makundi ya akina Lowasa na wengineo at the end of the day chama kitayumba na kumeguka.
 
Kwa MALEZI tuliopewa na CCM hakuna asiye MBOVU.

Duh taifa la wananchi wabovu, sasa kufa kwa CCM kutasaidia vipi wakati wananchi wate taifa zima ni wabovu? Kama viongozi wabovu huzaa taifa zima bovu then hakuna help!
 
Kama viongozi wabovu huzaa taifa zima bovu then hakuna help!

Mara nyingi baba akiwa mlevi uwezekano wa watoto kuwa walevi huwa mkubwa Muno.

Au Mtoto wa Nyoka ni Nyoka.

Hivyo vijana wa viongozi mafisadi wanakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa mafisadi pia.
 
Msikimbie vivuli vyetu wakuu, yaani sizitaki mbichi hizi, sour grapes bwana kaaazi kweli kweeeeli,

tatizo Hussein Mwinyi na Nape sio mafisadi, ni watoto wa lowassa tu ndio mafisadi, Ridhiwani si tumeambiwa hapa kuwa ni safi au?

Haya wakuu mambo yote Columbus, nitakuwepo ninakuja kummwaga ma-Rap kibao si unajua enzi zile nilipokuwa DJ huko ma-NY, sasa nataka kuja huko kukumbushia haya wakuu tukutane huko hakuna siasa, ni kula kuku tu wallahi ninakuja kuwaga ma-Rap mtindo wa LL Coool J, Mazee Big Daddy Cane, Heavy D, Doug Fresh yaani itakuwa kutoka Radioooo ya station ya FMES, yaani vitu Jinglig baby na Raw, mazee Geeque I hope you are coming tooo, waalllahi asiyekuwa na mwana abebe jiwe, mazee Nyani vipi mkulu wangu are you on, au?

Wakuu are we on au?
 
kwani CCM ndo fisadi?CCM haitakufa maana kuna wasafi pia!
HOLO
nakuunga mkono kwa mawazo yako mazuri CCM siyo mafisadi mafisadi ni baadhi ya wanachama wake wasio waanimifu lakini CCM ni chama saafi sana na kina viongozi wazuri sera nzuri ndio maana wananchi wanakiamini na kukipa mdaraka .
Hakuna chama kama CCM bwana anapokosea kiongozi aliingia madakani kwa tiketi ya CCM ni yeye ndiyo aliyekosea,hivi mwanao akiiba anahukumiwa baba au mama kwa sababu tu amemzaa huyo mtoto hiyo si kweli
CCM ni chama dume na kitaendelea kutawala kwa miaka mingi tu hasa ukizingatia mpaka leo hii hakuna chama chenye misingi imara kama CCM vyama vingine vyote vimebaki vya wababaishaji tu
 
HOLO
nakuunga mkono kwa mawazo yako mazuri CCM siyo mafisadi mafisadi ni baadhi ya wanachama wake wasio waanimifu lakini CCM ni chama saafi sana na kina viongozi wazuri sera nzuri ndio maana wananchi wanakiamini na kukipa mdaraka .
Hakuna chama kama CCM bwana anapokosea kiongozi aliingia madakani kwa tiketi ya CCM ni yeye ndiyo aliyekosea,hivi mwanao akiiba anahukumiwa baba au mama kwa sababu tu amemzaa huyo mtoto hiyo si kweli
CCM ni chama dume na kitaendelea kutawala kwa miaka mingi tu hasa ukizingatia mpaka leo hii hakuna chama chenye misingi imara kama CCM vyama vingine vyote vimebaki vya wababaishaji tu

Waambie hao wapinzani ipole.
CCM haifi na wala haiendi kokote kule.
CCM itatawala milele zote Tanzania - na that's a fact!
 
HOLO
nakuunga mkono kwa mawazo yako mazuri CCM siyo mafisadi mafisadi ni baadhi ya wanachama wake wasio waanimifu lakini CCM ni chama saafi sana na kina viongozi wazuri sera nzuri ndio maana wananchi wanakiamini na kukipa mdaraka .
Hakuna chama kama CCM bwana anapokosea kiongozi aliingia madakani kwa tiketi ya CCM ni yeye ndiyo aliyekosea,hivi mwanao akiiba anahukumiwa baba au mama kwa sababu tu amemzaa huyo mtoto hiyo si kweli
CCM ni chama dume na kitaendelea kutawala kwa miaka mingi tu hasa ukizingatia mpaka leo hii hakuna chama chenye misingi imara kama CCM vyama vingine vyote vimebaki vya wababaishaji tu

Mkuu inatakiwa upewe ukatibu mwenezi maana inaonekana unatwanga sera vizuri sana
 
tuache mawazo mgando kwani kufa kwa kitu hakutegemei udhaifu wa kitu kingine ,kwa mfano kusambaratika kwa Urusi ya zamani hakukutokana na udhaifu wa Marekani.

kama Nyerere mwanzilishi wa CCm(kama yupo mwingine mtuambie)aliwahi kusema kwamba CCM imegeuka dodoki kubeba kila kitu nyie mnaosema CCM bado ni chama imara kwa kuilinganisha na NLD ya emanuel makaidi huo ujasiri mnaupata wapi?

ukizungumza na viongozi wa CCM wenyewe kwa ishara za maneno yao wanaonyesha kabisa kwamba chama chao kiko taabani. Sasa hivi hata chaguzi za jumuiya zao ngazi ya matawi na kata wanakosa watu wa kugombea,ndiyo chama mnachokipigia upatu kwamba hakitakufa!! CCM lazima Ife
 
Back
Top Bottom