😂😂😂 si ndioSasa ulikuwepo? Ukweli ni upi?
Kwahiyo nikitaka kua mkweli lazima niseme napenda chapati kama wewe?
Unaanzisha uzi halafu unatupangia vyakula vya kutaja?
Nasema vitambi haviishiAsubuhi huwa napendelea ninywe chai ya maziwa , sausage 😋 , viazi mbatata na supu ya utumbo .
Enjoy life it’s too short
Haya muweke bato hapa LIVE kukomenti mtuonyeshe hatua kwa hatua jinsi kupika chapati halafuWala shida sio unga kawaida unga hua mweupe lakin kuna namna ya kuandaa na kufanya chapat iwe lainii ichambuke na iwe na rangii ya kuvutiaa
Njee ya mada wewe ni Ke or Me?
Fanya km unaelekeza ulivyozipika hizo chapatiKwangu mimi ni chapati sizichoki asee af za mama ntilie hapana nimekuwa affected siwez kula chakula ame pika mwingine na simuamin mtu kwenye swala la kupika ata kama nimechoka kuliko kununua bora nipike
Vipi kuhusu Bangi ?Napenda vitu vya kuchoma,
Wazee wa kaskazinNyama.
Then una shushia peps ya baridiKuku wa kubanikwa ,nikipata na ndizi choma +kachumbali na pilipili ya kupikwa hatari na nusu.
Ziwe na pili piliUgali na dagaa wa mwanza..
Nisharlekezaga sanaFanya km unaelekeza ulivyozipika hizo chapati
Wa naz na ubwabwaSamaki
Wazee wa vyqkula vya asiliUgali kibambala mix mrenda,,msaga,,kisamvu
Apo nakua unstoppable
Chakula changu pendwa mkuuWazee wa vyqkula vya asili