Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Kwani wanaume wao hawapo wa hivyo? Msiwaonee wasichana bana
Hahaha achana na baba angu bana. Baba angu ananiombea sana, Inshallah Mungu ni mwaminifuKila la kheri kwenye safari yako na hivi baba hako hapo juu amesema hamna shida hata ukiwa 60 utaolewa tu maana umri unavyo enda ndio unazidi kunawiri .....
no, ni mfanyabiashara na alikua mwanamziki mkubwa tu na alishachukua tuzo za kimataifa, unadhani diamond ni boya kiasi hicho kweli?Kwa kazi gani anayoifanya zaidi ya KUCHAMBA INSTA USIKU NA MCHANA? Worse off anamchuna ex wake na kutumia na kaka. Si bora hawa wa kitaaa. Puuuuuu! Njaaa mbaya.
Teh teh..From your lips to God's earsHahaha afu washindwee kwa jina la Yesu, me sio "class yao".
Amen AmenTeh teh..From your lips to God's ears
Kabla ya kusoma hii thread sikuwahi kuona ukubwa wa hili tatizo, duuh kumbe kuolewa kunaweza kuharibu saikolojia ya mwanamke vibaya mno !!!
Teh teh..From your lips to God's ears
Teh teh teh akyanani meseji sent
Bado ajatokea anayejielewa douta..Kuwa mpole tu..Uzuri ni kuwa kadri unavyokuwa ndo unazidi kunawiri..Hata ukifika 60 utaolewa tu
Teh teh dada @lara1 ukianza kifika 35 nicheki nitakua na mpunga wa kukutoshaKUOLEWA NA WANAUME WENYE PESA NDO KUNAHARIBU SAIKOLOJIA ACHA TU. Ila vikopo vya chooni kelele nyingiiii, kukaza hujui, hela hunaaa, MBURAAAAAAAAAAA! Kinu cha mae!
ok,naona hujanielewa..namaanisha ukiwa na watu wawili wote wanafanana kwa kila kitu isipokua mmoja ni family man/woman na mwingine sio, yule mwenye family anaheshimika zaidi, kama unapingana na hili unapinga ili kujifurahisha ila ndio ukweliKuna walioa lkn wanadharaulika kuliko hata ambao hawajaoa
Hahaha kamaanisha nanawiri akili za darasaniHahahaaaaa!! Ama kweli huyu baba yako @Heaven Sent ni balaa!

NA KUPUNGUZA HESHIMA VILE VILE. Olewa na kapuku mkakae kiluvya, utajifunhua, utabatiza, utapatisha kipaimara, hakuna shoga hata mmoja wa ofisini atakae kanyaga kwako. Miaka 8000000000. Olewa Masaki hapo, ijumaaa simu za kesho upo utachikia mwenyewe. Mwenyewe shoga angu wa Kitunda mtoto ana miaka 4 sijaenda kumuona. Hahahaaaa! INAPUNGUZA HESHIMA KWELI KWELI.kuoa/ kuolewa sio lazima ila inaongeza heshima
Ni kweli kabisa mawazo ya Mungu si kama ya mwanadamu, lakini imeandikwa usizini, na Mungu anachukia sana dhambi, kwa hiyo ukitenda dhambi lazima ukutane na adhabu kali, usitafute excuse eti kwa sababu Mungu si binadamu basi atakuangalia tu, au ata entertain upuuzi wako, you must pay the price first, wewe kama binti kwani hujui kuwa wewe ni sawa. na ua tu? kwa hiyo unavyofanya upumbavu unatarajia nini?The good thing ni kuwa mawazo ya Mungu sio kama ya wanadamu, hivyo endelea kujifurahisha hapa jamvini na kujivisha kofia ya kumuonea Mungu huruma
Teh teh..Mi naangalia tu mapovu yanavyowatoka..Kama mmeswallow soap vile..Angalia tu mimba isiharibike mpnzYaani sweetito hata wewe unaona kuwa tunamsumbua Mungu!! Ulianza lini kuwa assistant wake?
Umejikaza wee usicomment wapi teh tehTeh teh teh akyanani meseji sent
Oooh! According to who??
Vipi wewe ushaolewa?
Marahaba my sista, mzima? naangalia hapa mpambano unavyoenda, nacheka tu hapa kila nikisoma posts zako na za @brenda18Shikamoo my kaka
Ndo nishakunya sasa na kuharisha umomo. Wanaume wenyewe mnaochonga vikopo tu vya chooni. NA NAFUNGUA MWAKA NA HUU UZI RASMI.