Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 2,593
- 2,249
HahahaNashangaa mpaka sasa makampuni ya bia hayampi min mee ubalozi, mdau mkubwa sana huyu
HahahaNashangaa mpaka sasa makampuni ya bia hayampi min mee ubalozi, mdau mkubwa sana huyu
Umesahau parachichiWali nazi na samaki mmbichi pelege asikaangwe wa nazi tupia na mchicha kidogo. Ooohh utaniuwa. Tena nile mchana jua lawaka.
Hapana siyo mpenzi weka ndizi kisukari, tikiti, embe, nanasi.Umesahau parachichi