Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
From YOU.A primary question that need answer!
From YOU.A primary question that need answer!
Umeuliza kitu ambacho hakiko clear, umeombwa kufafanua swali, wewe mwenyewe unayeuliza huwezi kufafanua swali lako.nimekuuliza... Tofautisha kuulizwa na kufafanumiwa
AiseeeKiranga kuwa amateur kwa kutojua wewe unamaanisha nini unaposema akili anayo au hana.
Ilo ni tatizo mueleweshe akili ni nini ile aseme anayo au hana
Kwa nini Mshana anaona ugumu sana kuniambia akili ni ...., halafu tuendelee na mjadala?Hivi kuna neno lenye tafsiri moja?
Kila neno lina tafsiri nyingi.
Wewe unaijua ipi?
Twambie hizo tafsiri nyingi za akili ili tujue tunayo maanisha.
Mana Mshana yeye anajua tafsiri moja, ukitaja tafsiri tofauti na anayoielewa yeye atakueleza hapa na sisi pia tupo hapa.
Kwa mfano kuna professor anaamini ya kwamba kama haujui hesabu basi hauna akili.Ndio unapaswa ujibu ndio unayo au huna,
@kiranga nauliza tena... Kumbuka hili ni swali na ulishakiri kuwa huogopi maswali JE UNA AKILI!?Wewe hujafafanua ulichouliza, umeulizakama nina akili.
Mimi ili nikujibu, inabidi nielewe vizuri unachouliza ni nini.
Nikakuuliza.
Akili ni nini?
Hujanijibu.
Anajua ipi hiyo moja ili tuepushe kuandikwa nyingi?Hivi kuna neno lenye tafsiri moja?
Kila neno lina tafsiri nyingi.
Wewe unaijua ipi?
Twambie hizo tafsiri nyingi za akili ili tujue tunayo maanisha.
Mana Mshana yeye anajua tafsiri moja, ukitaja tafsiri tofauti na anayoielewa yeye atakueleza hapa na sisi pia tupo hapa.
Akili gani unayozungumzia? Akili ni nini?@kiranga nauliza tena... Kumbuka hili ni swali na ulishakiri kuwa huogopi maswali JE UNA AKILI!?
Una ufahamu fika wa hili neno kwakuwa katika moja ya majibu yako kwangu kwenye mada nyingine uliwahi kuniambia hivi.... Wewe huna AKILI kabisa
hatari sanaKwenye huu mjadala wake na Kiranga hakuna kosa kubwa atakalofanya kama kujaribu kutoa maana ya akili!
Bora wewe umeamua ku stick katika kuamini Mungu hongera yako.Hapana mimi ni mkristo mwamini katika Mungu mmoja
Mkuu kwani ugumu uko wapi kutoa maana ya AKILI?Angalia original version ya mbuzi ninini...
Mkuu hilo ni swali lipo kama lilivyo.Kwa nini Mshana anaona ugumu sana kuniambia akili ni ...., halafu tuendelee na mjadala?
kwakweli sijutii kukaa hapa..muda huu"" maana msamiati " Mbuzi unamaana nyingi pia...yaweza kuwa mbuzi mnyama" ama kibao cha kukalia ambacho kina Chuma mbele kinacho weza kumsaidia mpishi kukuna Nazi "" ........WATU MNAHOJA NZITO SANAHii ni sawa na kuulizwa una "mbuzi" pasipo kujua ni mnyama au kifaa unaamua tu kujibi ndio au hapana. Hivyo basi mshana unatakiwa utoe maana ya AKILI