KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Ni akili zakoooo au umeazima za kuazima?
Safali hii mmeshikwa ken*** de zenu
Sasa mnahangaika.
Mbowe ni mtu mzima ni upuuzi kujiingiza kwenye mambo ya kijinga kama hayo.
Ila kwa kuwa alizoea kufanya huo umafia wacha alobaini zake zifanye kazi
 
Kwamba laki sita ndo ilitumika kufadhili ugaidi...walio leta mashtaka hawapo siriazi.
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya vitamtesa sana gaidi Mbowe
Mtese watu mkifa tusifurahi..?! Nyie kufeni tu sie tunafurahi..!
Mkisha kufa mnabana na pua “ tuwe kitu kimoja “ pumbavu zenu..!
 
Laana ya kushangilia kifo cha Magufuli na mateso ya Sabaya vitamtesa sana gaidi Mbowe
kwani kuna ubaya gani kushangilia JIZI JAMBAWAZI TEKAJI UAJI likinyakuliwa na ZILAILI ? we ni mbwiga wa huyo nguchirrro wako hebu kufa uone kama hatutashangilia shwain kama nyinyi mkinyakuliwa na zilaili ni USHINDI
 
Hivi unahitaji hela kiasi gani kukodi wavuta bangi wa kuchoma vituo vya mafuta?

Acheni mahakama ifanye kazi yake; Ayatollah Mbowe is presumed innocent until proven guilty!
Yaani mtu mwenye akili na kiongoz mkubwa wa upinzani wa Tanzania anaewindwa na ccm, serikali na teeth mda wote atumie wavuta ganja kufanya Ugaidi kwa sh. 600000 kweli Ugaidi na magaidi yanadharauliwa na kutukanwa Sana tanzania
 
kwani kuna ubaya gani kushangilia JIZI JAMBAWAZI TEKAJI UAJI likinyakuliwa na ZILAILI ? we ni mbwiga wa huyo nguchirrro wako hebu kufa uone kama hatutashangilia shwain kama nyinyi mkinyakuliwa na zilaili ni USHINDI
 
ulitaka ziwe dola ngapi mkuu
Hapa tunawatu waliopindukia uwendawazimu. Wenzetu Ulaya, baafa ya utafiti wao, waligundua kuwa kiwango chachini kuweza kutekeleza ugaidi ni $10,000. Vichaa wetu wa hapa, wanasema ni $257 zinatosha kufadhili shambulio la ugaidi. Hii kazi ya hawabwana, nadhani sifa kubwa ni akili ndogo, roho mbaya, roho ya shetani, unafiki na uwendawazimu.

Wakati ufaao, Mungu wetu, uyalipe haya mashetani sawasawana matendo yao.
 
Very interesting story yaani shs 600,00.00 (Laki sita tuu) za TZ ndizo zinawezesha ugaidi!!!!!!!!!!!!!!
Only in TZ
 
Mbona Jamhuri inatupeleka raia kwa kasi hivi, amefikishwa kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi tena na sio kesi ya ugaidi???

IGP Sirro na cabinet yako mungu anawaona.
Kesi tangu mwanzo ni ya uhujumu uchumi no 63 ya mwaka 2020 (economic crime case) ambayo ndani yake ina kosa la ugaidi kwa mujibu wa sheria no 4 (1),(13),(1),(1) ikisomwa pamoja na kifungu cha 27(c) of Prevention of Terrorism Act no 21 of 2002. Sijui ni kwa nini Mbowe ameamua kufanya mambo haya ya ugaidi.
 
Lakini,kama Mbowe amefanya hayo alikuwa hagombani na rais mzuri wa sasa. Alikuwa anagombana na Magufuli.
Mi nafikiria anapaswa kuachiwa huru. Wasiseme wananuia kimwachia huru. Wamwachie huru tu.
 
Hii Serikali ya hovyo kabisa. Serikali inaiambia dunia kuwa ugaidi unafadhiliwa kwa laki sita (US$260) kweli?, what low is government procurement of the case?
 
It is ridiculous, footing a bill of TZS 600,000/- to facilitate terrorism acts!? or perhaps there are three zeros missing, meaning they meant TZS 600,000,000/-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…