Kitivo cha sheria udsm hakunaga 1st class, why?

kwahiyo ni wa kuhesabu, Dr Tenga (huyo namkubali, na waliofundishwa naye land wote wanamkubali), majamba, mingiro , kabudi...miaka yote chuo kina walimu na kinafundisha iweje watu hata kumi waliowahi kupata first class hawafiki? inakuja akilini kweli? halafu hao waliopata first class, mbona akili zao za kawaida sana. utamweka hao uliowataja wabishane na tundu lisu ambaye hajawahi kupata first class? mfano tu pamoja na kwamba tundu lisu namdharau kwa kuwa kibaraka wa wazungu na mashoga.
Duuuh umeharibu mwishoni hapo. Japo ulikua na hoja ya msingi sana.
 
Udsm pana ujinga mwingi sana.. nakumbuka pale udbs tulikuwa na mwalimu mmoja alitoa assignment kwenye kozi yake.. swali lilikuwa la ajabu haujui uanzie wapi uishie wapi?

Tulihangaika lile swali darasa zima hakuna hata mwenye idea, mm nikapata idea ya kuligoogle lile swali, nikakuta mahali lilishasolviwa na majibu yake lazima ulipie kwa credit card. Imagine mtu analeta swali ambalo kivyovyote hata yeye angechemka tu.
Ikabidi tufanye mchakato tuchangishane tununue ile solution.
Sasa maajabu yake pamoja na kuhamisha yale majibu, bado marks zikaja 3/10, 5/10... Yan group tulilopata marks nyingi zikawa 6/10. Aliona aibu kutupa marks zote..sasa kwa mwendo huo 1st class itatoka wap?
Hapo udbs ukimaliza shule salama, unashukuru Mungu.
 
nakwambia Wanafunzi ni wavivu sana, wengi wanataka shotikati, ndio maana unasikia sikuhizi rushwa ya NGONO imetamalaki UD na hata vyuo vingine.
kwahiyo hata wanafunzi wa kiume wanatoa rushwa ya ngono? mbona unaongea pumba.
 
Mkuu nikikwambia mimi ni muhanga kabisa wa huyo prof alichonifanyia sitakuja kumsahau sijui raha yake ni nn? Afu ni mtu mzima roho mbaya sasa yy mm mfano nikitoboa anaumia nn?
ukitoboa wanaumia sana, wanataka mtu afeli tu. ni watu wa ajabu sana. mimi kuna lecturer fulani alinizingua sana kwenye disertation wakati namaliza. ajabu yake kila nikikutana naye mahakamani huwa napiga za uso hadi hasira ziniishe, na ninamshinda. amebaki amenywea na hata cheo kama wenzake serikalini hapati pengine kwasababu wanaoweza kumpigia mapande ni wale aliowaminya.
 
ni ujinga wa kiwango cha lami kwa tutor/lecturer/doctor au professor wa udsm kufanya hila na roho mbaya za kufelisha wanafunzi kwa kisingizio chochote kile, wakati chuo chako unachofanyia kazi hakipo kwenye orodha ya vikuu 10 bora vya afrika.

chuo kinazidiwa mpaka na nairobi university kitaaluma.
View attachment 2029729
Unachukuliaje wakenya? Wametuzidi kwa kila kitu. Kama wewe kipanga nenda hapo Nairobi University, ukimbizwe kama kilaza kumbe kipanga .
 
kama uwezo wa wanafunzi ni mdogo, na waalimu hawana uwezo kuwafundisha wakaelewa? nichukue mfano udsm ambako ndio nilisoma miaka hiyo, wanaosajiliwa kusoma sheria pale ni wale waliopata division one bora kuliko zingine, hizo two na three wanaenda vyuo vingine. wote wanaosoma udsm wamepata division one za mwanzo kabisa. utasema uwezo wao mdogo? binafsi nilipata one ya sita (HKL), nikapigwa sana za uso. nashukuru Mungu waliniachia walau ufaulu wa kuweza kuapply masters, nikaenda kusoma ulaya, kule nikakuta aina ya ufundishaji na relationship ya waalimu na wanafunzi sio ya kukomoana, ni ya kukufanya uelewe. na wazungu walewale waliosoma kwa kurahizishiwa wakija hapa wanaonekana wana uelewa mkubwa kuliko hawa malekichala wetu.

na kwa wanasheria wanajua, wale waaalimu ukija kukutana nao huku Mahakamani wanapopractice kwenye law firm zao, ni weupe hawajui mambo mengi na tunawapiga chini sana kesi, wanaamini ukimbana mwanafunzi au ukimfelisha umekuwa umechuja. maswali wanayotunga sio ya kuelewa ni ya kukomoa ili mtu afeli ndio kuchuja, si ujinga huu?
Ulisoma chuo chochote cha ivy league?
 
ni ujinga wa kiwango cha lami kwa tutor/lecturer/doctor au professor wa udsm kufanya hila na roho mbaya za kufelisha wanafunzi kwa kisingizio chochote kile, wakati chuo chako unachofanyia kazi hakipo kwenye orodha ya vikuu 10 bora vya afrika.

chuo kinazidiwa mpaka na nairobi university kitaaluma.
View attachment 2029729
Mkuu hivi unaijua vizuri nairobi university? Tuwape credit wenzetu kwa kuwekeza kwenye elimu sisi acha tuendelee kungoja teuzi!
 
udsm kwa miaka mingi sana huwa hawana first class, kabudi na majamba tu ndio walipata first class. wengine wote huanzia upper second na wao wanaamini kwa kufanya hivyo ni kuchuja, unachuja nini kwa kufanya elimu laini iwe ngumu? wengi tuliteseka hapo tulipoenda kusoma nje tulikuta mazingira mzuri na rahisi ya kukufanya uelewe zaidi ya kukariri. udsm ni wajinga sana
Nakubaliana na wewe mkuu. They do have stupid mentalities
 
Hili swala la wanafunzi na wazazi kusema eti waalimu wanafelisha watoto makusudi sijui mnalitoa wapi?

Hili ni tatizo la wanafunzi na wazazi wao wapumbavu wanaoamini huu ujinga

Hili ni tatizo la ku-blame others on their own failures

Yaani mnafeli mnasingizia mmefelishwa?

Hakuna na sijawahi kuta mtoto amefeli kozi yeyote UDSM hapo asisingizie lecturer eti kamfelisha,yyeye anaamini hafeligi,kumbe ni escaping mechanism ya hilo toto,na wazazi wanaitikia

Mimi siamini lecturers wanafelisha watoto makusudi,siamini kabisa!

Ni visingizio vya wanafunzi wapumbavu waliofeli kwa uzembe wao wanatafuta sababu ku-explain their failures...wao hua hawanaga kosa,kosa ni lectrurer!

Pumbuvu kabisa

Watoto wa Engineering wapo 300,wanafeli 150,lecturers hata hajui jina la mtoto au hata sura,eti ghafla ashikwe chuki na wewe personally akufelishe bila hata kukujua sura?

For what hasa?Analipwa na nani kufelisha watoto hata majina hawajui personally?Kwa wivu upi?

Mbona mnadhani lectrurers ni vichaa hivi au psychopaths hawana akili kama wanadamu wengine?

Kama lecturer ana chuki binafsi na mtu,kati ya watoto 300 hardly hawawezi zidi 10,ukiniambia kafelisha hao makusudi naweza amini,

Shida ni failure ya watoto wote 150 mnasema eti lecturer kafanya makusudi as if yeye anachuki binafsi na wanadamu wote 150?

Siamini huo upumbavu

Mostly ni upumbavu na uzembe watoto,its totally on them acheni kukwepa lawama kwa yur own failures..stop this nonsense of blaming others!
tunachojiuliza ni why only udsm, tumesoma udsm, tumeenda kusoma ulaya pia, tumeona vitu viwili tofauti, kuna chuo gani kingine east africa kinabana na hakitoi first class kama udsm? and still, udsm sio chuo bora africa au hata east africa? ingetegemewa basi udsm iwe bora east africa au hata africa, lakini hata 20 bora hakipo africa, pamoja na kuumiza wanafunzi kwa kigezo cha kuprooni. kitu cha ukweli ni kwamba, waalimu wana wivu wa kufaulisha, hawajui kuelewesha wanafunzi au ni ujinga walioukuta tangu enzi za kina Fimbo, wamestaafu wakishindwa kesi mahakamani na wamebaki na uzee wao. wale waliowabania ndio wamefanikiwa katika maisha.
 
Mkuu hivi unaijua vizuri nairobi university? Tuwape credit wenzetu kwa kuwekeza kwenye elimu sisi acha tuendelee kungoja teuzi!

University of Dar es Salaam mwaka jana kilikuwa cha 31 Africa, pamoja na ugoloko wote, Nairobi University cha 9, Makerere cha 18.​

2021 Top 200 Universities in Africa​

RankUniversityCountry
1University of Cape Town
South Africa
za
2University of Pretoria
South Africa
za
3University of the Witwatersrand
South Africa
za
4Universiteit Stellenbosch
South Africa
za
5University of Johannesburg
South Africa
za
6North-West University
South Africa
za
7The American University in Cairo
Egypt
eg
8University of KwaZulu-Natal
South Africa
za
9University of Nairobi
Kenya
ke
10Cairo University
Egypt
eg
11Rhodes University
South Africa
za
12University of Ghana
Ghana
gh
13University of the Western Cape
South Africa
za
14Addis Ababa University
Ethiopia
et
15Mansoura University
Egypt
eg
16Universidade Mandume Ya Ndemufayo
Angola
ao
17University of the Free State
South Africa
za
18Makerere University
Uganda
ug
19Cape Peninsula University of Technology
South Africa
za
 
I dont get your point

Unataka UDSM ikupe First Class kama unavyotaka ili iwe chuo cha kwanza kwa ubora?

Stop this nonsense
tunahoji tu, kama huwa mnao uwezo kufundisha mwanafunzi hadi akapata first class. najua hawa malecture karibia wote, ukiondoa majamba, hawakupata first class. na tuliosoma hapo tunajua tunachomaanisha, hata uwe na uwezo namna gani, utabaniwa tu, mnafundisha kwa ajili ya mtu kujibu mtihani sio kuelewa kwasababu kitu pekee mnachofanya ni kutafuta mwanafunzi afelishwe sio afaulu. ndiu ujinga wenu.

pia, kama kuchuja wanafunzi, mbona ninyi tu, mbona vyuo ulaya huko vizuri vina miaka zaidi ya 500 na wakifundisha unawaelewa na hawapo kuwinda wanafunzi kama ninyi? mimi nilishasoma miaka hiyooo, wala sihitaji first class, naongea uhalisia mlio nao.

pia, pamoja na kuchuja, mbona Nairibo ni ya 9, makerere 18 na ninyi 31 Africa, na wao wanatoa first class nyingi tu, you were expected to be number one in Africa kama kweli huwa mnakuwa mnachuja kwa kufelisha wanafunzi, kama kwa kufanya hivyo kunawafanya muonekane mnao uwezo kufundisha. nje ya hapo manake ninyi either hamna uwezo kufundisha wanafunzi wakaelewa, au mna wivu mnapenda ninyi tu ndio mfaulu. kama sio ujinga ni nini? na mkija mtaani tunawazidi maisha na uwezo mahakamani.
 
Watoto hawapati First Class sababu hawana akili

Kama wa Kenya wanapata First Class wana akili zaidi yenu

Huwezi kulazimisha chuo kitoe First Class kwa watoto wajinga wasio na akili

Watoto wa Tanzania hawana akili na ni wajinga ndio maana hawapati First Class na hilo sio tatizo la lecturer ni tatizo lenu

Lecturer sio "mwalimu" ni mtu anaku-guide usome nini,kuelewa ni entirely on YOU not him.

Kupata au kukosa marks ni totally ndani ya uwezo wa mwanafunzi husika na sio lecturer....Mnapofeli ni nyie sio yeye

Usije leta upumbavu wako wa kutokua na akili ya kuelewa na kujibu mitihani kwa usahihi kwa wanadamu wengine wasiohusika

Lecturer hayupo kichwani mwako,wewe ndio una uwezo wa kuelewa au kutokuelewa,hakuna mwanadamu mwingine yeyote anaehusika hapo

Punguzeni kutafuta scapegoats for your own weak minds to process University education.

Universities can never shusha viwango vya assessment ili eti watoto wajinga kama wewe mfaulu eti ili chuo kiwe "bora" [which is a lie from you]

Halafu muende kutoa operations kwa wagonjwa muwaue sababu tu mpate First Class msizostahili maana vichwa vyenu ni vibovu?

Halafu ELEWA,lecturer akupe sifuri kwenye mtihani makusudi anakujua personally useme ana beef na wewe anakukomoa?
wakenya wanakuja kusoma tz/udsm every year na hawajawahi kupata first class. mention even one. kubalianeni na ukweli kwamba, aidha mna wivu wa kufaulu, mna akili za kiporipori kuamini kwamba mtu unayembania akafanikiwa ndiye mweney akili kwani mtakuwa mmemchuja, au hamna uwezo kufundisha. mtu mwenyewe umesoma degree ya kwanza udsm, masters udsm, phd udsm, utajua nini kunizidi hata mimi. nothing, tunaongea tu ili pengine mpunguze ushamba. mmezidi, na wala sio kwamba tunataka mtupatie first class, tulishamaliza hapo miaka zaidi ya 10, na tunawaona huku mtaani mnavyohangaika kupambana na sisi. na tutawatandika sana mahakamani ndezi wakubwa.kaeni na theory zenu, sisi tuna practical experience.
 
tunachojiuliza ni why only udsm, tumesoma udsm, tumeenda kusoma ulaya pia, tumeona vitu viwili tofauti, kuna chuo gani kingine east africa kinabana na hakitoi first class kama udsm? and still, udsm sio chuo bora africa au hata east africa? ingetegemewa basi udsm iwe bora east africa au hata africa, lakini hata 20 bora hakipo africa, pamoja na kuumiza wanafunzi kwa kigezo cha kuprooni. kitu cha ukweli ni kwamba, waalimu wana wivu wa kufaulisha, hawajui kuelewesha wanafunzi au ni ujinga walioukuta tangu enzi za kina Fimbo, wamestaafu wakishindwa kesi mahakamani na wamebaki na uzee wao. wale waliowabania ndio wamefanikiwa katika maisha.
Wakati Namaliza A level miaka Hiyo kuna bro wangu amesoma LLB Udsm nikamuuliza vipi niapply pale akasema nenda vyuo vyote ila sio pale...
 
Wakati Namaliza A level miaka Hiyo kuna bro wangu amesoma LLB Udsm nikamuuliza vipi niapply pale akasema nenda vyuo vyote ila sio pale...
Kufupisha Story Nilienda SAUT mwanza Japo kwenye GPA hawabani ila kozi nyingi sanaa per semester
 
Wakati Namaliza A level miaka Hiyo kuna bro wangu amesoma LLB Udsm nikamuuliza vipi niapply pale akasema nenda vyuo vyote ila sio pale...
alikwambia hivyo sio kwasababu ni bora saaana, No, ni kwasabbu waalimu wanafelisha wanafunzi ovyo na kwa makusudi wakiamini wanafunzi watakaohangaika sanaa na kufaulu ndio watakuwa walikuwa na akili. ufundishaji wao ukilinganisha na maprofesa wa vyuo vingine ni wa kawaida mno, hata hawatakiwi kujisifu kabisa.
 
alikwambia hivyo sio kwasababu ni bora saaana, No, ni kwasabbu waalimu wanafelisha wanafunzi ovyo na kwa makusudi wakiamini wanafunzi watakaohangaika sanaa na kufaulu ndio watakuwa walikuwa na akili. ufundishaji wao ukilinganisha na maprofesa wa vyuo vingine ni wa kawaida mno, hata hawatakiwi kujisifu kabisa.
Ndiyo alimaanisha hivyo nilikuja Kuamin siku naenda field nawakalisha chini kuwafundisha namna ya kuandika memorandum of agreed facts
 
Back
Top Bottom