Kuajiriwa ni utumwa

Kuajiriwa ni utumwa

Madhara ya nakuja endapo utachukua risk usiyoiweza. Sasa how Can you attend 2 masters at once alafu utegemee kutoboa.

Magufuli na u shetani wapi na wapi. Kama sio wewe na kukwepa kodi tu

Hakuna kitu rahisi ila tunaangalia kitu chenye tija kwako na kosicho kufanya ukawa huru.
% ngapi ya waliojiajiri wapo huru?
 
Sema kweli hiki kitu hata me kinaniwazisha sana, kwa mshahara wangu huu hata nikisema nijibane siwezi pata nauli ya kwenda Dubai na kula maisha kwa wiki. Wakati nina wana kibao walioko kwenye business zao mjini sehemu kama Dubai na China wanaingia karibu kila mwezi . Kuna siku nitafanya maamuzi magumu inshallah
Unawana wanafanya business na wanaenda mpk Dubai? Sasa una subiri nini kuacha kazi? 😂 Wengine tumekuwa na kuzungukwa na waajiriwa tu.. Hatujui rangi yoyote ya kujiajiri
 
Wasio na kazi wanatamani hata ya kuokota makopo walio na kazi hawazitaki. Moja ya kitu ambacho umekosa ni utulivu wa nafsi(peace of mind) Mwombe mtakatifu Yosefu mfanyakazi akusaidie utapata morale ya kufanya kazi
Mmh sawa
Ni mawazo pia. Ila hiyo peace of mind imebase wapi hasa? Kwenye kutaka kufanya kitu chenye utumwa ndani yake au?
 
Ubaya wa hizi kazi Zina kumaliza on all levels of existence

Physically: unafanya kazi on repeat kama mashine

Mentally: inabidi sio tu uhandle kazi yenyewe pia mood swings za mwajiri wako, akiamka vibaya.

Spiritually: wanakudrain your life force energy. Ule uhuru wa kuweka vionjoo vyako haupo unakuwa haupati kitu ndani yako ufanyapo kitu, bali unafanya for the sake of money.

Yaani ndo maana Wanaotumia pharmaceutical wengi ni waajiriwa
Mnafanyaga kazi gani hizo?
 
Kuna kazi ukifikisha miaka 45 tu sheria zao zinakutaka ustaafu. Kumambuzi pensheni yao inakuwa ndogo wala hutaweza kuishi nayo kwani umri huo unakuwa bado kijana na una malengo mengi kwa maisha yanayoendelea. Miaka 60 yenyewe kama huna changamoto za kiafya ni miaka ya utu uzima wenye nguvu unahitaji kufanya shughuli za maendeleo makubwa. Hicho kipensheni kitasaidia nini ukute uliishia scale ndogo ya mshahara? Utakufa masikini tu huku ukidai una elimu
 
Na huu ndo ukweli Mchungu...

Silali usiku na mchana nafikiria namna ya kutoka kwenye huu mtego.

Yaani asubuhi ya leo niende tena kufanya jambo lile lile mpka nitakapo fika miaka 60.

Hapana kwa kweli, mimi sio mmatumbi mjinga.. I need to wake the *** up and find something worth dying for.

Ndugu zangu ambao mpo complacent na kuajiriwa hivi huwa mnajisikiaje?
Bora ndoto inayokunyima usingizi kuliko inayokupa amani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom