Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,524
Ciprofloxacin + gentamicine = kideli cha kuku
Hahahaaaaa! Nimecheka kwa nguvu, mbona kideli kwakweli
Ciprofloxacin + gentamicine = kideli cha kuku
Mama ake Monalisa msanii ameolewa akiwa na miaka 46. It's not all about getting married, but staying married + happiness. Hivi unadhani hakuna watu ambao hawajawahi kuolewa kabisa hadi uzee wao na wanatamani kweli ndoa? Hawakupata potential candidates, wafanyaje sasa?Hilo la menopause nimelitolea tu mfano uone kwenye uhalisia maisha yetu wanadamu yamepungua sana kufika hiyo 70 kwa kizazi chetu ni kazi kubwa sana , sawa wacha wenye imani zenu muendelee kuamini kila mtu ataolewa kwa wakati sahihi ambao Mungu amempangia japo tokea na zaliwa sijawahi kuhudhuria sherehe ya mwanamke anaolewa akiwa na miaka 50 kisa ndio wakati wake aliopangiwa na Mungu .
Tufanye yote ila mwisho wa siku try to make choices you can live with
Kwanza akiwa anakufata anaona chuchu sa sita,ukishamkataa zinaanguka vuup sa kumi na moja kasoro... Teh hawa watu hawanaga jema...Wanajulia wapi hilo sasa wamekajia majungu tu wanaume wazimaaa na kushangaa chuchu za wanawake, kazi hawafanyi wakishakataliwa ndio limtu kurupuuuuu!! Wafanye kazi huko waache success ziongee.
Hasira zimeanzia kwenye kuachwa hahahaa vigezo na masharti kuzingatiwa,wakiachwa wawe wapole tu wajue kura hazikutosha ebooTusingepona mbona...
Huyu atakuwa ana nyota ya kukatwa,kila anapogusa anapigwa chini unategemea nini...
Na hapo ni dhahili hana pesa,angekuwa nayo asingepiga kelele hapa...
In short wanaopiga kelele hapa pesa ni shida ingekuepo wasingeyajua hayo....
teh teh mada mbona inaeleweka tu dadaangu, ahsante mleta mada, bado mmoja sijamuona,
Hahahaa wewe kaka hebu usichekeshe umati,laana zingekuwa zinagawika ka pipi basi wengine tunatakiwa tuwe outcasts... We tafuta helaaaakija mchumba mukimkataa eti hana pesa nyingi.ujuwe huyo mwanamke.atapata majanga tu hapa duniani.laana ya kumkataa huyo kijana anaetaka kuoa lazima itaishambulia hiyo familia iliyokataaaa
Hahahaa @house girl alipo aje ajioneeAlijisemea @house girl kuwa kuna wanaume inabidi tu uwashauri kwa upoleee wasizae ili kizazi chao kiishie kwao tu!! Wanawake tuna mizigo sisi acha tu! Ukute huu nao ni mzigo wa mtu anagugumia nao huko!!
Binafsi sijampangia Mungu wala kumhukumu mtu, wala kumcheka mtu kutokana na hali fulani.
ni 30+ na sio 20+ au wengineo ndio age haswaa mleta mada aliyoilenga. Nlichosema nlisema kutokana na uzoefu wangu wa jf. Mtu akileta mada huwa inakuwaje.... kama ilivyotokea (vichambo, panik, matusi n.k) jiwe gizani kama kawaida.
Otherwise ni changamsha genge, this is jf....!
kwani ugomvi, BTW leo nipo off ndo maana nazurura humu, mada haihusu kukataliwa kumbukaKafanye kazi huko acha kufuatilia wanawake eti mmoja hujamuona, shughuli zako wafanya saa ngapi kama mna kazi ya kuchungulia tu chuchu na nani kachangia nini?? Mkikataliwa gubu linaanza, walah acha tupige kazi tuwawowe tu maana hamna namna
Mama ake Monalisa msanii ameolewa akiwa na miaka 46. It's not all about getting married, but staying married + happinsss. Hivi unadhani hakuna watu ambao hawajawahi kuolewa kabisa hadi uzee wao na wanatamani kweli ndoa? Hawakupata potential candidates, wafanyaje sasa?
Ndoa ni kitu kizuri kama mtu ataoa/kuolewa kwa hiari/ upendo wake etc, but sio kwa kulazimishwa na watu au circumstances. Unategemea kwamba wote wataolewa before 30s? Kama mtu hajapata mtu sahihi kwa nini akurupuke kuolewa? Si ndo hayo kila siku ndoa chalii, mara mke wa ndoa kazaa na mchepuko eish. Maana uliolewa ili tu usichekwe na watu, baada ya muda kidogo no compatibility at all.
Me naona ni bora mtu akawie kuolewa ila akiolewa aolewe na mtu sahihi. Kama mtu atabahatika kuolewa at her young age basi ndo fungu lake. Mungu hakawii wala hachelewi mpendwa.
naona umeamua kutumia fursa vizuri..kuwa baba huruma ili ujipatie likes za mabinti
Ameeeen,
Wanaume halisi hawalii...! Labda wavulana...unaanzaje kulia!?
akija mchumba mukimkataa eti hana pesa nyingi.ujuwe huyo mwanamke.atapata majanga tu hapa duniani.laana ya kumkataa huyo kijana anaetaka kuoa lazima itaishambulia hiyo familia iliyokataaaa
Teh teh sawa shem, ila hao ndio wanaorushiwa mawe mnoo....Hiyo ya 30+ nakuonaga umeikazania as if wewe ndio mpangaji wa hizo ndoa, jamani shemeji waacheni watu waolewe kwa wakati waliopangiwa na Mungu, kina kaka wangapi wamesanda hukoo kutafuta wa kuoa kila mtu anamkataa hadi anatia huruma!! Wanawake tu ndio mmewaona?
Ahaa haaa... bibi shemeji labda ulininikuu vibaya. Ila naanzaje kulia?Kumbe hilo unalijua, sasa humu mbona ni opposite bwana shemeji?
Alie lie kwa sababu gani jamani, kukosa ndoa sio kitu cha kukufanya ufe kabla ya wakati wako, Mungu anaweza asikupe ndoa but akakupa baraka nyingine nyingi tu. Kuna watu walizaa watoto 12 but Mungu aliwachukua wote kabla hata mama yao hajazeeka. Nani ambaye hajaolewa kwa sababu ya matendo yake afu kakubebesha mzigo wewe? Atakubebeshaje zigo lake jamani, labda kama umejisikia kumbebea. Sio wote ambao hawajaolewa ni kwamba walichezea ujana wao, au wanaoolewa wote ndo watakatifu please. Na kuna watu wameolewa lakini wameachika na kuna wengine hapa tunavyoongea wanaachika. Ndoa sio kila kitu mpendwaNatasha ameolewa akiwa na miaka 46 ila Monalisa alimzaa akiwa na umri gani ?? Tuseme asingeolewa vipi angekua analia lia na yeye sasa hivi ???Mara nyingi sisi watoto tunajifunza kutoka kwa wazazi wetu ,hivi wale wa mama hasa wa zamani waliokua wanazaa watoto mpaka 12 unafikiria wali olewa wakiwa na umri gani ??? 30 something ???? Mwisho wa siku kila mtu awe responsible kwa matendo yake sio kupeana mizigo isiyo na maana