Kipi chakula chako pendwa?

Kipi chakula chako pendwa?

Kwangu mimi ni chapati sizichoki asee af za mama ntilie hapana nimekuwa affected siwez kula chakula ame pika mwingine na simuamin mtu kwenye swala la kupika ata kama nimechoka kuliko kununua bora nipike
View attachment 3568966
Huo unga wa ppf ni mzuri mnoo
View attachment 3568967
Jiona una kula nini show us
Kwa chapati hiyo baado kidogo japo umejitahidi rangi yake haivutii sana ila MashaAllah 😘

Mie napenda nyama choma 😋
Napenda wali upikwe kwa kuchanganya Mchele wa shamba na basmat na samaki wa nazi kando ziwepo njegere😋

Baada ya kula baadae kidogo kahawa
Mda huo sasa naingia JF kupiga doria😎
 
Kwa chapati hiyo baado kidogo japo umejitahidi rangi yake haivutii sana ila MashaAllah 😘

Mie napenda nyama choma 😋
Napenda wali upikwe kwa kuchanganya Mchele wa shamba na basmat na samaki wa nazi kando ziwepo njegere😋

Baada ya kula baadae kidogo kahawa
Mda huo sasa naingia JF kupiga doria😎
😂😂nimecheka
 
Kwa chapati hiyo baado kidogo japo umejitahidi rangi yake haivutii sana ila MashaAllah 😘

Mie napenda nyama choma 😋
Napenda wali upikwe kwa kuchanganya Mchele wa shamba na basmat na samaki wa nazi kando ziwepo njegere😋

Baada ya kula baadae kidogo kahawa
Mda huo sasa naingia JF kupiga doria😎
Ahhaha unga wa ppf mweupe sana si una jua

Mchele wa basmat naupenda kweynye birian sijawai tumia kwa pilau
 
Kwa chapati hiyo baado kidogo japo umejitahidi rangi yake haivutii sana ila MashaAllah 😘

Mie napenda nyama choma 😋
Napenda wali upikwe kwa kuchanganya Mchele wa shamba na basmat na samaki wa nazi kando ziwepo njegere😋

Baada ya kula baadae kidogo kahawa
Mda huo sasa naingia JF kupiga doria😎
Chakula cha roho vipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom