Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Mijanaume mibahili utaijua tuuuu...na wee mtoa mada si buree utakuwa umezoea kitonga... et screpaa we mwenyewe hapo screpa umetumika hadi umeisha ladha hata ukioa malaika atakukumbia baada ya mda mana huna ladha....
Hahahha Kweli Hii Mada Mbaya Sana Kwa Mwendo Huu.. Naona Kama Wahusika Ndo wanajibu sanaaaa.. Joke
 
Kwani wewe kutokutengana unakuelewaje?? Kunya gani huko muda wote hadi shetani anashawishi hadi dhambi inatendeka? Na alikuwa na uwezo wa kumuokoa ubavu wake ila naye eti akala tu tunda, kiruuu! Ndio maana mnafungua thread za ajabu ajabu tu humu kumbe shida ilianza siku nyingi.

Watu tuna hasira tukifanya reflection ya jinsi maisha ambavyo yangekuwa mazuri bila uasi mliotufanyia!

Sema ndo hakuna namna tena.
 
@house girl katoa boooonge la msonyoo akajipitia maana hataki kuchafua jioni yake kwa kumjibu huyu mvulana alokataliwa.
Ngoja nikamsome, maana nimekuta uzi umeenda mbali sana sijamaliza kuusoma wote, hope one army woman @lara 1 naye kaishatoka kanisani sasa, ahaaaa eti vikopo vya chooni kuchungulia.... duuuh!!
 
Ngoja nikamsome, maana nimekuta uzi umeenda mbali sana sijamaliza kuusoma wote, hope one army woman @lara 1 naye kaishatoka kanisani sasa, ahaaaa eti vikopo vya chooni kuchungulia.... duuuh!!

Hajacoment kabisa bwana
 
Watu tuna hasira tukifanya reflection ya jinsi maisha ambavyo yangekuwa mazuri bila uasi mliotufanyia!

Sema ndo hakuna namna tena.

Uasi mliojifanyia kwa michepuko yenu, michepuko mliianza siku nyingi, alafu si ndio wenye akili nyie mlioambiwa muishi nasi kwa akili? Sasa ilikuwaje nanyi mkala tu bila hata kushirikisha ubongo?
 
Sisemi kama watu tutende dhambi makusudi kwa sababu tu Mungu anasamehe. Lakini je mtu akikosea na akafika uzeeni akaamua kutubu, Mungu hatomsamehe kwa sababu ni mzee tayari? Afu huo uzee mnaouongelea nyie ndo huo wa miaka 30+ au?

Haya what If nikajitunza ujanani afu uzeeni nikaharibu, ntasamehewa tu kwa sababu niliutumia ujana vizuri, au nikikosea uzeeni basi siruhusiwi kuomba msamaha nife tu na dhambi zangu? Cha msingi ni kuishi sawa na mapenzi ya Mungu, na binadamu tuna udhaifu so kuna muda tunaanguka but cha muhimu zaidi ni kunyanyuka baada ya kuanguka. Nikukumbushe tu " tunaishi kwa neema tu".
That is my dada. Halafu kumbe nimerudia maneno yako (kuishi kwa neema). Nilivyoona kurasa zaidi ya ishirini nikasema ni-comment kabla sijachoka kumbe nafanya marudio, lakini nimeongeza msisitizo.
 
Duh! kwa hiyo ndo siolewi tena hivyo. Huyu Mungu nae kwa nini anidanganye? Najua hakuna dhambi isiyo na consequences lakini rehema zake ni za milele. Mi keshaniambia " hata sasa nirudie kwa moyo wako wote kwa kufunga, kulia na kuomboleza. Rarua moyo wako na si mavazi yako. Rudi kwa Bwana Mungu wako kwa kuwa ana neema na huruma, si mwepezi kukasirika na mwingi wa upendo......................... Nitafidia miaka yako iliyoliwa na nzige (nzige wakuu na nzige wadogo na nzige wengine na jeshi la nzige ambalo nililituma miongoni mwenu.............. (hii ni tafsiri yangu toka Joel 2: 12, 13..25 NIV).

Halafu hata katika kuwa na VVU na kuwa na m/watoto bado kuna kitu kikubwa kinatendeka katika maisha ya mhusika kama atachukulia kuwa hakuna dhambi isiyo na matokeo, na adhabu au majaribu ni sehemu ya kuadabishwa na kujengwa ili kuendea utu wema zaidi. Kuna watu tunawafahamu kabla ya kupata VVU walikuwa watu wa hovyo nikimaanisha waliishi maisha yasiyo na malengo. Baadhi yao walikuwa wana-anasa, kero kwao wenyewe, kwa familia na taifa lakii baada ya kukwaa VVU wakatulia chini wakatafakari upya maisha na kupatana na Mungu. Baada ya hapo wakaanza kufanya mambo ya maana ikiwemo kuwafariji wenzao wenye VVU waliokata tamaa, kuwasiadia wenye maisha duni, kupenda familia zao n.k. Kuna silver line kwenye kila wingu zito. Kila kitu ni namna unavyokiangalia.

Kwa hiyo niwatie moyo wadada na wakaka wote mnaopitia mambo magumu kwa sababu ya matendo yenu ya nyuma kuwa mpatane na nafsi zenu na Mungu wenu. Mkifanya hivyo mtapita kwa wepesi kwenye lolote mnalopitia. Maoni ya wengine hayana umuhimu kwenu kwani nao ni wadhaifu kama nyie na wana matatizo pia kwa kuwa ni wanadamu na pengine makubwa kuliko yenu ila kwa kuwa wanaogopa kuyakabili basi hutafuta mahali pa kupeleka maumivu yao. Kila mwanadamu yuko kwenye nafasi sawa ya kuanguka. Ndo maana tunaambiwa tusijiapize wala kuhukumu kwa sababu kuhukumu kunatukosesha fursa ya kujitathmini sisi wenyewe.

Mwisho, unapoamua kumhusisha Mungu (wa Israel) unatakiwa ujue kwa Mungu neema (grace) ndo inafanya kazi na si ukamilifu wetu. Ndo maana kuna mabikira hawajaoa wala kuolewa japo wanataka, kuna malaya wameoa na kuolewa, kuna wenye watoto wameolewa wengine hapana, kuna wasio na watoto lakini hola, yaani kuna watu wana vigezo vyote vya kupata vitu fulani na hawajapata lakini wasio na vigezo wamepata. Mwanadamu yeyote anayeamua kuamini mambo ya Mungu hatakiwi kusononeka akikosa kitu. Kazi yake ni kumcha Mungu tu. Kumcha Mungu ni pamoja na kushukuru kwa kila jambo.

Thread closed.
 
Naona wakora walioguswa na huu uzi wanatema sumu kama nyoka!teh teh teh
 
Achoke vipi kwani yeye ni mtoa mada aseme kachoka .. Sikio lake alichoki kila Siku tunamlilia matatizo kibao dunian hapa si angekuwa kajichokea mda sana ila ni msikilizaji na anajua sisi n wanadamu na tens wadhaifu so atuache mtoa mada na Mungu wetu .. Tena akome kumsemea Mungu hana adabu.
Acha hasira za kitoto wewe, umwombe Mungu akusamehe dhambi zako, kisha akurehemu upate mume, unapoomba uwe unataja mistari ktk Biblia.
Mungu huwa anapenda kuombwa kwa ushahidi, kuhusu kuomba rehema soma Kutoka 34:7 na Zaburi 78:38.Kuhusu kuvunja falme za giza zinazokuzuia kuolewa, soma Amosi 9:1-4.na Yeremia 51:20-24.
Ukiingia kwenye maombi hakikisha unatamka mistari hiyo, Mungu haombwi kwa mazoea kama binadamu, na usiombe maombi ya kiroma hayana upako wa Mungu.
Tafuta watumishi wa Mungu wakufundishe kuomba ila wasiwe waroma hao hawajui kumwomba Mungu, na pia uache dhambi maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu.
 
That is my dada. Halafu kumbe nimerudia maneno yako (kuishi kwa neema). Nilivyoona kurasa zaidi ya ishirini nikasema ni-comment kabla sijachoka kumbe nafanya marudio, lakini nimeongeza msisitizo.
Nimeona kule ulivyocomment Nikasema " that's my sis". Umefunga thread...... Ni kwa neema tu
 
Mxiuuuuuuuuuuu! WANAUME WENYEGUBU KAMA MTOA MADA NDO WANAKUFUJA MPAKA UNAKIONA CHA MTEMA KUNI. Hapo hajakuoa nyodo ndo zipo level hiooo! Hahahaaaaaaaa! Ndo ile mume wa kuchoraa, mume mume jina hakujui kwa sabuni wala kanga. Hahahaaa! Kwenda KFC sahau. Ndo maana nawaambia Wanawake TUFANYE KAZI USIJIBWETEKEEE. Ukipata jibaba kama hili utavaa lonya na wanao mpaka ukomeee. Kariakoo itakukoma, sare za jiji ndo zako, ofisini kama mfagizi. Nguo ya ghali kumiliki 30,000. Hahahaaa! Ngachokaaa! Nguo za kina TK Fashions kijitonyama za 150,000 cheappest kwa 300,000 utaziona dukani tu Hahahaaa! Jibaba hili likupe 200,000 ununue gauni thubutuuuuu!

Ila kuna WANAUME WANA ROHOOOOOO! We acha tu! Mpaka unashukuru Mungu! Anakupa matunzo unadhibitisha bila shaka yoyote ni uzao wa Abel! Anakuoa na mitoto yako na kuilea kabisaaa. NDO KUSEMA HUMUONI ZARI AU? Na mitoto yake 3 na bado katupiga vikumbo wali tusioijua lebaaa.

Kwa Majipu yanavyotumbuliwa wengi wenu mtakuwa wahanga.
 
Msemaji wa Mungu ngoja tumwache apunguze stress zake
Ni nanii atasimama kumnyooshea kidole mwingine ilihali yeye pia ni mdhambi
Labda mleta mada ni mtakatifu
Maisha sio kuolewa tu,kuna mapito na changamoto nyingi hata kwa yeye anaejiona mkamilifu kuna mahali tu anakwama....
Ni kweli hata mimi nina dhambi. ila Ni vizuri ukweli ukasemwa kina dada wamezidi sana nyodo.
mwenye hekima hukubali kukosolewa bali mpumbavu hukasirika.
 
Natasha ameolewa akiwa na miaka 46 ila Monalisa alimzaa akiwa na umri gani ?? Tuseme asingeolewa vipi angekua analia lia na yeye sasa hivi ???Mara nyingi sisi watoto tunajifunza kutoka kwa wazazi wetu ,hivi wale wa mama hasa wa zamani waliokua wanazaa watoto mpaka 12 unafikiria wali olewa wakiwa na umri gani ??? 30 something ???? Mwisho wa siku kila mtu awe responsible kwa matendo yake sio kupeana mizigo isiyo na maana
naweza kuwa nimedandia gari kwa mbele. Huyo mama monalisa kama alizaa ujanani (aliharibu ujana) mbona aliolewa tena uzeeni? Au Mungu alisahau akamsikiliza? Na huyo aliyemuoa hakuona vigori? Na huyo mona aliyetunza ujana wake vizuri akaolewa in her early 20s yuko wapi sasa? Hakuna kanuni ila nakubali ni vizuri kujitahidi kujitunza ila tukianguka tunyanyuke tusonge mbele. Hakuna bingwa wa matatizo. Kulinganisha bibi zetu waliozaa dozen enzi hizo na zetu si sawa. Wangefanya nini kingine baada ya kuvunja ungo? Kusoma? Kufundisha? Kuwa wahasibu? kurusha ndege? Hata mama zetu hawajafata nyao za mama zao. Wamezaa 6, 4, 3. Sisi hata tukioana mapema tunazaa 2, 3,1. Tunakoelekea tutachagua kutokuzaa au tutazaa kwa kubembelezwa na serikali. Ni nyakati.
 
Acha hasira za kitoto wewe, umwombe Mungu akusamehe dhambi zako, kisha akurehemu upate mume, unapoomba uwe unataja mistari ktk Biblia.
Mungu huwa anapenda kuombwa kwa ushahidi, kuhusu kuomba rehema soma Kutoka 34:7 na Zaburi 78:38.Kuhusu kuvunja falme za giza zinazokuzuia kuolewa, soma Amosi 9:1-4.na Yeremia 51:20-24.
Ukiingia kwenye maombi hakikisha unatamka mistari hiyo, Mungu haombwi kwa mazoea kama binadamu, na usiombe maombi ya kiroma hayana upako wa Mungu.
Tafuta watumishi wa Mungu wakufundishe kuomba ila wasiwe waroma hao hawajui kumwomba Mungu, na pia uache dhambi maana maombi ya mwenye dhambi ni kelele mbele za Mungu.
Kwani Mungu ndo alivyokuambia kuwa Waroma hawajui kumuomba?au yy hasikilizi sala zao?
 
Pole sana, you're badly injured, unfortunately you can never have a good looking hubby like me as well as good in doing both old and modern sex.
Hahahahaaaaa! NDO UNAVOJIDANGANYA HIVO? Nyokoooooooo! Mimi born town wewe siwi injured kimaandazi. Mtu wa goals na vision siokoti makopo ya chooni kipompi pompi.

HAHAHAAAAAAA! GOOD LOOKIG LIKE YOU! BEACH PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Doing good in sex! Mxiuuuuu! THE GREATEST LIES OF ALL ARE THE ONCE YOU TELL YOUR SELF!

I GUESS MKEO HUKUMKUTA BIKRA! Hahahahaaaa! Very predictable couple.
 
Back
Top Bottom