Kipi chakula chako pendwa?

Kipi chakula chako pendwa?

Namanisha mchele wa shamba yaani wakawaida huu unachanganya na basmat ndio unapika wali unakua mtamuuu 😋 na classic kwa muonekano pia
Mimi nafanya hivi sipendi basmat ikipikwa peke ake na pia mchele wa shamba peke ake sipendi napenda hivyo na nimezoea hivyo

Jaribu ni tamuu sana
ngoja nitampa code hii mama watoto tuone unavyokua kumbe inafaa kuchanganya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom