Huna swali kiranga akashindwa kujibu
Mbona hajajibu la Mshana? Au lile sio swali??
Huna swali kiranga akashindwa kujibu
Akili haina Umbo wala taswira ,akili ni uwezo kama ilivyo sauti,tunaisikia ila hatuioni,akili ni uwezo wa kudadavua mazingira ili kuleta suluhu au majibu yakinifu ya kutatua changamoto inayokabili.Upofu wa ufahamu
Ipo na watu wanayo lakini haionekani bali hupimwa kwa matokeo yakeAkili haina Umbo wala taswira ,akili ni uwezo kama ilivyo sauti,tunaisikia ila hatuioni,akili ni uwezo wa kudadavua mazingira ili kuleta suluhu au majibu yakinifu ya kutatua changamoto inayokabili.
ExactlyIpo na watu wanayo lakini haionekani bali hupimwa kwa matokeo yake
Naomba reference ya hii story yako kwanza. Maana imekaa kitapelitapeli sana!kiranga kuna siku aliniuliza thibitisha kama Mungu na shetani wapo kweli?
duuh nilichoka sana nikasema kumbe kuna watu wa namna hii?
akanikumbusha historia ya mwanasayansi mmoja hivi aliyekuwa anamtafuta Mungu ili ajionee kwa macho...alianza safari ya kuzunguka dunia nzima sasa alifika mahari papo kimya sana alafu kuna bahari kubwa ila cha ajabu kulikuwa na mtoto mdogo kachimba kashimo kadogo pembezoni mwa bahari alaf ana kikopo mkononi anachota maji kwenye bahari anakuja kutia kwenye kale kashimo....mwanasayansi huyo alistaajabu sana kuona vile ikabidi amsogelee yule mtoto na maongezi yalikuwa hivi
mwanasayansi:we mtoto huku unaishi na nani mbona sioni watu wengine?
mtoto:niko pekeyangu
mwanasayansi😱oh ok sasa hapo unafanya nini?
mtoto:nataka hayo maji yote ya baharini niyajaze kwenye kashimo haka nilikochimba
mwanasayansi:we kweli hauna akili unafikiri hayo maji yote yatajaa kwenye kashimo hako?
mtoto:na wewe hauna akili unadhani unachokitafuta utakipata?
mwanasayansi alipigwa na butwaa kusikia hivyo mara kufumba na kufumbua yule mtoto alipotea tu kwa mazingira ya utata.....tangu siku hiyo yule mwanasayansi hakufuatilia tena habari za kumtafuta Mungu
ila binafsi napenda sana kiranga anavyotufanya tufikirie sana juu ya uwepo wa Mungu
Mshana mjanja mjanja tu wa mjini. Kama wale waganga wenye mabango ya barabarani. Uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo mno na hata mambo anayoyadvocate yanamuonesha ni mtu wa aina gani.Mshana unazidi kupotea na huo ndio utofauti wako na kiranga naamini kama angekuwa Kiranga yeye angemkata The only katika hoja na sio kuenda kumpekenyua mpaka The only angekimbia
Kitendo cha ww kumpekenyua The only inaonyesha huna hoja ndio sana tunakuambia Kiranga humuwezi kwa hoja sasa sisi hizo habari ulizozibandika zinatusaidia nini? Sisi tunataka hoja bado hujafika Level ya Kiranga kubali ukatae
[emoji23][emoji23][emoji23] una akili ama huna?Mshana mjanja mjanja tu wa mjini. Kama wale waganga wenye mabango ya barabarani. Uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo mno na hata mambo anayoyadvocate yanamuonesha ni mtu wa aina gani.
He lacks exposure and good education. Mvumilie tu.
Watu kama kingunge wanajikuta wanarudi huko ili wazikwe kwa ule ustaarabu watu wengi duniani tunaona ni heshima.Mwisho wa siku watakengeuka imani yao na kujua kwamba yupo muumba wa yote (Mungu) kama alivyofanya R.I.P kingunge kabla ya kifo chake.
kakutana a na kigogoMkuu,hatuwezi kujibu kama tuna akili au la! kabla hatujajua maana ya hilo neno akili.
Kakimbia, huu mchezo hauweziHujajibu swali, akili ni nini? Unaweza kunipadefinition yako ya akili ili nikujibu kamaninayo au sina?
Sasa kwa nini asinipe definition ya akili ili anibane vizuri?
Anaogopa nini?
Ohoooo, nilipitwa na. Hii ngoma subir nicheze nayo mpaka mwishoSoma post namba 100.
Neno Mkristo si msamiati mpya, lakini lina tafsiri nyingi.
Vivyo hivyo akili.
Kwanini anaona ugumu kuniambia maana ya akili tuendelee na mjadala?
Anaogopa nini?
as haaaa. Haaaa@kiranga nauliza tena... Kumbuka hili ni swali na ulishakiri kuwa huogopi maswali JE UNA AKILI!?
Una ufahamu fika wa hili neno kwakuwa katika moja ya majibu yako kwangu kwenye mada nyingine uliwahi kuniambia hivi.... Wewe huna AKILI kabisa
Haaaa a haaaa haaaa. Mbona mnachekesha tena kwenye huu mjadalaKwa hiyo kuna original version, na fake version ya mbuzi au?
Akili ni nini?
Ohoooo nini tena jamaniUna AKILI ama huna
Haaaa a haaaa haaaa jamani nimecheka mpaka machoziUpofu wa ufahamu
Wanasema ukibishana na mjinga lazima atakushinda tu haijarishi wewe ni nani.Kwa kweli kiranga ni hatari sana ata uwe professional vipi kamwe uwezi bishana na kiranga lazima akufanye uonekanie mweupe kichwani