Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Amina.Ahsante sana mpendwa wangu
Amina.Ahsante sana mpendwa wangu
ok, sister wewe ni mwelewa na mimi nakuelewa, jamii zetu za uswahilini watu wana judge watu kutokana na imani, kabila, kuoa/kuolewa badala ya character ila ukiwa strong hubabaishwi na watu kama hsoOkei nakuelewa unachosema
Lakini kuliko niwe kwenye ndoa ilimradi kuifurahisha jamii ni bora tu nikose hio heshima...
Kuna wanawake wengi hawajaolewa na wametenda mambo makubwa katika jamii zinazowazunguka na wameheshimika
Ndoa inaleta heshima,ila si hilo tu kuna mengi yanayoleta heshima...
Hivyo basi heshima yangu ntaipata kwa njia nyingine sio lazima ndoa....
Usiishi kufurahisha watu,siku hizi heshima pesa na akili yako tu jamiii hio hio itakukubali....
Aaah wewe ni malaika Gabriel au? Hujawahi kukosea hata siku moja mwenzetu? Au unadhani mwanamke tu ndo akizini anaadhibiwa? Mungu wetu ni Mungu wa huruma, ukikiri dhambi zako na kutubu kweli, anakusamehe kabisa. Haweki records ya makosa yakoNi kweli kabisa mawazo ya Mungu si kama ya mwanadamu, lakini imeandikwa usizini, na Mungu anachukia sana dhambi, kwa hiyo ukitenda dhambi lazima ukutane na adhabu kali, usitafute excuse eti kwa sababu Mungu si binadamu basi atakuangalia tu, au ata entertain upuuzi wako, you must pay the price first, wewe kama binti kwani hujui kuwa wewe ni sawa. na ua tu? kwa hiyo unavyofanya upumbavu unatarajia nini?
ok,naona hujanielewa..namaanisha ukiwa na watu wawili wote wanafanana kwa kila kitu isipokua mmoja ni family man/woman na mwingine sio, yule mwenye family anaheshimika zaidi, kama unapingana na hili unapinga ili kujifurahisha ila ndio ukweli
Utatukanwa bure, shauri yAkoTeh teh..Hawa wasumbufufu watafute namna tu kwa kweli..Wanaongeza foleni tu
nope cheki vision yake, mi mwenyewe mwanamke najali sana uelewa wake na uvumilivu, japo muonekano ni muhimu piaHujanijibu bado, kwahiyo unataka kusema tujizolee tu anayekuja?
Hahaha kamaanisha nanawiri akili za darasani![]()
![]()
![]()
Ni kweli kabisa mawazo ya Mungu si kama ya mwanadamu, lakini imeandikwa usizini, na Mungu anachukia sana dhambi, kwa hiyo ukitenda dhambi lazima ukutane na adhabu kali, usitafute excuse eti kwa sababu Mungu si binadamu basi atakuangalia tu, au ata entertain upuuzi wako, you must pay the price first, wewe kama binti kwani hujui kuwa wewe ni sawa. na ua tu? kwa hiyo unavyofanya upumbavu unatarajia nini?
Teh teh..Mi naangalia tu mapovu yanavyowatoka..Kama mmeswallow soap vile..Angalia tu mimba isiharibike mpnz
mimi naona kama mabinti ndio wanakoseaga sana,..too bad wakishakosea inakua ni "irreversible" ila wanaume wanaweza ku reverseIko hiviiii, linapokuja suala la ndoa sio jambo dogo ati!! Eti ukurupuke tuuuu kwakuwa mtu kaja na mikono yake nyuma basi umkubali tu maana anaonekana ni family mana, NAH!!
Sio kwamba mwanamke akikukataa basi kakukataa kwakuwa huna elimu au huna pesa kuna vingine vya msingi vinavyomata, japo pia ni lazima niangalie wellbeing yangu na kizazi kitachofuata.
Sio kila asiye na elimu na pesa ni wanaume wa kuoa na sio kila wenye elimu na pesa basi hawafai, wanawake wanachaguzi zao km ambavyo nanyi mnachaguzi zenu, na sio kila mwanamke hukosea kuchagua hata wanaume hukosea kuchagua pia, kukosea kuchagua kwa mwingine hakumaanishi basi wengine wasichague, wachague ila wawe makini tu.
Unakua na mwanamke unaona kabisa hana akili ya maisha, yeye ni macho juu juu na kujiita dada wa mjini, kichwani ni empty head anakutegemea kwa kila kitu hana hata akili ya kukupa mawazo ya kutusua maishani, mtu kama huyo unapeleka wapi??? Unaona ni bora uendelee kujilia mzigo miaka nenda rudi ukiwa unapanga files zako kichwaniTuache kuwalaumu sana dada zetu 75 % tunachangia sisi wanaume hatutaki kuoa mapema na hatuna msimamo wa kuwa na girl mmoja mwanamke ametoka ubavun mwa mwanaume makosa yake meng yanasababishwa na ss wanaume unademu mmekaa miaka ss hata kufikiria kumwoa hujafijiria unategemea nn? Tuache ujanjaujanja na usani kuwachezea dada zetu
Hahahahahaaaa! Kitchen party yake wiki ijayo tutamtuza kabati akamlee mumeeee eeeeh!
Marahaba my sista, mzima? naangalia hapa mpambano unavyoenda, nacheka tu hapa kila nikisoma posts zako na za @brenda18
wapi @housegirl timu ikamilike?
Eeh ungetimuliwaje na viboko juuHahahaaaa! Utakuwa huolewi alafu umsumbue Mungu!
Aisee na bora sanamlilia Mungu ingekuwa wanawalilia binadamu mbona ni majanga!!
Teh teh huo utatu mtakatifuMarahaba my sista, mzima? naangalia hapa mpambano unavyoenda, nacheka tu hapa kila nikisoma posts zako na za @brenda18
wapi @housegirl timu ikamilike?
Unajua wewe ni mropokaji tu na tushakuzoea humu wote, asiyekujua wewe basi ni mgeni duniani siyo JF, mini Nimeongea ukweli, na ukweli unauma, mkome na nyie kujifanya mnajua wakati mbele giza,Mxiuuuuuuuuuuu! WANAUME WENYEGUBU KAMA MTOA MADA NDO WANAKUFUJA MPAKA UNAKIONA CHA MTEMA KUNI. Hapo hajakuoa nyodo ndo zipo level hiooo! Hahahaaaaaaaa! Ndo ile mume wa kuchoraa, mume mume jina hakujui kwa sabuni wala kanga. Hahahaaa! Kwenda KFC sahau. Ndo maana nawaambia Wanawake TUFANYE KAZI USIJIBWETEKEEE. Ukipata jibaba kama hili utavaa lonya na wanao mpaka ukomeee. Kariakoo itakukoma, sare za jiji ndo zako, ofisini kama mfagizi. Nguo ya ghali kumiliki 30,000. Hahahaaa! Ngachokaaa! Nguo za kina TK Fashions kijitonyama za 150,000 cheappest kwa 300,000 utaziona dukani tu Hahahaaa! Jibaba hili likupe 200,000 ununue gauni thubutuuuuu!
Ila kuna WANAUME WANA ROHOOOOOO! We acha tu! Mpaka unashukuru Mungu! Anakupa matunzo unadhibitisha bila shaka yoyote ni uzao wa Abel! Anakuoa na mitoto yako na kuilea kabisaaa. NDO KUSEMA HUMUONI ZARI AU? Na mitoto yake 3 na bado katupiga vikumbo wali tusioijua lebaaa.
nope cheki vision yake, mi mwenyewe mwanamke najali sana uelewa wake na uvumilivu, japo muonekano ni muhimu pia
Unahitaji stress ball.Ndo nishakunya sasa na kuharisha umomo. Wanaume wenyewe mnaochonga vikopo tu vya chooni. NA NAFUNGUA MWAKA NA HUU UZI RASMI.