Retards Finder
JF-Expert Member
- Apr 24, 2018
- 509
- 706
Ukweli ni nini!?Ukweli
Ukweli ni nini!?Ukweli
Usipende kujifanya uko sahihi kuliko wengine!!!Usidakie kuchangia kitu kama hujakielewa......
There's no such known thing as a slopoke, you moron!You are so fucking late slopoke.
Better luck next time.
Japo sijakuelewa sana lakini ningependa unijibu maswali haya machacheAnaekataa uwepo wa Mungu ni mawazo yake na wewe toa yako kwa busara kukinzana nae .Ukimuona mjinga umekosea !! Hivi anaeamini kitu kisichoonejana na anaeamini kwa kitu kinachoonekana nani zaidi ?? Sayansi inapamba moto kwa kuamini vinavyoonekana ( through data )
Mshana kachemka vibayaKuna njia kadhaa za kujibu swali mkuu
Swali kwa swali
Swali kwa jibu
Swali kwa maelezo
Kwanini umchagulie?Nimechagua swali kwa jibu....
Swali kwa swali ni ameteurs sio kwa wajuzi
Swali kwa maelezo ni kukosa uhakika wa kile unachotakiwa kujibu
Nae anajua hilo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwenye huu mjadala wa Mshana jr na Kiranga hakuna kosa kubwa atakalofanya Mshana jr kama kujaribu kutoa maana ya akili!
Unajikanyaga tu brazaHuoni mjadala umeisha hapa
Science haitupi jibu la kueleweka kuhusu chanzo Cha mwanadamu lakini dini ambayo ni imani inatupa jibu ambalo linamashiko zaidiMambo ya Dini yanaendeshwa kwa Imani , hakuna dini pasipo kuwa na imani , pia imani ni kuamini kitu ambacho huna hakika kutokea mfano , ukisema nina imani furani atakuja kesho , maana yake haukumpa taarifa na yeye hajakuambia kama atakuja lakini una amini , science wao wanafuata fact yaani uhakika lakini tukumbuke kutokua na fact haimaanishi kwamba jambo halipo , sometimes mambo mengine huwa ni mapana zaidi ni another dimension , hivyo kwa science yetu tuliyonayo haiwezi kutosha ku prove maswala ya imani kwasababu imani ni another dimension
Asante nimekuelewa Sasa na ndio maana kwenye reply yangu nilianza kwa kusema sijakuelewa vemaNia yangu sio kupinga uwepo wa Mungu ila metaphisical issues achana nazo kwani jibu halipo . Angalia " g " gravitional force iligunduliwa na wanasayansi lakini wakashindwa kueleza imetoka wapi ! Nani kaiweka sayari yetu kuelea angani ? Huenda majibu utayapata wakati roho itakapotengana na mwili .
Hapo tu mkuu unanikosha kweli kwa point zajo zisizojibikaKisichokuwapo, hakithibitishiki kwamba hakipo, nje ya dhana, kwa sababu hakipo, ili kithibitishike inabidi kiwepo, na kikiwepo kitakuwa kipo, si hakipo, kwa hivyo hakithibitishiki hakiponje ya dhana.
Kwa msingi huu, polisi wakisema kwamba nyumbani kwako kuna madawa ya kulevya, ni wajibu wao wanaosema kuna madawa , ku sachi nyumba mpaka wapate hayo madawa.
Kamwe hawakupi kazi ya kuthibitisha wewe unayejitetea kwamba nyumba yako haina madawa eti uthibitishe nyumba yako haina madawa, kwa sababu hata ukifagia vipi kuonesha nyumba yako haina madawa, kuna uwezekano unaweza kuwa umeyaficha pasipofikika.
Kwa hiyo, mzigo wa kuthibitisha ni wa yule anayesema kitu kipo,si anayekanusha. Anayekanusha anauliza tu kuthibitishiwa.
Nimeongelea "nje ya dhana".
Ukija kwenye dhana, Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote anaweza kuthibitishwa kwamba hayupo kwa "proof by contradiction".
Mungu huyo angekuwepo, asingetaka mabaya yaweze kutokea duniani kwa viumbe wake.
Mabaya yanatokea dunianikwa viumbe wake.
Hivyo, Mungu huyo hayupo.