Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Mimi sio mwanachama wa Chama chochote ila ni mpenda haki!Sikubaliani na yeyote anayekandamiza uhuru na haki za watu ambao wanatimiza majukumu yao kama walivyoruhusiwa na katiba!Mm sina ushabiki wa chama chochote hapa Tz, lakini chadema msipobadili aina ya mapambano yenu kwenye kudai hiyo demokrasia mnayoitaka bc mtaendelea kulia-lia milele na hamtofanikiwa. Endelea kupambana kwa ajili ya tumbo la mwanasiasa ashibe na mkipata shida hakuna atakayewajua
Nilidhani ukurasa wa chuki na uonevu umefungwa SSH aliposema tuanze upya,ila naona madaraka hulevya!