Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Okei nakuelewa unachosema
Lakini kuliko niwe kwenye ndoa ilimradi kuifurahisha jamii ni bora tu nikose hio heshima...
Kuna wanawake wengi hawajaolewa na wametenda mambo makubwa katika jamii zinazowazunguka na wameheshimika
Ndoa inaleta heshima,ila si hilo tu kuna mengi yanayoleta heshima...
Hivyo basi heshima yangu ntaipata kwa njia nyingine sio lazima ndoa....
Usiishi kufurahisha watu,siku hizi heshima pesa na akili yako tu jamiii hio hio itakukubali....
ok, sister wewe ni mwelewa na mimi nakuelewa, jamii zetu za uswahilini watu wana judge watu kutokana na imani, kabila, kuoa/kuolewa badala ya character ila ukiwa strong hubabaishwi na watu kama hso
 
Ni kweli kabisa mawazo ya Mungu si kama ya mwanadamu, lakini imeandikwa usizini, na Mungu anachukia sana dhambi, kwa hiyo ukitenda dhambi lazima ukutane na adhabu kali, usitafute excuse eti kwa sababu Mungu si binadamu basi atakuangalia tu, au ata entertain upuuzi wako, you must pay the price first, wewe kama binti kwani hujui kuwa wewe ni sawa. na ua tu? kwa hiyo unavyofanya upumbavu unatarajia nini?
Aaah wewe ni malaika Gabriel au? Hujawahi kukosea hata siku moja mwenzetu? Au unadhani mwanamke tu ndo akizini anaadhibiwa? Mungu wetu ni Mungu wa huruma, ukikiri dhambi zako na kutubu kweli, anakusamehe kabisa. Haweki records ya makosa yako
 
ok,naona hujanielewa..namaanisha ukiwa na watu wawili wote wanafanana kwa kila kitu isipokua mmoja ni family man/woman na mwingine sio, yule mwenye family anaheshimika zaidi, kama unapingana na hili unapinga ili kujifurahisha ila ndio ukweli

Iko hiviiii, linapokuja suala la ndoa sio jambo dogo ati!! Eti ukurupuke tuuuu kwakuwa mtu kaja na mikono yake nyuma basi umkubali tu maana anaonekana ni family mana, NAH!!
Sio kwamba mwanamke akikukataa basi kakukataa kwakuwa huna elimu au huna pesa kuna vingine vya msingi vinavyomata, japo pia ni lazima niangalie wellbeing yangu na kizazi kitachofuata.

Sio kila asiye na elimu na pesa ni wanaume wa kuoa na sio kila wenye elimu na pesa basi hawafai, wanawake wanachaguzi zao km ambavyo nanyi mnachaguzi zenu, na sio kila mwanamke hukosea kuchagua hata wanaume hukosea kuchagua pia, kukosea kuchagua kwa mwingine hakumaanishi basi wengine wasichague, wachague ila wawe makini tu.
 
Hahahahahhh...nimecheka mpaka roho ikauma....

Maann umerusha zinga la nyuki katikati ya msiba...



*just watching the thread with a close eye*
 
Hujanijibu bado, kwahiyo unataka kusema tujizolee tu anayekuja?
nope cheki vision yake, mi mwenyewe mwanamke najali sana uelewa wake na uvumilivu, japo muonekano ni muhimu pia
 
Tuache kuwalaumu sana dada zetu 75 % tunachangia sisi wanaume hatutaki kuoa mapema na hatuna msimamo wa kuwa na girl mmoja mwanamke ametoka ubavun mwa mwanaume makosa yake meng yanasababishwa na ss wanaume unademu mmekaa miaka ss hata kufikiria kumwoa hujafijiria unategemea nn? Tuache ujanjaujanja na usani kuwachezea dada zetu
 
Ni kweli kabisa mawazo ya Mungu si kama ya mwanadamu, lakini imeandikwa usizini, na Mungu anachukia sana dhambi, kwa hiyo ukitenda dhambi lazima ukutane na adhabu kali, usitafute excuse eti kwa sababu Mungu si binadamu basi atakuangalia tu, au ata entertain upuuzi wako, you must pay the price first, wewe kama binti kwani hujui kuwa wewe ni sawa. na ua tu? kwa hiyo unavyofanya upumbavu unatarajia nini?

Kwahiyo hiyo dhambi ya binti kazini na nani?? Au Mungu anaangalia dhambi za wanawake tuuuu!!
 
Teh teh..Mi naangalia tu mapovu yanavyowatoka..Kama mmeswallow soap vile..Angalia tu mimba isiharibike mpnz

Nilishangaa nawe povu limekutoka ukajifanya kumsaidia Mungu kazi!!
Hapana aisee haiwezi hata kidogo, kwa lipi labda!! Hakuna kitu kama hicho, mimba iko imara kama chuma cha reli, teh teh teeeh!
 
Iko hiviiii, linapokuja suala la ndoa sio jambo dogo ati!! Eti ukurupuke tuuuu kwakuwa mtu kaja na mikono yake nyuma basi umkubali tu maana anaonekana ni family mana, NAH!!
Sio kwamba mwanamke akikukataa basi kakukataa kwakuwa huna elimu au huna pesa kuna vingine vya msingi vinavyomata, japo pia ni lazima niangalie wellbeing yangu na kizazi kitachofuata.

Sio kila asiye na elimu na pesa ni wanaume wa kuoa na sio kila wenye elimu na pesa basi hawafai, wanawake wanachaguzi zao km ambavyo nanyi mnachaguzi zenu, na sio kila mwanamke hukosea kuchagua hata wanaume hukosea kuchagua pia, kukosea kuchagua kwa mwingine hakumaanishi basi wengine wasichague, wachague ila wawe makini tu.
mimi naona kama mabinti ndio wanakoseaga sana,..too bad wakishakosea inakua ni "irreversible" ila wanaume wanaweza ku reverse
 
Tuache kuwalaumu sana dada zetu 75 % tunachangia sisi wanaume hatutaki kuoa mapema na hatuna msimamo wa kuwa na girl mmoja mwanamke ametoka ubavun mwa mwanaume makosa yake meng yanasababishwa na ss wanaume unademu mmekaa miaka ss hata kufikiria kumwoa hujafijiria unategemea nn? Tuache ujanjaujanja na usani kuwachezea dada zetu
Unakua na mwanamke unaona kabisa hana akili ya maisha, yeye ni macho juu juu na kujiita dada wa mjini, kichwani ni empty head anakutegemea kwa kila kitu hana hata akili ya kukupa mawazo ya kutusua maishani, mtu kama huyo unapeleka wapi??? Unaona ni bora uendelee kujilia mzigo miaka nenda rudi ukiwa unapanga files zako kichwani
 
Hahahahahaaaa! Kitchen party yake wiki ijayo tutamtuza kabati akamlee mumeeee eeeeh!

Oooh kumbe ndio maana yanamtoka sana kumbe mume ashapata!! Basi atulie sie tuendelee kumsumbua Mungu mpaka aongee mwenyewe.
 
Mxiuuuuuuuuuuu! WANAUME WENYEGUBU KAMA MTOA MADA NDO WANAKUFUJA MPAKA UNAKIONA CHA MTEMA KUNI. Hapo hajakuoa nyodo ndo zipo level hiooo! Hahahaaaaaaaa! Ndo ile mume wa kuchoraa, mume mume jina hakujui kwa sabuni wala kanga. Hahahaaa! Kwenda KFC sahau. Ndo maana nawaambia Wanawake TUFANYE KAZI USIJIBWETEKEEE. Ukipata jibaba kama hili utavaa lonya na wanao mpaka ukomeee. Kariakoo itakukoma, sare za jiji ndo zako, ofisini kama mfagizi. Nguo ya ghali kumiliki 30,000. Hahahaaa! Ngachokaaa! Nguo za kina TK Fashions kijitonyama za 150,000 cheappest kwa 300,000 utaziona dukani tu Hahahaaa! Jibaba hili likupe 200,000 ununue gauni thubutuuuuu!

Ila kuna WANAUME WANA ROHOOOOOO! We acha tu! Mpaka unashukuru Mungu! Anakupa matunzo unadhibitisha bila shaka yoyote ni uzao wa Abel! Anakuoa na mitoto yako na kuilea kabisaaa. NDO KUSEMA HUMUONI ZARI AU? Na mitoto yake 3 na bado katupiga vikumbo wali tusioijua lebaaa.
Unajua wewe ni mropokaji tu na tushakuzoea humu wote, asiyekujua wewe basi ni mgeni duniani siyo JF, mini Nimeongea ukweli, na ukweli unauma, mkome na nyie kujifanya mnajua wakati mbele giza,
Ningekuwa limbukeni ningeweka picha ya mke wangu humu ili umuone navyomtunza na umaskini wangu, ungetafuta sana wanawake wa kufananisha na mke wangu, by the way alijitunza, at her 27 th, hakuwa na mtoto hadi namuoa akiwa 28th,nyie mnabeba mimba mkiwa na miaka 15 nyambafuu kabisa hadi mnatia kinyaa, tena street pregnancy, huyo Zari ndo role model wako?
Hivi una akili timamu kweli wewe hadi unaona Diamond na Zari wana ndoa? hiyo si ndoa ni ndoana, Nakupa miaka miwili ijayo uone kama watakuwa wote,hivi kuna watu humu wanaziamini kweli topic zako? hujui hata sifa ya ndoa, wewe ni counsellor wa mahaluhalu, hufai kabisa, ungekuwa na akili usingekimbia ukweli, kama walikubemenda then you expect for marriage imekula kwako, utasubiri sana, halafu mwanamke anazeeka ila mwanaume hazeeki, mwanaume mzee ni yule asiye na pesa.
pole sana utalijua jiji na hivi domo lako halina break, utakoma kulinga.
 
nope cheki vision yake, mi mwenyewe mwanamke najali sana uelewa wake na uvumilivu, japo muonekano ni muhimu pia

Swadaktaaaaa!! Ndio maana nikakwambia kuwa kuwa selective sio jambo baya maana lazima uchague tu hiyo haikwepeki, ndio maana unaona kuna waliooa wakiwa masikini now ni big bosses, hatuangalii pesa tu, sawa huna pesa ila nikiangalia una mind ambayo ni booonge la asset tukiitumia hiyo tunatusua, sio unakuja tu unalamba lamba lips huna vision upo upo tu alafu ukikataliwa unaanza kuwasema wanawake!!
 
Back
Top Bottom