NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,023
- 2,492
una uhakika umemwelewa yule kaboom au umemjibu kimazoea kwa kuwa ni rafiki yako?![]()
![]()
![]()
that's my man and half. Afya ni kitu ninachomuomba Mungu kupita maelezo. Ndoa ni ya muhimu but ndoa sio kila kitu.
una uhakika umemwelewa yule kaboom au umemjibu kimazoea kwa kuwa ni rafiki yako?![]()
![]()
![]()
that's my man and half. Afya ni kitu ninachomuomba Mungu kupita maelezo. Ndoa ni ya muhimu but ndoa sio kila kitu.
Mkuu mpaka kufikia hapa majadiliano yalianza mbali sana ,ila ni sawa unavyosema kila zama na kitabu chake ,swala la mwanamke kujitunza ni la muhimu sana hata ikitokea ameshindwa kuvumilia basi walau ajitahidi kuwa na mtu mmoja ,mimi naamini kufanya mapenzi na watu tofauti ni kubeba roho zao lile tendo ni agano ,well ikitokea la kutokea basi tusianze kulaumiana na kubebeshana mizigo,ni swala tu la kukubali hali uliyonayo maisha yanaendeleanaweza kuwa nimedandia gari kwa mbele. Huyo mama monalisa kama alizaa ujanani (aliharibu ujana) mbona aliolewa tena uzeeni? Au Mungu alisahau akamsikiliza? Na huyo aliyemuoa hakuona vigori? Na huyo mona aliyetunza ujana wake vizuri akaolewa in her early 20s yuko wapi sasa? Hakuna kanuni ila nakubali ni vizuri kujitahidi kujitunza ila tukianguka tunyanyuke tusonge mbele. Hakuna bingwa wa matatizo. Kulinganisha bibi zetu waliozaa dozen enzi hizo na zetu si sawa. Wangefanya nini kingine baada ya kuvunja ungo? Kusoma? Kufundisha? Kuwa wahasibu? kurusha ndege? Hata mama zetu hawajafata nyao za mama zao. Wamezaa 6, 4, 3. Sisi hata tukioana mapema tunazaa 2, 3,1. Tunakoelekea tutachagua kutokuzaa au tutazaa kwa kubembelezwa na serikali. Ni nyakati.
Tupate short break kutoka kwa wadhamini wetu teh teh teh
Kwani na Ya Kwako. ni. used?
Hahaha short break muhimuKwikwikwi umenichekesha ati japo kifua kilikua kimejaa hichooo mtu kakosa vigezo huko mbio kuja kuchafua khali ya hewa hapa.
Bikra ishakuwa habari ya town...!Hahahahaaaaa! NDO UNAVOJIDANGANYA HIVO? Nyokoooooooo! Mimi born town wewe siwi injured kimaandazi. Mtu wa goals na vision siokoti makopo ya chooni kipompi pompi.
HAHAHAAAAAAA! GOOD LOOKIG LIKE YOU! BEACH PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Doing good in sex! Mxiuuuuu! THE GREATEST LIES OF ALL ARE THE ONCE YOU TELL YOUR SELF!
I GUESS MKEO HUKUMKUTA BIKRA! Hahahahaaaa! Very predictable couple.
sasa hapo kwenye mtu mmoja na mtu kumi kuna utata. kwani mtu mmoja hawezi kuambukiza vvu au kutungisha mimba? nilifikiri utasemea ngono salama japo nayo utakuwa ume-generalize. Hilo la kuwabebesha mizigo sielewi kabisaaaa unaongelea nini. Kwa vyovyote hapa unaongelea experience yako binafsi. Huyo binti kama alikuacha akaenda kwingine akapata huko mtoto na akaachwa, kisha akarudi kwako msamehe usonge mbele. Wakati mwingine unaweza usielewe lakini chochote kilichotokea ilikuwa ni faida. Huko alikopita hajatoka mtupu na wewe ulivyomkataa hajatoka mtupu ila ukiendelea kuweka uchungu na visasi moyoni utapotea au kupoteza muda. Yeye ataenda kuanza changamoto nyingine mpaka atapoelewa kwa nini yamempata hayo. Wewe kwa upande wako angalia umejifunza nini wewe binafsi na utaendelea vipi badala ya kutumia muda wako kushangilia anguko la huyo dada (ni rahisi na raha sana kumshangilia mtu akipatwa na janga) tukasahau kuangalia mambo yetu. Kama umeumizwa samehe uendelee na maisha.Mkuu mpaka kufikia hapa majadiliano yalianza mbali sana ,ila ni sawa unavyosema kila zama na kitabu chake ,swala la mwanamke kujitunza ni la muhimu sana hata ikitokea ameshindwa kuvumilia basi walau ajitahidi kuwa na mtu mmoja ,mimi naamini kufanya mapenzi na watu tofauti ni kubeba roho zao lile tendo ni agano ,well ikitokea la kutokea basi tusianze kulaumiana na kubebeshana mizigo,ni swala tu la kukubali hali uliyonayo maisha yanaendelea
Ooooh I see, I misunderstood himuna uhakika umemwelewa yule kaboom au umemjibu kimazoea kwa kuwa ni rafiki yako?
Bikra ushamba tu,sema anachonga sanaa kuhusu mkewe ndo nikampiga swali dogo tu, JE BIKRA? Kama sio bikra ajue tu wenzie walikula kwa fujo, walikula bila kumbakishia baba basi.Bikra ishakuwa habari ya town...!
Ooooh I see, I misunderstood him
90% ya wanawake waliopo humu ndani ni mikweche. Wamekongoloka Zaidi ya Madada Poa wa Uwanja wa Fisi.
Hapa Jukwaani Shobo kibao,
kutana nao uso kwa uso unaweza kudhani umekutana na Mzimu.
Mifupa imewatoka kama Wagonjwa Wa HIV.. Na Mshukuru uwepo wa Powder Otherwise Mngekuwa kama Betina.....
Unakuta msichana titi limekuwa ndala mpaka linafikia kitovuni Harafu eti anajiita Mzuri... Jitazame upya kisha uje hapa.. Usitegemee kutenda Dhambi huku unajua kwa kutegemea kutubu baadae Huko ni Kujidanganya. Jf ina Vibibi vizee Haina wasichana wa kuishtua mioyo ya Marijali kama Sisi. Kila la Heri... Na wote mngeambiwa muweke picha zenu humu nadhani wengine mngejitoa na jd yenyewe.
Hahaha itakuwa jiwe lililorushwa lilinipiga uchogoni. Kule mwishoni ndo nilibugi kumuelewa. Hapa ukiniuliza nilimuelewaje eti nimesahau Hahaha. Wewe daddy weweMie nilijua umemuelewa ukaamua kupotezea!!
Hahaha itakuwa jiwe lililorushwa lilinipiga uchogoni. Kule mwishoni ndo nilibugi kumuelewa. Hapa ukiniuliza nilimuelewaje eti nimesahau Hahaha. Wewe daddy wewe
Teh he is only responsible for what he writes, not for what I understand. Juzi si alisema hatudongoi eti, nikajua leo katutetea. Nimefuta lile kiss na file letu la undugu lipo kwa Jecha nowHahahaaaaa! Ulisoma tu jujuu kwakuwa ni dady yako eti? Ila si unajua baba ni baba na baba hakoseagi? Kwahiyo vile ulivyoelewa ndivyo ulivyotakiwa kuelewa.
Teh he is only responsible for what he writes, not for what I understand. Juzi si alisema hatudongoi eti, nikajua leo katutetea. Nimefuta lile kiss na file letu la undugu lipo kwa Jecha now
Hahaha daddy nikajua kastaafu kunidongoa, kumbe wapi. Ila ndo mzee wangu, sina jinsiHahaaa yaani @NANDERA na @atoto mnachonganisha mtu na dady wake eeeh??!! haahaaaaa nyie wabaya sana aiseee
cc @Heaven Sent
Wee nina ubavu wa kwenda basi, Me na daddy angu tena.. kama wigi na directionHhahaaaaa! Huyo ni dady yako ujue! Damu nzito kuliko maja kwahiyo huko kwa jecha ishia hapo hapo mlangoni.
wanaume huwa hatu fake vitu kama nyie na kama hatuwezi kujisifu kipuuzi. Umekaa nyuma ya keybord unaandika unachojisikia lakini ukweli upo moyoni Mwako. Mmekuwa kama Vituko mtaani.. Mpo kama makatuni.HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! Kwa maana hio wanaume mngeweka picha zenu mngekuwa kitu mnaatoooooo! Wachaaaa! Kila mmoja wenu HB wa nguvuuuu Ramsey Noah anangoja sanaa, six pack na nini, urefu wa hajaaa. Hao nyieeeee!
Nyokoooooooooo!TUSINYOOSHEANE VIDOLE, WOT TU MBWA KACHOKA SI WANAUME SI WANAWAKE. Tunarudi pale pale EITHER WAY LIFE FU.CKS US ALL.