Kipi chakula chako pendwa?

Kipi chakula chako pendwa?

Napenda wali dagaa sana. Bahati mbaya kinaonekana kama chakula duni,wakati mwingine naonekana naagiza kwa sababu nimeishiwa.
Siku moja mgahawani nikaagiza wali dagaa, dada akaniambia dagaa anauza na ugali tu. Nikamwambia naomba nisaidie tu wali dagaa, dada akaniambia kwa sauti kama huna hela anipe wali mchuzi. Daah nikaumia sana

Ukibidi nilinde heshima
Nikamwambia lete ugali dagaa na wali, alipoleta nikamwambia huu ugali kamwage halafu naomba bill ya watu wanaokula muda huu.
Af wali dagaa sio mbaya wahudumu wana dharau sana
 
1774694641595.jpg
1774694635193.jpg
1774694492916.jpg
1774694447752.jpg
1774694444625.jpg
1774694700965.jpg
1774694439071.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom