Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Kisbo imepitwa hapa mapema tu!

Nashukuru kwa kuijua hiyo Kisbo. Ningepanda hiyo gari abiria mngenishusha mapema kabisa. Sipendi na narudia tena sipendi speed. Mkuu unafuata speed kali ila omba Mungu matokeo ya hiyo speed ya gari yawe kifo yakiwa ulemavu utakua balozi mzuri sana wa kukimbia kimbia hovyo barabarani.
90cc2e6e21f939530c025516b09a40da.jpg
 
Mambo ya Mabasi Bwana....
Zamani route ya DAR-MWANZA
Kulikuwa na basi la Super Najmunisa,Zuberi,Wifi nae,Spreme 11,Amit,
yote 9...10 Super ilikuwa ndo baba lao,kuna Dereva mmjoja alikuwa anaitwa Rama Mtoto,acha kabisa huyo jamaa,alikuwa anaendesha Super Najmunisa ni balaa....alikuwa nafahamika kila kona,alishaacha udereva nowdays...
Control zilikuwa zimejaa kichwani na barabara ilikuwa ni Vumbi acha kabisa hata ilivyowekwa lami jamaa alikuwa ni balaa "Rama Mtoto" Dar-Mwanza...baadae Dar-Kahama.
 
Kuna ile kisbo moja (bombastic) ilikua ni hatari sana ,siku hiz sijui imefia wapi
 
Sitoki kwenye huu uzi, hadi saa sita usiku...mkuu [HASHTAG]#sexer[/HASHTAG] endelea kutupa taarifa,

Tulia hapo hapo, tochi zimeshapaki, ni mwendo wa kunyoosha goti tu saa hizi, saa tatu usiku moro, saa tano na nusu usiku ubungo........
 
Dar mwanza 45000,njian singida kula 5000,maji unapewa ukifika manyon,ukifika dodoma unanunua redbul moja 3000,unachangamka huku unatazama picha ya kingwendu,unafika moro saa mbili na dk 26,mbili na dk 40 pale unanunua korosho 2000 unaondoka mdogo mdogo mpk chalinze saa 4:56,pale linachanganya mpka 00:13 unapigiwa honi lango la ubungo. Ukishuka kama unaenda mbagala unachukua daldala pale mataa mpk bugurun 400,pale unachukua gar nyingine ya mbagala muda huo ni saa 7:23,sehem nying bado magar yapo,unafika mbagala kwa 400,ukiahuka unachukua boda mpk home buku mbili. Unalala kesho saa tano asbhi. Piga hesabu hapo
Hahaha...jibu zuri sana hili..nimeshangaa jamaa sijui sijui alikua anapiga mahesabu ya wapi hayo...
 
7ec16c25b5e501e2e51306f5ad2de77f.jpg

Achana na hayo mabasi ya wanywa gongo na viroba!! Njoo twenzetu na mchuma huu uliotulia!!

huyo nilimuona mara 1 pale stand ya missungwi akiwa nyuma yetu na hajaonekana tena. ebu fikiria tumekula singida hadi tumeondoka haonekani.
 
Tulia hapo hapo, tochi zimeshapaki, ni mwendo wa kunyoosha goti tu saa hizi, saa tatu usiku moro, saa tano na nusu usiku ubungo........

mkuu moro ni kabla ya saa 3, saiz inasoma kibaigwa unadhani moro itakuwa saa ngap?
 
mkuu moro ni kabla ya saa 3, saiz inasoma kibaigwa unadhani moro itakuwa saa ngap?

Mkuu mpaka sasa kuna gari zipi za mwanza Dar zilizo wapita?zile asubuhi zilizo wapita kabla ya shinyanga msha zipita hadi muda huuu?
 
Back
Top Bottom