Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 552
- 1,387
alooh weehKisamvu kikilala, mchana kipashwe kiaina na kaugali kepesi kakubwa na glasi ya mtindi. So poa
Mama yangu ni bingwa sana wa kupika kisamvu, ana chungu chake flani hivi akikipika humo. 😁
alooh weehKisamvu kikilala, mchana kipashwe kiaina na kaugali kepesi kakubwa na glasi ya mtindi. So poa
Mama yangu ni bingwa sana wa kupika kisamvu, ana chungu chake flani hivi akikipika humo. 😁
Namanisha mchele wa shamba yaani wakawaida huu unachanganya na basmat ndio unapika wali unakua mtamuuu 😋 na classic kwa muonekano piainakuaje hii uzoefu mpya
Limeisha mkuu 😀Bado uyooo asee kuoa bado sana tuinjoy life tu
Mwanaume anaependa kula vizuri
😂😂😂😂 usiige mambo wewe ishi na mkeo kwa upendo mlioujenga toka mmekutana kwa pamoja na uwe mfano kwa watoto wenu baba ni kiongozi ukiwaongoza vizuri watajivuniaKuna jirn ana rudi usiku ame lewa mkew ana chinja usiku ana mpikia ase saa nane
Analeta issue za copy and paste 🙄😂😂😂😂 usiige mambo wewe ishi na mkeo kwa upendo mlioujenga toka mmekutana kwa pamoja na uwe mfano kwa watoto wenu baba ni kiongozi ukiwaongoza vizuri watajivunia
ngoja nitampa code hii mama watoto tuone unavyokua kumbe inafaa kuchanganyaNamanisha mchele wa shamba yaani wakawaida huu unachanganya na basmat ndio unapika wali unakua mtamuuu 😋 na classic kwa muonekano pia
Mimi nafanya hivi sipendi basmat ikipikwa peke ake na pia mchele wa shamba peke ake sipendi napenda hivyo na nimezoea hivyo
Jaribu ni tamuu sana
Inafaa sana muhimu mchele uwe mzuringoja nitampa code hii mama watoto tuone unavyokua kumbe inafaa kuchanganya
we mwache akariri akijua mahusiano yanafanana,wengine tunapiganiwa na Bwana 😹😹😹mambo ya mvurugano sio kila hema shetani anagusaAnaleta issue za copy and paste 🙄
Nimecheka kwa sautiwe mwache akariri akijua mahusiano yanafanana,wengine tunapiganiwa na Bwana 😹😹😹mambo ya mvurugano sio kila hema shetani anagusa
Hii ni kweli?Supu ya Konokono na kichwa cha nyoka cha kukaanga,halafu pembeni kuwe na kaglasi ka gongo na sigara kubwa.
Mwanaume anaependa kula vizuri
Haoni tabu kuleta stock home
Mpishi inabaki kazi kwako🫰
amina amina mpendwa wangu,since 2013 tupo pamoja so ameshakua zaidi ya mke,ukitaka siri ni moja kabidhi kila kitu kwa Mungu ifante familia yako ya kumcha Mungu watoto watafuata ,maana watoto ni warahisi kuigaInafaa sana muhimu mchele uwe mzuri
Nimependa ulivyo proud na mke wako
Chukua maua yako🌹🌹
Kwanini unauliza hivyo?Hii ni kweli?
Aliyegundua wali maharage apewe maua yake 🙌
Nisingekua kataa ndoa ilibidi kigezo changu moja wapo mwanaume awe anapenda kula vizuri😀😀Naam, naam supplement haipungui, full inventory. First in, first served.
Mimi ndiye niliyegundua ila usimwambie mtu,Aliyegundua wali maharage apewe maua yake 🙌
Niwie radhi🙏Kwanini unauliza hivyo?
Au huu uzi ni wakuandika vitu vya uongo?