titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,809
Nani kakwambia nimeshindwa mkuu.?Sasa umeshindwaje kujua asili yako mkuu?
Nani kakwambia nimeshindwa mkuu.?Sasa umeshindwaje kujua asili yako mkuu?
Ahahaha dah, sicheki mazuri bali nawaza sanaaa ufundi aliotumia alieumba akili za binadamu.Habari za Allah kuwa Mungu ni uingo.
Ndiyo maana nimeweka contradictions zaidi ya mia za kutoka katika Quran, hapa JF, na hakuna aliyezijibu.
Na wewe huwezi kuzijibu.
Huenda nimepitwa na jibu lako.Tusiende mbali asili yako nini mkuu ?Nani kakwambia nimeshindwa mkuu.?
Hujakanusha niliyoandika. Unajibalaguza tu.Ahahaha dah, sicheki mazuri bali nawaza sanaaa ufundi aliotumia alieumba akili za binadamu.
Asili yangu ni Mbegu ya uzazi(sperm).Huenda nimepitwa na jibu lako.Tusiende mbali asili yako nini mkuu ?
Tumuulize na chanzo cha Mungu ni nini?Asili yangu ni Mbegu ya uzazi(sperm).
mkuu unaweza kunisaidia link ulipotaja hizo contradiction na mie nikapitie?.Habari za Allah kuwa Mungu ni uongo.
Ndiyo maana nimeweka contradictions zaidi ya mia za kutoka katika Quran, hapa JF, na hakuna aliyezijibu.
Na wewe huwezi kuzijibu.
Hizi hapa.mkuu unaweza kunisaidia link ulipotaja hizo contradiction na mie nikapitie?.
Anyway jibu limeeleweka ila kama ungejiongeza ungetaja asili haswa za izo mbegu za uzazi mana kila mtu APA katoka na mbegu ya Uzazi. Lengo haswa ni asli ya mbegu yenyewe mpaka zikawepo hapa kweny mgongo huu Wa ardhi nani kahusika.Asili yangu ni Mbegu ya uzazi(sperm).
Tena kwa nguvu zote.Na Ajui kuwa kama sio muumbaji asingekuwepo kwenye Dunia hii.Siku za Kiranga kuishi hapa Duniani ni chache na zinahesabika.
Mungu wetu ana UFALME, NGUVU NA UTUKUFU HATA MILELE.
Kuna mihili miwili ambayo iko chini ya Mungu.
1. Mwanadamu.
2. Shetani.
Mihimili yote miwili inamwogopa Mungu.
Katika mahusiano Shetani ana nguvu kuliko mwanadamu.
Wanadamu wote wanaomtumikia Shetani hawamtumikii Mungu na wale wanaomtumikia Mungu hawamtumikii shetani.
Kiranga kwa kutokujua ni mojawapo wa watu wanaomtumikia shetani.
Mkuu nimepitia kwa harakaharaka but with an open mind,sijaon hizo contradictions zaidi ya kutokuelewa kwa msomaji ama kuelewa tafauti na kilichomaanishwa,unaposoma tafsiri ya Qur an lazima pia usome na maelezo ya tafsiri hyo.nitajaribu kufafanua moja ya hizo so called contradictions kwa sasa kisha nyengine kadri wasaa utakapopatikana.
Acha utoto mkuu,kabla waarabu na wazungu kuleta dini babu zako kwa karne mingi unaamini walienda Moroni? Hakunaga mbinguniUnamsifia mpotevu. Siku ukisombwa naee motoni usilalamike. Angalia ulipotokea na mwisho unakoelekea. Kuwa makini
You must be living in a very beautiful place with no criticism. Your world is wonderful!A gt reply....! What a waste [emoji848][emoji848][emoji848]
Kwa hiyo na wewe unataka kuwafuata babu zako eeeh. Wafuate tuuu.. Aadhibiwi mtu kabla ajaletewa ujumbe. We we ujumbe umeletewa na unatumia nguvu nyingu kuupinga. Sasa nakwambia endelea hivyo hivyo mwisho wake utaujua. Uzuri Mimi na we we tutakufa upende usipende hakuna atakae Baki milele.Acha utoto mkuu,kabla waarabu na wazungu kuleta dini babu zako kwa karne mingi unaamini walienda Moroni? Hakunaga mbinguni
Iyo siku ni kama vile kifo chako hujui utakufa lini. We tulia tu ifike siku yenyewe.Siku gani?
Unaweza kuitaja tarehe ili kama JF ipo turudi hapa kuhakikisha?
Ujumbe gani ambao ulikuwa hawaletewi wazee we ? Na kwa mini? Au muandika ujumbe alikuwa bado anauandika ? Afu mi namkataba gani naye hadi anipe ujumbe? He na yeye hahitaji ujumbe wangu?Kwa hiyo na wewe unataka kuwafuata babu zako eeeh. Wafuate tuuu.. Aadhibiwi mtu kabla ajaletewa ujumbe. We we ujumbe umeletewa na unatumia nguvu nyingu kuupinga. Sasa nakwambia endelea hivyo hivyo mwisho wake utaujua. Uzuri Mimi na we we tutakufa upende usipende hakuna atakae Baki milele.
Aisee Mkuu unataka nikuandikie kitabu.. Hakuna mapungufu yeyote hapo sana sana nikukanyaga kanyaga aya mungu....Hujakanusha niliyoandika. Unajibalaguza tu.
Kwa sababu unajua huwezi kukanusha.
Hiyo ni gia ya kuondoka kwa sababu huwezi kuthibitisha unayoandika tu.Aisee Mkuu unataka nikuandikie kitabu.. Hakuna mapungufu yeyote hapo sana sana nikukanyaga kanyaga aya mungu....
Sana sana nitapoteza mda wangu mwingi hapo na ubishani