CCM will definitely go one day! But i dont believe that day is soon! Sababu:
1. Kuna sehemu nyingi sana nchini hawajui anything beyond CCM.
2. Watu wengi wamewekeza ndani ya CCM, na hao watu wahatapenda kuona investment yao inaisha. Hawa ndo mafisadi. Msidhani mafisadi ni watu wanaoiba pesa za umma tu, bali hata wafanyabiashara wakubwa waliowekeza CCM wanaopata dili ndogo ndogo ambazo hatujazi-shtukia. Hivyo kuiondoa CCM, sio vita against chama tu, bali ni vita against an elite group of mafisadi ready to pump money and everything else in order to keep CCM in power.
3. Watanzania wengi hawajui maana ya maisha bora. They think in personal terms badala ya jamii na nchi kwa ujumla. Hii ndo sababu kuu watu wanapokea rushwa katika uchaguzi kwa kusudli wao binafsi kupata mlo. Sio kila mtu lazima awe tajiri, but we can all live a better life. Some of us were never meant to be wealthy, but have enough to live our lives. Bongo kila mtu anataka kuwa millionaire. Wapi na wapi jamani?!