Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,722
- 6,593
Chungulia ulete mrejeshonaona hii speed ya kutoka manyoni kuitafuta dom si mchezo, bila shaka dereva si yuleyule, ebu kwanza nikamchungulie
Chungulia ulete mrejeshonaona hii speed ya kutoka manyoni kuitafuta dom si mchezo, bila shaka dereva si yuleyule, ebu kwanza nikamchungulie
Sasa umeamini kua KISBO ni moto wa kuotea mbali?nadhani hapana, make mghamba ya arusha aliyetupita nilishangaa namuona nyuma yetu pale singida stand wala sijui tulimpita wapi, labda katagi make toka atupoteze kabla ya shy sijaiona tena na wala sijui inaenda wapi.
Kisbo ni habari nyingine mkuu.nimeamini aisee! hakuna imani bila matendo
naona hii speed ya kutoka manyoni kuitafuta dom si mchezo, bila shaka dereva si yuleyule, ebu kwanza nikamchungulie
ila mkuu una utoto mwingi?nimeiona dar lux nyuma yetu hapa missungwi stand. sasa nataka nione kisbo vs dar lux. ikitupita na hii yaan ndo ntakata tamaa kabisa na kujiandaa kisaikologia kulala moro




Umeuliza swali zuri sanaKwani ww uliomba ushauri wa gari linalo toboa Mwanza to Dar au gari ambalo halipitwi na gari lolote?