Beyond any reasonable dought (hivi dauti inaandikwa hivyo?)Can you prove it?
Siwezi kujibu swalikamayeye mwenyewe anayeuliza akili ni nini hawezi kunieleza akili ni nini.Yeye kakuuliza una akili?
Wewe wapaswa kumjibu, ndio, hapana au hata sijui.
Usijibu jibu ambalo analotaka yeye, jibu jinsi unavyojua ww.
Hujajibu swali, akili ni nini? Unaweza kunipadefinition yako ya akili ili nikujibu kamaninayo au sina?My ribs... [emoji23] [emoji23] [emoji23].... Ni neno geni kwako hili kwani!?
haha hahaa.... kiranga bwanaWewe umeuliza kama nina akili, hujauliza akili ni nini.
Ili nikujibu vizuri, nakutaka ufafanue swali lako, kwa kunieleza akili ni nini.
Hujaweza kufafanua swali lako.
Inaonekana wewe hujui unachouliza ni nini, halafu unataka nikujibu!
Ukiniambia nijibu ninavyotaka mimi nikijibu rangi ya wimbo wa taifa imepanda Mlima Kilimanjaro na bei ya chapati Ulan Baaatar.Yeye kakuuliza una akili?
Wewe wapaswa kumjibu, ndio, hapana au hata sijui.
Usijibu jibu ambalo analotaka yeye, jibu jinsi unavyojua ww.
Nasikia eti ukiwa na mpenzi halafu hujawahi kula mzigo wewe ni "mpenzi mtazamaji".Mpenzi mtazamaji
Mshana unataka huu uzi wako uwe na replies nyingi eh?Jijibu sasa usiniulize mimi... A very simple question Je una AKILI!?
ha hahaa ..Jamaa Hawa bhanaa..umewaona eehh"" daaahnaona wazee mmewekana kwenye mitego kila mtu kaushtukia mtego wa mwenzake mmebakia kuzungukana tu,,(AKILI)
Neno kuwa na tafsiri tofauti hakuondoi maana ya neno.Hapana, hiyoni Socratic Methodkuhakikisha tuna kwenda pamoja,tunachambua mambokwakina.
Nimetoamfanowa swalila "Wewe ni Mkristo" hapo juu.
Neno hilo Mkristo lina tafsiri tofauti.
Nneo akili lina tafsiri tofauti.
Naomba anijibu tu anaposema "akili" ana maana gani, kisha na mimi nitamjibu kama nina akiliamasina.
Asiponijibu, swali halijafafanuliwa vya kutosha na kwa hiyo sitaweza kulijibu.
Pia kuna miongozo ya kujibu swali.Kuna njia kadhaa za kujibu swali mkuu
Swali kwa swali
Swali kwa jibu
Swali kwa maelezo
Mkuu General Mangi una akili?Neno kuwa na tafsiri tofauti hakuondoi maana ya neno.
Ulipaswa umjibu unavyojua wewe, sio anavyojua.
Kama yeye atakuwa na maana tofauti ndio mjadala ujengwe na sie wafuatiliaji wa hii mada tujui mbivu mbichi.
Sasa kuanza kuzungushana kila neno kutaka kujua maana yake, mtapoteza mjadala na kufika kwingine.
Hahahahah tusitoke kwenye reli bhnNasikia eti ukiwa na mpenzi halafu hujawahi kula mzigo wewe ni "mpenzi mtazamaji".
Watu ama wagumu wa kuelewa, amawepesiwa kusahau.hahaaa.... hii hoja huwa unaijibu Mara kibao ten kwa jibu hili hili ""lakini nashangaa huwa tunashindwa kuelewa sijui kwanini"" JAMANI EEEEEHH KWA MUJIBU WA KIRANGA ANASEMA KUWA KITU AMBACHO HAKIPO HUWA HAKIITAJI UTHIBITISHO ILI KIONEKANE KUWA HAKIPO "" ......
Akili ndiyo nini?Naomba unijibu basi una AKILI ama huna?
Kabisa afafanue akili ni nini ili tupate majibuMpakasasa sijaelewakwa niniMshana anaona ugumu kujibu swali langu.
Kuna watu wanafikiri akijibu swali languanakuwa kashajijibu swali lake mwenyewe kwangu.
Fikra hizi ni potofu.
Swali la Mshana kwangu ni kama nina akili. Swali langu kwake ni akili ninini.
Akinipa maelezo ya akili ni nini, bado nitakuwa na swali la kujibu kama ninayo hiyo akili au sina.
Hata sioni kwa nini anaona ugumu kunijibu.
There is no diversion, you are the one asking a vague question.@kiranga this diversion won't take you anywhere...