Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Yamekuwa haya?????!!. Wala sijaandika ili nipate likes, bali nimeandika ninachoamini kuwa ndiyo ukweli.
Pia kama kuna mtu ataguswa na maoni yangu pia ntashukuru.

Naomba nawe utoe unachoamini kwenye huu uzi usiangalie kupata likes au kutopata wewe andika unachoamini toka moyoni mwako. Na ikitokea haujisikii kuchangia siyo mbaya ile kufungua na kusoma maoni ya wengine pia ni mchango wako tosha kabisa.
sorry bro, nilisema tu kama kutania, no offense
 
Kwendeni zenu huko ,mnajifanya mid 20s wapi?mnafikiri mnavyolopoka haitoshikujua nini kinasumbua?wewe kaachini kama bahati yako utaolewa hata kama maziwa yamefika magotini,hatakama unawatoto mia,ila haibadilishi ukweli kama ukiwa binti ulichemka kwa umuch know wako ukazeeka kabla ya muda,
Watu wameolewa na 40s na wanaonekana wakawaida tu,tuseme ukweli michezomichezo ya wanaume inafubaza,atakuoa hata kwambia ila anajua we ulikuakijamvi.

Mmmmh!! Kama una kitu cha msingi hivi cha kuongea ila umejichanganya kweli
 
Nani tena huyo?, Imetokea tu hiyo nyingine siyo yangu. Hii nimeiweka jana tu nilivutiwa nayo nilipokuwa naangalia sehemu nzuri kwa mapumziko. Itabidi nibadilishe kama huyo mwenye hiyo nyingine hatabadilisha.
 
anajifariji tu, kuna mmoja hapa mtaani 30+ na watoto wake wawili safi, ukimuona muda wote uso umekunjamana, wakiwa wanang'aa wana nyodo hao, age ikienda kila mtu mbaya wake
Si ndo hapo sasa, yaani ikitokea wameniona watanigombania kunidunda kama mpira wa kona, aisee imewauma sana. ila na wenyewe wakome na wajifunze.
 
Si ndo hapo sasa, yaani ikitokea wameniona watanigombania kunidunda kama mpira wa kona, aisee imewauma sana. ila na wenyewe wakome na wajifunze.
mkuu hao ukijizibana nao utaumwa kichwa bure, cha msingi wewe unawapa makavu unasepa wanabaki wenyewe wanajifariji, si unajua wanawake wanaongea maneno 20,000+ kwa siku while sisi 5000+ tu usishindane hao
 
Eeeh ndoa ni ya "muhimu" kwangu, mind you sio lazima. Sio kama nisipoolewa ntajinyonga, hapana, I have too many things to be grateful for. Ila ukiniambia niolewe lazima vigezo na Masharti yangu vizingatiwe. Bila hivyo ntazeeka tu freshhhhhhh. Siolewi kwa mkumbo wala kwa kulazimishwa
Teh God forbid tunaiongelea kwenye kitu ambacho tunawish kisitokee, but kinaweza kikatokea pia vile vile.

Mke ni msaidizi yes, lakini pia mke huyo huyo anaweza akawa your downfall Eg Anania na Safira. Naweza nikawa sijaamua kuolewa pia simply because nazidi kijifahamu nimebeba kitu gani ndani yangu cha kumsupport mwanaume aliyebeba kusudi la aina gani. Nikiolewa tu na mwanaume ambaye amebeba kusudi lisilonihusu, ndoa kushney. Kwa hiyo it's not all about kuolewa, ni unaolewa na nani. Kwa sababu kila mwanaume ni mume, lakini sio kila mume ni mumeo, Msubiri Mr right wako. Mwisho kabisa Ndoa ni wito, na sio wote wameitwa
una hekima sana mdada
 
Duh! kwa hiyo ndo siolewi tena hivyo. Huyu Mungu nae kwa nini anidanganye? Najua hakuna dhambi isiyo na consequences lakini rehema zake ni za milele. Mi keshaniambia " hata sasa nirudie kwa moyo wako wote kwa kufunga, kulia na kuomboleza. Rarua moyo wako na si mavazi yako. Rudi kwa Bwana Mungu wako kwa kuwa ana neema na huruma, si mwepezi kukasirika na mwingi wa upendo......................... Nitafidia miaka yako iliyoliwa na nzige (nzige wakuu na nzige wadogo na nzige wengine na jeshi la nzige ambalo nililituma miongoni mwenu.............. (hii ni tafsiri yangu toka Joel 2: 12, 13..25 NIV).

Halafu hata katika kuwa na VVU na kuwa na m/watoto bado kuna kitu kikubwa kinatendeka katika maisha ya mhusika kama atachukulia kuwa hakuna dhambi isiyo na matokeo, na adhabu au majaribu ni sehemu ya kuadabishwa na kujengwa ili kuendea utu wema zaidi. Kuna watu tunawafahamu kabla ya kupata VVU walikuwa watu wa hovyo nikimaanisha waliishi maisha yasiyo na malengo. Baadhi yao walikuwa wana-anasa, kero kwao wenyewe, kwa familia na taifa lakii baada ya kukwaa VVU wakatulia chini wakatafakari upya maisha na kupatana na Mungu. Baada ya hapo wakaanza kufanya mambo ya maana ikiwemo kuwafariji wenzao wenye VVU waliokata tamaa, kuwasiadia wenye maisha duni, kupenda familia zao n.k. Kuna silver line kwenye kila wingu zito. Kila kitu ni namna unavyokiangalia.

Kwa hiyo niwatie moyo wadada na wakaka wote mnaopitia mambo magumu kwa sababu ya matendo yenu ya nyuma kuwa mpatane na nafsi zenu na Mungu wenu. Mkifanya hivyo mtapita kwa wepesi kwenye lolote mnalopitia. Maoni ya wengine hayana umuhimu kwenu kwani nao ni wadhaifu kama nyie na wana matatizo pia kwa kuwa ni wanadamu na pengine makubwa kuliko yenu ila kwa kuwa wanaogopa kuyakabili basi hutafuta mahali pa kupeleka maumivu yao. Kila mwanadamu yuko kwenye nafasi sawa ya kuanguka. Ndo maana tunaambiwa tusijiapize wala kuhukumu kwa sababu kuhukumu kunatukosesha fursa ya kujitathmini sisi wenyewe.

Mwisho, unapoamua kumhusisha Mungu (wa Israel) unatakiwa ujue kwa Mungu neema (grace) ndo inafanya kazi na si ukamilifu wetu. Ndo maana kuna mabikira hawajaoa wala kuolewa japo wanataka, kuna malaya wameoa na kuolewa, kuna wenye watoto wameolewa wengine hapana, kuna wasio na watoto lakini hola, yaani kuna watu wana vigezo vyote vya kupata vitu fulani na hawajapata lakini wasio na vigezo wamepata. Mwanadamu yeyote anayeamua kuamini mambo ya Mungu hatakiwi kusononeka akikosa kitu. Kazi yake ni kumcha Mungu tu. Kumcha Mungu ni pamoja na kushukuru kwa kila jambo.
 
Na uzuri ni kwamba Mungu hachoki kutusikiliza. Namuheshimu sana huyo aliye desperate afu akakimbilia kwa Mungu, kuliko atakayekimbilia kuolewa out of desperation. Anayekimbilia kwa Mungu amechagua fungu jema sana and she is never going to be disappointed
Afadhali wewe umejibu kwa hekima, ila mkome na mwache dharau, kama hamjachakaa mnakuwa na kiburi sana hata Mungu hapendi hiyo tabia.
 
sawa kaBisa,, coz hata MUNGU kupitia Mandiko Matakatifu anaseMa "MUKUMBUKE MUUMBU WAKO SIKU ZA UJANA WAKO" sasa hao wanao kula uJana MkitegeMea kuMrudia MUNGU Baadae iMekula kwenu,,!
kwa iyo mkuu unataka kusema wanajaribu kupindisha maandiko badala ya "mkumbuke muumbabwako siku za ujana wako" wao ni "mkumbuke muumba wako siku za uzee wako"teh teh teh
 
Komaaaa tena koma we no Mungu kwani? Tuache tumsumbue kwani wapi kasema hataki usumbufu ? Hata we unamsumbua vile vile na vitatizo vyako uchwara ... Umeniudhi watu wanasali wewe unaangalia nyonyo zao
Duh? Hata wewe limekupiga hili jiwe? pole sana siku nyingine nitalirusha kwa uangalifu lisikupate.
 
Wenye stress wake zenu wameokota fuko la mavi kwenye maandamano! HAHAHAHAAAAAAAA,! Shurti wajipake hayo mavi na yatawanukia ndani for the rest of their lives mchezooooo sasa! Hahahaaaaaaaaa! Chezeaaaa! Kutangulia sio kufika. Ngoja niwapunguzie dozi msije kuji murderrr bureeee! Mwaka ndo kwanza unaanza.
Duuuuh! katika wote wewe ndo jiwe limekupiga vibaya sana aisee.
 
Ndo hapo sasaaaa! Kuna mabinti vibikraaa kabisaa wangapiii Dai angewataka angewaoa hata bureee. Lakini kakolea kwenye K used, K ya bibi, ina video ya pono, na imeliwa na mastar kibao na ina makunyanzi. Ila yeye ndo hasikii wala haoniii. Utamwambia nini?

Ndo ujue wanaume wenye hela zao hawa banwi banwi na u saint a.ss, na sentimental values zisizokuwa na ishuu. Anaangalia they click basi.

Mwingine Peter wa P square kamuoa Lola Omatayo bibi kampita miaka 8 ila ndo kafika hapo yeye.
Kwani na Ya Kwako. ni. used?
 
Hahaha sawa Muislam safi ,nenda basi kamsaidie mfalme mswati ku recruit wake zake ,uende kabisa na proposal yako kwamba ni wanawake over age ndio watakao mfaa uone kama ujala shaba hadharani
HAhahahahahah Jamaa Hataki Used
 
Mijanaume mibahili utaijua tuuuu...na wee mtoa mada si buree utakuwa umezoea kitonga... et screpaa we mwenyewe hapo screpa umetumika hadi umeisha ladha hata ukioa malaika atakukumbia baada ya mda mana huna ladha....
 
Waungwana ngoja nikaombe Mungu kanisani mieee, jumapili ya kwanza ya mwaka hii, anistri na mkosi wa kupata vibwana visivyoeleweka kam mtoa mada wa leo. Shindwaaaaaaa kabisaaa na ulegeeeee. Nitarudi saa 1 kuendeleza ligi.
Pole sana, you're badly injured, unfortunately you can never have a good looking hubby like me as well as good in doing both old and modern sex.
 
Back
Top Bottom