Akili ni nini?Naomba nikuulize swali rahisi lakini lililomshinda unayemsifia... UNA AKILI AMA HUNA AKILI...
hakuna lisilojibika labda kwako tu.Hapo tu mkuu unanikosha kweli kwa point zajo zisizojibika
Nitaperuzi.Ila kwa kimsingi ninayoPamoja na kwamba swali halijibiwi kwa swali lakini nimeshajibu zaidi ya mara kumi kwenye replies zilizotangulia... Unaweza kuperuzi
Akili ni pesaAkili ni nini?
Niko fiti ...neno akili ndo nimelisikia Leo naomba uniambie maana yake kisha niendelee? Jamaa tumemuelewaaaaNaomba nikuulize swali rahisi lakini lililomshinda unayemsifia... UNA AKILI AMA HUNA AKILI...
BTW usipende kuishi maisha ya kufikirika na kuhukumu weka hizo mada ulizokuwa unanifuatilia tuone hicho unachokisema usahihi wake
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana wewe unavifungo vya kufikiri vya jamii inatakann kiwe sahihi? Dini inasema nini? Wazazi walikwambia nini? So unaingia kwenye mjadala wa ni rangi gani nzuri ukiwa umejiandaa jibu liwe ni nyekundu,so umekuwa unatumia programed question kufikia lengo,ila kiranga anafikiri bila mipaka na hakimbii mitego Kama we,Ntakupa mfano ukiwaambia watanzania mashoga kwenye katiba yenu wanna haki zao basi umryatibua utashambuliwa vikali ,wakati ni kweli Ila utaonekana wewe ni shoga na unawatetea kwa kuwa huna marinda au unawatumia ,hii ni level ya ujinga itaisha watoto wakielimika
Akili ni pesa
Baada ya reply hii imebidi niingie profile yako... Nimepata jibu.... Kwahiyo ni haki yako (yenu? [emoji848]) kumuelewa.... Kama level ya GT ni kama hizi madaView attachment 934011View attachment 934012Niko fiti ...neno akili ndo nimelisikia Leo naomba uniambie maana yake kisha niendelee? Jamaa tumemuelewaaaa
Namimi nakuuliza je umewahi ku-excumbence jambo mahali?
Yaani navyokuonaga genious Leo ndo nimekuona kiazi hebu kazame usome content na jukwaa ,kwanza humu JF wewe ni celebrity kwa michango makini ulowahi kutoa sikudhani uko weak kiasi hiki ,too weak.Baada ya reply hii imebidi niingie profile yako... Nimepata jibu.... Kwahiyo ni haki yako (yenu? [emoji848]) kumuelewa.... Kama level ya GT ni kama hizi madaView attachment 934011View attachment 934012View attachment 934013
AmekwishaaaBaada ya reply hii imebidi niingie profile yako... Nimepata jibu.... Kwahiyo ni haki yako (yenu? [emoji848]) kumuelewa.... Kama level ya GT ni kama hizi madaView attachment 934011View attachment 934012View attachment 934013
Naona una defensive mechanism ya kitoto sana, kwanza lazima utambue mimi sina hasira kama unavyodhani, only amateurs can be tempered easily....Yaani navyokuonaga genious Leo ndo nimekuona kiazi hebu kazame usome content na jukwaa ,kwanza humu JF wewe ni celebrity kwa michango makini ulowahi kutoa sikudhani uko weak kiasi hiki ,too weak.
Hii naifananisha na ile ya kumdeal lowassa kwa kusanua kuwa anamtoto wa nje ni udhaifu sana
Topic ya jicho ni joke na tizama jukwaa husika ni la nini,naukisoma si utaishia kucheka tu
Zingine ni mambo ya mahisiano ambayo ni personal na wewe kama bro nilitaraji umepevuka kiasi cha kuheshimu mambo hayo. Tafuta mada zangu majukwaa serious utanijua ,najua hii ni hasira ya kuchezea kichapo cha hoja za Kiranga huyu jamaa sio level yako we endelea na kuchambua uchawi huko we na sheikh yahya nko fit
Kama kuna zingine umeficha niletee tafadhali View attachment 935102View attachment 935103