kama nyie mnaamini maneno ya mwalimu pia alisema 'upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm'
mimi nashangaa hawa kina Dr.salim,Mwandosya and the likes wanachosubiri nini mpaka sasa??
wanaogopa ngawira babangu! WAKIHAMA CCM WATAKUWA MGENI WA NANI? WAKATI WAFANYABIASHARA WOTE NA WANACHI WANakuabudu ukiwa kwenye ufisadi ? kwani chadema wana benki kuu mahali pa kuchota mabilioni bwelele? sasa nani ahame ccm afe njaa?